Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Baada ya onyo kwa wanaocheza uchi napenda niwajuze dressing code ya nchi jirani kwa wafanyakazi. Ni nzuri na inaleta heshima. Female officers To dress in a skirt or dress that is not above the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Harufu ya kwapa husababishwa na bakteria ambao huvunjavunja protein iliyopo kwenye jasho na kutengeneza asidi yenye harufu kali. Dawa ni kuua hao bakteria au kuzuia wasizaliane. Hizi deodorants...
9 Reactions
30 Replies
16K Views
Nadhani boys/men wenzangu mtakua shahidi kwa haya mambo juu ya hawa wasicha. >> Unakuta msicha kajipamba kapambika/ Kajiremba karembeka boy unamtokea unavuta mzigo getoni, baada ya kutaka kuanza...
38 Reactions
279 Replies
26K Views
Hapo vip!! Kunajamaa angu mmoja na nimebishanae sana eti ameniambia sometime yeye kunasiku anapiga misele yake akiwa amevaa suruale tu pasipo kuvaa chupi au boksa ni nijamaa wa dar.Nikawa...
2 Reactions
50 Replies
11K Views
`Nimekaa na kuwaza nikaona si vibaya kukumbushana na kuelimishana juu ya kutunza nguo zetu za ndani, ~Inajulikana kuwa nguo za ndani ni muhimu kuvaa zile zinazonyonya jasho kwa wepesi zenye...
11 Reactions
49 Replies
11K Views
Binti Sahar Tabar wa Iran mwenye miaka 19, amefanya upasuaji wa sura yake mara 50 ka gharama kubwa ili afanane na muigizaji wa Marekani Angelina Jolie. Nini maoni yako
0 Reactions
85 Replies
10K Views
Sasa hivi habari ya mujini ni expansion joints. Tunaangalia uwezo wa kupumua kwa nyuma. Pua hata mbuzi anayo! :rolleyes:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, Naomba mnisaidie ushauri, Nina nywele ndefu tu ila nilikuwa naweka dawa ya kawaida aina ya movit na sasa nina kama miezi mi 4 sijaweka dawa nywele zimekuwa kama hazikuwa na dawa...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Mgeni Rasmi Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh Mama Sophia Mjema Akizungumza Machache wakati wa Mahafali ya kwanza ya Chuo cha Manjano Beauty Academy .Ambapo amewataka Wanawake Kuchangamkia Fursa ya...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Nmemuona Dr Hamisi Kingwangalla na kirungu mkononi hapa bandarini yani nilikuwa nasubiri anihoji maswali nimjibu kunya anyanyue kirungu chake walahi angepambana na jembe moja matata!
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Hellow Kwa mnaotumia mafuta ya castor oil kwa nywele naomba mnijuze je ni kweli yanakuza nywele kama yanavoongelewa?na yapi yanafaa kati ya yale meusi yalotengenezwa kiasil na haya mengine...
0 Reactions
30 Replies
17K Views
Fanya mambo yafuatayo ili hali hiyo isitokee tena. √ kata nywele sehem za siri, kisha chukua maji ya ukoko wa ugali unawie sehem hizo zinazonuka( hakikisha unafanya hivi ukiwa umeoga) fanya Mara...
3 Reactions
45 Replies
12K Views
Wapendwa mambo zenu Natumai kila mtu yuko poa Jamani mimi nina mwili wa kawaida ila ni mrefu (size kama ya jokate) ambao huwa unapungua ila haujawahi kuongezeka kuwa vile ambavyo mimi napenda...
3 Reactions
62 Replies
16K Views
Habari wakuu hamjambo najua kwa wanaume yashawatokeeni saana unakuta mwanamke anabonge la mzigo akipia watu macho kodoo. Binafc kuna manzi nilimfukuzia kama mvua mbili ananizungusha tuu. Siku...
3 Reactions
32 Replies
4K Views
Mamboz, Mimi ni mpenzi sana wa matte liquid lipsticks na kuna duka linajulikana sana ndo huwa nanunua hapo Week iliyopita nilitoka kununua hizo lipsticks na sikuzitumia, sasa leo nikachukua moja...
3 Reactions
56 Replies
4K Views
Na tusikie dada/mwanamke akilialia eti hana bwana au maisha magumu au sijuwi ni kule... Kuna wenzake wana shida kule yeye lakini wana enjoy life tu, pamoja na majanga ya kutisha kimaisha...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Rihanna akiwa katika mavazi yake. Dada zetu Mkiiga haya hakika tutachukua bakora na kuwatandika mabarabarani. Hakuna haki kama hii Tanzania.
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Miss Tanzania, Lilian alivaa vazi hili huko Marekani, Las Vegas. Maelezo ya picha hii yanasema vazi hili ni bora (the best) kwa kuwakilisha utamaduni wa Mtanzania. Wanamitindo mnisaidie.
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Kuna style nyingi za kunyoa hasa kwa wanaume, miongoni ni kiduku na upara Kati ya hizi style ipi ni nzuri na ya kiheshima katika jamii, maana style zingine kama kiduku akinyoa mtu unaweza...
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Heri, Nakiri kua nina yapenda sana maji kupita kiasi. Naweza kuoga hata mara 6 kwa siku. Sipendi jasho hivyo huni fanya nioge mara kwa mara. Sasa basi kuna dhana kua " uki oga mara kwa mara...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom