Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Mko poa au VP? Napenda kuelimisha jamii yakitanzania kuhusu ili jambo vijana wengi wamepotea in the name of fashion without knowing it's origin. Nguo za kubana hasa kwa wanaume niutanblisho wa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Habarini wadau, Kama inavyojieleza hapo juu, natafuta hiyo kitu (virgin hair fertilizer) mwenye kujua zinapatikana wapi tafadhali anijuze. Natanguliza shukrani
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wakuu Habari zenu... Niko zanzibar.. Naomba Kujuzwa wap Wanafanya Masaji.. Au mweny Namba ya mtu a naye Fanya private Masaji anitumie inbox... Na bei zao zikoje? Niko serious wakuu kazi nazofanya...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Naomba msaada, Mimi sio mtumiaji wa vipodozi vikali lakini yamenikuta haya baada ya kushare lotion ya ndugu yangu tukiwa safarini. Bahati mbaya nilisahau kupack mafuta wakati nasafiri sasa...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Wana Bodi Amani ya Bwana iwe Nanyi. Nataka ni badilike kimuonekano wa kimavazi, niko Arusha ni wapi naweza kupata makoti mazuri ya Suti ya bei nzuri kuvalia na kofia aina ya Spire mara...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
hakika tatizo hili,limekuwa km ni kawaida kwa vijana wadogo,kutokwa na viparavmiaka ya karibu,tofauti na zamani ambapo MTU akiwa na kipara h uwa na umri Wa 50s,anayefahamu Dawa jamani,hebu njooni...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
WW I ilipoanza mfalme Leopard alichukua vijana wa ki-Congo wenye nguvu na kuwapeleka Ubelgiji kuipigania nchi mama. Vita ilipokwisha walilipwa Franc 300 kila mmoja na kuambiwa wako huru kufanya...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna uhuru wa kuvaa unachotaka lakini hiki la kuvaa sandals wakati muguu imepasuka tena mipasuko ya kuchana shuka nalo ni neno. Kupasuka kwa miguu si uginjwa bali ni kutokuijali ngozi ya miguu...
9 Reactions
16 Replies
2K Views
Habarini wana JF Naombeni mnijuze ni mafuta yapi mazuri kwa mwanaume mwenye nywele fupi tu za wastani. Yapi yanapendezesha nywele na kuzifanya ziwe nadhifu na za kuvutia?
0 Reactions
63 Replies
44K Views
Nawasalimu kwa mara nyingine tena wana JamiiForums, Mimi ni kijana wa miaka 20 lakini mpaka sasa nimepata ndevu za kawaida (kidevuni) lakini mimi napenda sana Mustachi (za mashavuni) maarufu kama...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari za asubuhi wakuu kma title inavyosema je kuna yeyote kwenye jukwaa hili anafaham wapi naweza kupata hiyo sabuni ya sea of spa kwa hapa dar anisadie kunijuza maana ndio pekee ilinisaidia...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari zenu wapendwa na ombeni kujuzwa hichi kitu lakini na tumaini majimbu mengi yata toka sana upande wa ke..naomben kujua kazi ya cream mbalimbali zinazo patikana maduka ya vipodozi..na kwann...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za leo Tuende moja kwa moja kwenye hii mada fupi Sipendi kuona wanawake wenzangu wakijichubua (japo na wanaume wengi nao wanashika kasi) Ila siwez kulaumu hata siku moja kwanini...
5 Reactions
26 Replies
15K Views
Kila kitu huwa kinafanyika kwa sababu maalum Unajibu gani kulingana na hii mada? Tushirikishane
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Wakat flan nawaza nasema labda ndo uzee nao unakuja kwa speed ya 4G. Maana kuna vitu mi vilinishinda toka niko mdogo. Nmekutana na jamaa mmoja kavaa nguo zake ni nzuri tu zingeweza mpendeza. Ila...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu. Sio kila aina ya nguo inamfaa kila mtu, kuna mawazi ya yanawafaa watu wenye maumbile flani na mengine hayawafai watu wenye maumbile flani. Wanaume warefu kaptula hazitufai, hizi zinawafaa...
9 Reactions
57 Replies
11K Views
kama kichwa cha mada kinavyojieleza je ni kipi hasa humpendezesha mtu? je? uzuri upo kwa mtu? nikiwa na maana kuna watu wazuri zaidi ya wengine? kama ndivyo ni kwanini kuna dhana ya mtu kupendeza...
0 Reactions
39 Replies
8K Views
Kuongezeka kwa wanaume wanaofanya scrub, mask, wanaoweka wave ni kihashiria tosha sasa wanawake wamepata washindani. Sijambo lakushangaza kumkuta mtoto wa kiume, mwanaume amevaa jeans iliyobana...
7 Reactions
124 Replies
14K Views
Habari za jioni wapendwa.. Jamani wadada humu hakuna linaloshindikana naimani ..shida yangu kubwa nataka mshono amaizing ambao utanitoa chicha wa usiku nahitaji na ushauri wa aina ya material ya...
1 Reactions
12 Replies
7K Views
Kuna maswali mengine huonekana ni ya kijinga lakini yana maana. Kwa wadau ambao mmeoa na nyumba unayoishi sio master bedroom, nyumba nzima mnatumia choo kimoja hivi boxer zenu huwa mnaanika...
4 Reactions
95 Replies
9K Views
Back
Top Bottom