Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Azama Media ni moja ya kituo kikubwa ambacho kimeleta mabadiliko makubwa katika tasnia yetu ya habari hapa nchini. Wamekuwa wabunifu katika vipindi, ubora wa picha na mpangilio mzuri wa vipindi...
10 Reactions
129 Replies
15K Views
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hivi karibuni nategemea kuanza biashara ya kubandika kucha bandia na kupaka rangi kucha! Kwa wale wenye uzoefu na kazi hii naomba msaada...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
∆. DADA au KAKA yangu Ongezeko la fangasi za seemu za siri zimeshamiri sana katika kipindi hichi cha maisha ya utandawazi . Watuwengi wamekua na tabia ya kufua chupi boxa za ndani na kuanikwa...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI. Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza...
19 Reactions
332 Replies
46K Views
Habari wakuu, Husika na kichwa cha habari. Wigi ama less wigi ni nywele inayotamba sana mjini pamoja na kuwa na aina nyingi za nywele lakini wigi imeteka wadada. Kwanini wigi au less wig...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Kama unajiamini na umuogopi mtu tuma picha yako ukiwa umevaa pamba kali tukuone. kama unajiamini ila kama hujiamini pita mbali[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wajuzi naomba kufahamishwa katika mada husika hapo juu. Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
5 Reactions
44 Replies
6K Views
Bila shaka wanaompambaga Mfalme Zumaridi Wana nafasi Yao Peponi! Kwa kweli baada ya wiki tatu za kukaa jela, kumedhihirisha ubora wa Wapambaji wake! Sisi waumini wake Tunajivunia Kazi yenu
7 Reactions
33 Replies
5K Views
Huko ni Ulaya, wanaume wachafu hivyo, je huku unadhani mashuka yao yatakuaje? Nguo za ndani je? Jamani wanaume wenzangu tujitahidi usafi, uchafu sio uanaume.👇
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Kuvaa vazi la kulalia hasa kwa mwanamke, umuwezesha mwanaume aliyenaye chumbani kutokumchoka. Mwanamke anayevaa vazi la kulalia (night dress), humuongezea thamani katika mahusiano yake. Kuvaa...
9 Reactions
150 Replies
12K Views
Wengi wa wanaume siku hizi hupenda kunyoa kipara. Nimejiuliza sana lakini sipati jibu. Mtu mzima na heshima zake hunyoa kipara labda anataka aonekane kijana, labda kichwa chote kimejaa mvi au...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Chukua Kikaangio, bandika jikoni moto usiwe mkali sana, weka sukari ya kutosha. Anza kukoroga hadi sukari ianze kuyayuka. Ikisha yeyuka vizuri chukua asali kidogo na ndimu huku ukiendelea...
4 Reactions
40 Replies
31K Views
Wadau hivi mliowahi kutumia hizi deodorant zenye viambata vilivyopigwa marufuku leo nimeisoma ya axe appolo nimeona, kiambata cha butylphenly methylpropional ambao wanasema inaenda kudhuru mfumo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Binafsi nakerwa Sana nikiangalia wanawake hasa Azam TV kwenye kipindi Cha sinema zetu. Wanawake wengi wameamua kuweka KOPE za bandia katika macho yao. Nawakumbusha tu HAMPENDEZI NA NI ATHARI KWA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani najua mko poa! Hivi siku hizi kila kaka huku mjini naona kabeba begi mgongoni, hayo mabebi ni makubwaa sana, na yamekaa kishamba shamba hivi. Mengi Yao yameandikwa Biowang mengine...
21 Reactions
192 Replies
12K Views
Habari ndugu nina miaka 35 lkn muonekano wangu naonekana kama mzee wa miaka 80 inasababishwa na nini? Au inaweza kua ugonjwa au VIP na nifanye nn niweze kuendana na umri wangu wakubwa zangu wote...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakubwa nlipitia sana life la Msuba na Chiga nyingi wakati nikiwa na saka life. Sasa yale maisha nisha ya kacha ila kinacho ni boa lips zimeungua zimekuwa nyeus flan hivi kiasi kwamba kila mtu...
3 Reactions
30 Replies
7K Views
  • Closed
Naomba mwenye kujua kwanini mtoto mchanga anazaliwa akiwa ana ngozi inabanduka miguuni na mikononi anijulishe tiba yake nini
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna bibie ana uso na mwonekano wa kimakonde, asuke mtindo gani ili apendeze? Uso wa kimakonde ni kama Harmonize, halafu awe mwanamke.
9 Reactions
24 Replies
2K Views
Mahitaji -Sukari ya brown kikombe kimoja -Kahawa ya brown nusu kikombe -Mafuta ya mzeituni nusu kikombe -Lemon essential oil kijiko kimoja Cha chai(1tsp) Hapo kwenye kikombe waweza tumia...
17 Reactions
71 Replies
18K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…