Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Msaada jamani hii lotion ina kazi gani mwilini wakuu?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nywele zinazovaliwa kila siku na kina dada na kina mama vina uhusiano mkubwa na maiti waliozikwa kisha watu kwenda kuchukua nywele zao makaburini au mahospitalini. Kinachoshanga zaidi ni kwamba...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Oga vizuri paka mafuta yako au lotion,na ujiache na mwonekano wako ukiwa natural,sio unajipiga varnish sijui polish,alafu unatembea ghafla mawingu yanatanda na kaumatone kwa mbaaali,[emoji1]...
5 Reactions
80 Replies
9K Views
Kumeibuka wimbi na vijana masharobaro kupaka rangi kucha na kuwaosha miguu wanawake zetu hii inapelekea kuchochea kuwatega wanawake maana wanalegea sana nakusisimka wanaposuguliwa miguu. Mimi...
0 Reactions
48 Replies
10K Views
Halow, Mimi ni kijana wa miaka 21. Nataka nianze kupiga gym but kuna tetesi nazipata kuwa kupiga gym katika umri mdogo kuna madhara. Naombeni ushauri but napenda sana kupiga gym.
1 Reactions
9 Replies
11K Views
Nimejitahidi kukaa na nywele kwa miezi sita, lengo ni kuzi-maintain ili nywele ziwe ndefu ndo iwe kama style yangu mpya. Kufikia sasa nimedhamiria kwenda salon kuzinyoa tu maana nimeshindwa...
2 Reactions
21 Replies
6K Views
Wadau samahani sana, Kuna mambo yananitatiza, wadada wanaoweka kucha bandia mikono yote miwili, uwa wanafuaje, kuogaje, kutawaza hapa watadai kuna toileti pepa na vipi papuu zinaogaje? Naomba...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari za wakati mpedwa msomaji! yaweza kuwa mpaka sasa unajiuliza ni vigae gani unataka kutumia kwenye sehemu/vyumba vya jengo lako mfano sebuleni, jikoni, vyumba vya kulala, stoo, chooni...
3 Reactions
7 Replies
22K Views
Wakuu, Yaani ninaoga najisugua vizuri lakini nikipitisha mkono bado naona kuna vile vi uchafu vinatoka. Ni sabuni gani nzuri ya kuogea ambayo inaweza kuondoa uchafu wote? Naombeni ushauri wanabodi
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Kuna kaniletea zawadi nipake haya mafuta eti uso wangu umetokewa vichunusi,,jamani chupa kubwa mi ntaimaliza lini sasa ,halaf najiuliza haya sio mafuta ya kupikia haya kweli Hayana harufu,halaf...
2 Reactions
93 Replies
11K Views
Zile enzi za pichu za zaiboni sijui ni wangapi mnazikumbuka. Unavaa pichu mpaka elastic ya kiunoni unalegea unazitupa. Sasa hizi pichu za St Michael unavaa mpaka inachakaa pale makao makuu...
11 Reactions
162 Replies
25K Views
Most Beautiful Black Women Around The World.. 2017/2018
0 Reactions
21 Replies
8K Views
Wanawake wengi nyonyo zao zimelala wengine inatokana na sababu ya kunyonyesha na wengine ni maumbile yao tu ndivyo yalivo. Kwa wewe dada ambaye nyonyo tits zimelala na unataka zisimame fanya haya...
6 Reactions
159 Replies
89K Views
Kuna huyu jamaa nimekuta posts zake huko mtandaoni, hapa kwakweli wanaume wa Dar watasubiri :):D
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Kwa anayejua facial wash nzuri ni ipi? Tuambie ww unatumia ipi kukufanya uonekana smart usoni
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Naomba msaada tafadhali Mwenye kujua mafuta mazuri kwa ajili ya kupaka hizi ngozi za mafuta hasa usoni anijulishe tafadhali
0 Reactions
49 Replies
28K Views
Lazima tuwajulishe watoto wetu wasichana kuwa, katika maisha yao kuna nguo kuu nne za kuvaa. Nazo ni: 1) Sare ya shule 2) Joho la Graduation 3) Gauni la Harusi 4) Maternity dress (Nguo ya...
3 Reactions
4 Replies
3K Views
Umofia kwenu! Kuna mavazi ambayo yamezoeleka kuvaliwa misibani au kwenye mikusanyiko yeyote ile iwe harusi au sherehe zingine! Binafsi nahitaji kuelezwa au kujuzwa kama huwa ni fashion au ni...
6 Reactions
66 Replies
11K Views
Aina hii ya mavazi huvaliwa Ulaya na Amerika ya kaskazini kipindi hichi cha mwaka kwa sababu ya baridi kali na barafu inayodondoka huko. Kichekesho ni pale unapomwona mtu mzima na akili zake...
11 Reactions
176 Replies
23K Views
Wakuu hamjambo. Nimeona niweke wazi. Ladies wengi waliovaa majuba wananisisimua. Pia wanawake wanaonyoa huwa nawapenda mionekano yao.
7 Reactions
125 Replies
17K Views
Back
Top Bottom