Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Siku ya pili katika ziara yake Uingereza, Donald na Melania Trump walikaribisha wageni wao katika chakula cha jioni. Gauni alilovaa Melania katika shughuli hiyo limebuniwa na kushonwa na Givenchy...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Hivi fundi aliyewashonea zile suti alikua hana futi kamba? Au alipoteza vipimo?Mbona amewashonea vijana wa taifa suti ngoko zote nje..na kwanini hawa vijana wengine hawajanunuliwa soksi. Ni ajabu...
5 Reactions
114 Replies
16K Views
Kwa wale wazee wa bata; hii wiki ni ya kukumbukwa sana maana kwa wale tuliokuwa hatujafunga tulikuwa wapweke sana kila kiwanja kilikuwa kimepoa: ila tokea eid todate mambo ni motoooooo..... hii...
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Baada ya serikali kufanikiwa kwa asilimia kubwa kukataza mifuko ya plastic naomba sasa ikataze mawig na makeup Najua serikali ya awamu ya tano ni sikivu hvo naamini italifanyia kazi suala hili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sijawahi kufuga nywele japo kwa muda sasa nlikua natamani ila sasa naona ni wakati muafaka kufanya hivyo. Ni katika kubadili tu muonekano na kufanya kijana kua smart zaidi siunajua tena. Sasa...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu, Naomba msaada, Kwa wale wajuzi na wazoefu wa masuala ya mavazi. Nataka kujua rangi ipi ya nguo inaendana na ipi? Kwa mfano shati jekundu lina match na suruali gani? Mwenye...
1 Reactions
273 Replies
105K Views
Jaman mnao uza vipodozi hapa.mwanza washaulini wateja wenu ambao ni wadada maana unakuta mtu mmoja anarangi zaid ya nne jaman? Sura ina rangi yake, mikono rangi yake,makalio rangi yake,mapaja...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Huwa natumia lotion inaitwa rubby ila nahitaji kubadilisha, mimi ngozi yangu kama inamafutamafuta japo sio sanaaa. Nahitaji lotion ambayo itanisaidia kuniondolea vidude flani vyeupe vinatokeaga...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Wataalam wa ngozi tusaidiane. Nataka kuua ndevu kabsa mana zmeamua kuwa nyeupe au mvi mapema. ndevu zangu ni nying sana za kurundikana. Mtaalam wa salun kanambia hata magic powder ninayotumia kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba wadada mje hapa; iteni wenzenu tuongelee suala la "vigodoro" Kwanini tunanyanyapaana kuhusu shapewear jamani? Eti mtu anasema "ridhika na Mungu alichokupa". Kweli? Nywele za bandia weka...
5 Reactions
40 Replies
13K Views
Ni kweli unaweza kabisa comfortably ukawa na mwanamke aliyevaa wigi jamani? Shame on you guys. Sent using Jamii Forums mobile app
17 Reactions
423 Replies
36K Views
Baraka za muumba wa Mbingu na ardhi zikawe nanyi daima. Jamani naomba kuuliza..hv unaweza vaa harusini (mwanamke) Suruali ya kitambaa?yaani nivae suruali na top na kikoti juu? Nina harusi leo ya...
5 Reactions
58 Replies
7K Views
Ndugu wapendwa ninayo tenda ya kuuza Oriflame product.kama vile #lipsticks #soap bar #lotion #dawa ya nywele #dawa ya upele baada ya kunyoa ndevu #dawa ya miguu iliyopasukapasuka Navingine. Kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kinavyo jioneshe kichwa cha habari waungwana mimi ni mkaazi wa Dar lakini ni mtu wa kutoka sana bara hili la Africa kumenifanya nisizijue sehemu nyingi za jiji hili naomba kwa anaejua sehemu...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
...............
1 Reactions
32 Replies
6K Views
Wapenzi habari zenu? Nawapenda sana Haya nisaidieni mrembo mwenzenu nirembuke na mimi. Nahitaji steaming nzuri ya kufanya nywele zangu zijae. Nywele nimeweka dawa ya Olive Oil. Je, ni steaming...
0 Reactions
14 Replies
10K Views
Unakuta mtu kamaliza perfume anatunza chupa, kamaliza lotion hatupi kopo dressing table imejaa kama dampo. Maviatu na nguo ya miaka nenda rudi havai, hagawi yanajaza tu space. Jikoni sasa ndio...
9 Reactions
76 Replies
7K Views
Ndg zangu leo tuongelee aina za vifaa vya makup zilizobora na bei zake Naanza ...lipstic aina ya huda," hudumu masaa 24, no nzito ukipaka haiachi alama bei elf 5, Tuendendelee kujuzana vingine...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Maana ukija hapa Mwenge ninaposhinda akina dada wanaokuja kununua nguo/viwalo ama unaweza sema, yaani wameonekana kwa idadi ya kutosha kabisa wakiwa wamekata nywele kwa ule mtindo pendwa wa...
1 Reactions
79 Replies
20K Views
Back
Top Bottom