Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Skwati (squats) ni moja ya mazoezi mepesi na muhimu kwa mwili wa binadamu. Aina hii ya mazoezi ni nafuu na salama yasiyo na gharama yoyote na yanayoweza kufanywa nyumbani na bila mahitaji ya vifaa...
2 Reactions
8 Replies
27K Views
Ni wachache sana wanabahatika kuwa navy usoni...ni vidude flani vigumu vyeusi umbo dogo kama punje ya mtama. Wengine vyao huwa vikubwa..kama jokate kidoti. Nini maana ya hivi vidude? Vina uspesho...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Katika baadhi ya sehemu duniani watu wanaamini kuwa ngozi angavu huashiria uzuri, utajiri na uwezo(kifedha) alionao mtu.Katika baadhi ya sehemu watu wenye ngozi nyeusi huchukuliwa kuwa wapo chini...
4 Reactions
6 Replies
5K Views
Wakuu nataman sana kufuga rasta fulani ivi zisiwe ndefu sana ziwe fupi kiasi afu nywele zisiwe nyekundu zionekane nyeusi na rasta zakusimama Ninanywele ngumu sana za kisinga singa afu huwa...
2 Reactions
1 Replies
6K Views
Wadau wa Ujenzi zone blog kuna vitu tunavipuuzia kwa kuhofia gharama au kwa kutokujua. Kwa mtazamo wangu kama umeweza jenga nyumba ya milion kadhaa basi bado hautashindwa kuipendezesha kwa frem za...
2 Reactions
5 Replies
19K Views
Habari zenu warembo na watanashati, Mimi naombeni msaada wenu. Nimetoboa masikio yapata wiki ya pili sasa. Nilitoboa kwa sonara na nikapewa na vihereni orijino vyenye mchanganyiko wa dhahabu na...
0 Reactions
16 Replies
28K Views
Makalio yetu ndiyo yanatoa shepu fulani kwa mwanamke katika vivazi na ukiyaachia ovyo yanaweza kukuletea mushkeli na kama ukiyatengeneza kama yale makalio yanayosifiwa sana na watu wa Televisheni...
1 Reactions
11 Replies
19K Views
Aina za Mitoo na Foronya Ya Njee Ya Nyumba! Mitoo ya njee haina utofauti na ile itumikayo ndani ya nyumba kwa matumizi tofauti; Kwa mfano, matumizi ya chumbani kwa kulalia, sebuleni kwa kuegemia...
3 Reactions
1 Replies
9K Views
Uzi huu utakuwa maalum kwaajili ya kutupia picha za marastafarian na mitindo mbalimbali ya dreadlocks
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari! wakuu naweza pata maelekezo ni wapi naweza pata makeup kit kwa hapa Dar ni maduka yapi hasa,huyu mtu anayehitaji hii kitu ni beginner ko ni vitu vipi essential zaidi anahitajika asivikose...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wajameni naombeni mnijuze mafuta mazuri ya kumpakaa mtoto wa miez nane na kuendelea sehemu ya baridi,maana olive oil mepes so anapauka parachute nayo hivohivo vaseline yamemgomea yalimtoa rashes.
0 Reactions
17 Replies
13K Views
Habari zenu wana JF Jamani mwenzenu Kuna Tusuruali twangu tutatu tweusi tunazidi kupauka... Nataka ziwe nyeusi zing'ae Kama zamani... Nifanyaje eti [emoji27] [emoji27] [emoji27]
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Naombeni mnijuze mazoezi ambayo nikiyafanya yatanisaidia ili miguu yangu iongeze ujazo
1 Reactions
36 Replies
20K Views
Wataalamu wa upasuaji wamegundua kuwa kuondoa nywele kwenye eneo la mwili kabla ya kufanya upasuaji, kunaongeza hatari ya athari na maambukizi katika ngozi. Imeelezwa kuwa unaponyoa nywele zote...
12 Reactions
66 Replies
48K Views
Jamani kwa aliewahi tumia mafuta ya nywele ya vaida naomba feedback please
0 Reactions
3 Replies
8K Views
kwa warembo wa jf naomba mnieleke namna ya kufanya steaming kwa njia ya kienyeji bila kutumia yale makemikali! msaada tafadhali,nataka nimpendezeshe wifi yenu naturally.
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Usafi umekuwa mtihani kwa watu wengi , kwa kifupi sio kila mtu anaupenda usafi, ukikutana na mtu msafi basi ni hobby. Sikuwahi kujua kama usafi inaweza kuwa hobby ??? Kitu ambacho ni lazima...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Aiseeeee Nilimsotea sana huyu mrembo nikampania sana maana kimuonekano ni anavutia haswa Basi nikaenda nae hadi akawa sawa Ajabu na kitu iliyonikata stim ni huyu demu kuwa na kingozi ligumu...
2 Reactions
44 Replies
11K Views
Wakuu nadhani mko poa, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Nimekuwa mtanashati mno hadi naonekana kero kwa watu wangu wa karibu nini nifanye ili nijiepushe na hali hii. Kama ujanipata hebu...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Jamani hili halipo kwa ma barmaid au Dada zetu wanaotoka familia duni. Lipo kwa Dada zetu hasa wanaofanya kazi katika makampuni makubwa na wana nafasi ambazo pasi shaka zinawaingizia kipato...
7 Reactions
33 Replies
11K Views
Back
Top Bottom