Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Habari wakuu, napenda kujua historia na asili ya hii kofia, naona kama ni utamaduni ambao tumeurithi kutoka mataifa ya jirani, je asili yake ni wapi?
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Hali zenu. Jukwaa hili katika thread hii ntakua napost urembo wa asili ambao natumia na naendelea kutumia na pia ukanisaidia,hope pia na nyinyi utawasaidia,na ningeomba mirejesho ili nijue...
21 Reactions
123 Replies
28K Views
http://youtu.be/0Ry9gGS_SVQ
0 Reactions
81 Replies
44K Views
Jana nimemuona kijana mmoja ninayemuheshimu akiwa amevaa suruali iliyochanika chanika kwenye magoti nikasikitika sana. Nikajikuta najisemea kuwa huyu naye kafirisika kimtazamo? Sasa nimejua ni...
3 Reactions
77 Replies
18K Views
Habari zenu wakuu Moja kwa moja niende kwenye mada maana kichwa cha habari kina swali nililo kusudia kuuliza Katika maisha yangu toka Nime balehe na kuota ndevu nimekua sina raha katika maisha...
2 Reactions
85 Replies
16K Views
Habari zenu wana janvi?. Hivi Mwnaume uson usipokuwa na ndevu au sharubu walau kidogo unajichkuliaje.!!?. Binafs nilishajarib mara kadhaa bila ya ndevu lakin nilijiona tofaut mno. Nahsi mtoto wa...
2 Reactions
59 Replies
12K Views
Wanaume wanalalamika sana kuhusu jinsi wanawake tunavyopaka makeups zetu. Na hizi colour combo ndio kabisaaa...Maybe huwa tunafanya makosa bila kujua. Jaribu kuzingatia yafatayo ukiwa unajiandaa...
4 Reactions
18 Replies
9K Views
Mambozi dears, for the first time nataka nijaribu lace wig lakini naona mostly zimesukwa mbili kichwa au kubana kidoti, ina maana ukiliachia tu bila kubana au kusuka halipendezi? Mwenye picha ya...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Sabuni ya maji Shampoo hutumika vizuri kama sabuni ya mikono, na ni rahisi kuliko sabuni ya kununua. Tia robo shampoo kwenye kifungashio changanya na maji, tikisa ichanganyike vizuri. Shaving...
6 Reactions
10 Replies
12K Views
Wakuu habari. Mimi ni mpeni wa vazi la suti mara moja moja kwa mwezi au event sio mbaya. Sasa kuna huu muundo wa suti naona kama umenivutia. Naomba kwa anaejua naweza kuzipata wapi kwa hapa Dar...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Leo wadau napenda kushare ni jinsi gani utaweza kutambua km pefrume au bidhaa yoyote inayohusu utunzaji wa afya ya mwili km vile lotion,perfume,lipstip kwa wadada na bidhaa zingine km hizo zinazo...
9 Reactions
54 Replies
16K Views
Wakubwa shkamooni,wadogo marahaba wadau naomba msaada,mimi mwenzenu nywele zangu zimeota pembeni ,yaani nina upara wa utosi zimeanza kuota mbaali ni dawa gani nitumie kuitibu hali hyo ili nywele...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari wanaJF, Fursa kwa wale wenzangu na mie wenye nywele za dread locks, jamani ni dili sikuhizi zinauzwa mie nimesikia tu lakini. Nataka kuuza zangu nikipata mtu wa kufikia dau zuri...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Huyu ni yule mpenzi wako ambae kila ukiongea nae unamuona kabisa ni yule wa kwashida na raha. Leo amekutaarifu kuwa anakukaribisha chakula kwao. Umetoa ile nguo ya mwisho kabatini ile uliyolipa...
12 Reactions
46 Replies
8K Views
Habarini wapenda mitupio.. Ni ukweli kuwa mavazi yapo ya aina na namna mbalimbali kulinganga na mahali panapositiriwa. 1.Kuna Juu zaidi (hapa ni kofia,mizula n.k) 2.Kuna katikati., (Hapa ndipo...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Aya mafuta ni atari sana, nasikia ukipaka unakuwa mweupe sana. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
34 Replies
12K Views
India wanaamini Henna aloipaka bi harusi ikichelewa kutoka huashiria ndoa ya furaha na kupendwa na in-laws, na ikiwahi kutoka maana yake ndoa haitakua na furaha. Ukaona sababu ya kuikoleza henna...
1 Reactions
0 Replies
12K Views
Katika kukutana na kuongea kwangu na baadhi ya wadada, iwe hapa bongo na hata ughaibuni, nimeshasikia wakisema kuwa wao wanapendelea zaidi marashi [pafyumu, deodorant, na body sprays] ya kiume kwa...
5 Reactions
89 Replies
18K Views
Habarini wana Jamvi ...! Binafsi kwa sasa naishi mkoa wa Morogoro baada ya kuhamishiwa kikazi mkoa huu, nikitokea DSM.. Nimekuwa napata shida na maji ya chunvi ya mkoa huu, kiasi cha kuniondolea...
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Wanaume wengi Mara nyingi huwa hawajali sana suala la kuhakikisha kile anavaa kinaendana. Unakuta mtu ananunua shati, tshit au suruali bila kuplan ataimatch na nini mwisho wa siku wengi...
4 Reactions
17 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…