Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Sitaki kusema mengi ila kama ni mwanaume Mimi tu ndo zinanipa tabu basi sinabudi kuvumilia. Kiukweli nikikutana na mdada amevaa hizi awe mwembamba au mnene napata shida Sana hasa ukute shape...
1 Reactions
39 Replies
10K Views
Habari wakuu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Chukua maziwa ya mgando na utumie kusafisha uso wako kisha scrub kwa kutumia mchanganyiko wa mlozi na karoti au mlozi wa jani la chai. Baada ya hapo fanya toning na maji vuguvugu yaliyochanganywa...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Nianze kwa kuwatia moyo wapendwa! "Kuisha kwa koleo siyo mwisho wa Uhunzi" Karibuni kwenye mada hii ya Chupi mujaarabu! Chupi kama neno asili, ni ile nguo ndogo ya kwanza ya ndani kabisa...
3 Reactions
22 Replies
8K Views
Kwa kutumia vitu vya asili unaweza kubadilisha complexion ya ngozi yako. Hii inafaa sana kama umebabuka na jua au unataka kutakatisha ngozi yako Changanya Turmeric 1/2 kijiko kidogo Mtindi kijiko...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Japo vijana wa town tunaita kiduki lkn ndio kina nipendeza zaidi kuliko mwanzo nilivyokuwa nanyoa kawaida, nilijaribu kurudi kunyoa kawaida kila MTU alinishangaa na kuniambia sijapendeza kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wadau habari, Je Muonekano wa nje(utanashati au urembo) unadumisha Mapenzi yaani mwanamme au mwanamke kuzidisha mapenzi kwa mwenza wake? kuna baadhi ya manukato (body spray na perfumes)...
1 Reactions
27 Replies
7K Views
Wanajukwaa nahitaji kuwa na ngozi laini I'm mean soft kuliko hata ya mwanamke nitumie nini Kwa njia za asili Tofauti Na *mafuta ya nazi *Kunywa maji mengi *Kula mboga za majani Taja njia zingine...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama umetamani kuwa na ngozi yenye mng'ao unaweza kutumia huu mchanganyiko Changanya Manjano 1/2 kijiko kidogo Maziwa kijiko 1 kidogo Asali 1/2 kijiko kidogo Pakaa mchanganyiko kwenye uso na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wote. Karibuni Sana, nauza kofia za kulalia kwa wale waliosuka rasta, kushonea weaving, wenye curly hair, natural hair nk. Kitambaa Ni satin, na kwa kuwa satin ni kitambaa laini kofia...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Habari wapendwa, Naomba kuuliza ni product gani ya ngozi ambayo ni nzuri isiyochubua ila inang'arisha na kufanya ngozi kuwa soft kwa bibi harusi mtarajiwa? Asanteni
0 Reactions
48 Replies
63K Views
Vipi wazima?Hii imekaaje vipodozi kuwa na kojic acid?Jee kojic acid ni salama?? Nimeona vipodozi vingi tu vyenye hydroquinine kupigwa marufuku jee vipi kuhusu Kojic acid???
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habar, wana jf naomba kujua perfume au spray yenye harufu nzuri ambayo inakaa kwa mda mrefu kidogo bila kupotea unapoitumia N.B bei yake isiwe more than 15 , naomba mwenye kujua anitajie jina na...
1 Reactions
77 Replies
8K Views
Jamani kuna wanaume wachafu sana . Nakumbuka nilikuwa na boyfriend wangu mmoja hivi. Huyo kaka ni mchafu kuanzia juu mpaka chini mpaka na geto aliloko. A)boxer jamani ni chafu mpaka basi hanyoi...
6 Reactions
112 Replies
13K Views
Hereni nzuri sana zinapatikana kwa jumla na reja reja Jumla 4000 Reja reja 5000 Tupo mwenge mpakani Call 0714249143 Whtsaap 0767626990 Tunakufikia popote ulipo,mikoa yote tz na nchi jiran
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Tanzania bado sana. Ukitaka kuona wanawake 'wameboost' shiriki tu kwenye harusi au send off. Wengi hupenda kuachia maziwa wazi ama kuyabana vizuri ili yafyatuke wanaume wayaone vyema.Si mke wa...
2 Reactions
65 Replies
12K Views
Nayaulizia haya mafuta nimeyaona mahali Kuna mtu ashawahi kuyatumia? Jee yanang'arisha?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom