Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Habari, Kuna mambo yanaendelea hapa duniani ni yakushangaza kwa wenye kutafakari, Cha kushangaza zaidi ni mambo hayo kukumbatiwa pasi na kuhojiwa, Kunielewa nini ninamaanisha, cheki attachment...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Dawa za kulainisha nywele (relaxer) zimekuwa zinapendwa na wanawake wengi wa Afrika kwa kuwa zina uwezo wa kulainisha nywele na kumfanya apendeze na awe wa kuvutia. Hata hivyo, wataalamu wa afya...
2 Reactions
2 Replies
4K Views
Naomba kufahamishwa kama madawa nazani yatakua ya kichina ambayo watu wanatumia kupunguza mwili je yana madhara yoyote kwa mwili? Na kipi bora kati ya kufanya mazoezi ili upunguze mwili na...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani nyie wanawake wa kidigitali mnatuharibia kizazi chetu cha baadaye. Huu uvaaji wenu mnawafundisha nini watoto wenu. Si bora mkae uchi sasa kieleweke. Miaka mingi mlikuwa mkisingizia ni...
1 Reactions
38 Replies
19K Views
Benefits of Apple CiderVinegar 1.Stimulates scalp to promote hair growth 2.Cleanses hair without stripping natural oils 3.Removes build-up from chemical products 4. Helps hair retain moisture for...
2 Reactions
7 Replies
8K Views
Namba za mawakala hazipatikani, meseji hazijibiwi, au ndio alikusanya mikwanja akasepa na kijiji. Tupeane ushuhuda wakuu, kama kuna yeyote aliyetumia udongo na ukamsaidia alete ushuhuda hapa, au...
1 Reactions
52 Replies
7K Views
Wadau amani iwe juu yenu, ninataka kufuga sharafa ziwe ndefu kabisa, naitaji kujua mafuta gani nitumie ili ndevu zikue zinyooke zisiwe kipilipili kama zilivyo hivi sasa, natanguliza shukran
0 Reactions
15 Replies
20K Views
Wembamba wa nywele zangu unazifanya ziwe za kipili pili. Nawaza kama zingeweza kuongezeka unene zikawa 'stout' hili lingesaidia zinyooke na ningeweza kufuga afro.... Sasa nawauliza nifanye nini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salama wana jukwaa? Naomba kila mwenye picha ya vazi lolote la harusi atupie hapa. Yote ya kike na ya kiume. Itakuwa msaada zaidi ukisema ulinunua duka lipi. Na wale wenaouza haya mavazi watupie...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mshukuru muumba kwa vile jinsi alivyokuleta duniani. Usilazimishe lami ifanane na ugali. Hiki ndiyo kitachachokutokea kama ukilazimisha lami ifanane na ugali Just stay natural.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama picha inavyojieleza hili swali hata mimi nimejiuliza lakini jibu nimepata;
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Naukubali mwili wangu jinsi ulivyo ila naomba ushauri ni jinsi gani naweza kuongeza muonekano wangu maana mwili wangu mimi ni mwembamba kiasi kwamba nikivaa masharti nahisi hayanikai vizuri, wale...
1 Reactions
21 Replies
7K Views
Kama kichwa cha habari kilivojieleza naomba kufahamishwa maeneo wanapofanya waxing kwa dar na Dodoma na gharama zake please.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hakika mazoezi yanapunguza mwili hasa ukizingatia maelekezo ya mwl. Asante sana DODOMA BUNGE GYM. Uzee sasa basi
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari zenu wana jf, Bila kuwachosha na salamu nyingi naomba niende moja kwa moja kwenye swala langu, Siku si nyingi zijazo nami naenda ukweni kwa utambulisho rasmi (Si kutoa mahari) kwa wenzetu...
0 Reactions
29 Replies
16K Views
Mwenye uelewa jinsi ya kutengeneza rough dredz na mafuta yanayotumika anijuze tafadhali.
0 Reactions
6 Replies
9K Views
Naombeni wadada tushee idea ya stlyle nzuri za kusuka msimu huu wa sikukuu. Maweaving naona kama yanachosha pia joto sana rasta nazo vilevile. Tutoke vipi? Naomba tupeane ushauri hapa
0 Reactions
45 Replies
12K Views
Jamani wanaume hivi huwa hamuoni aibu kutembea kifua wazi na manywele kifuani kama msitu?,hivi yenyewe huwa hayanyolewi? Unamkuta mkaka yupo busy comfortable kifua wazi na minywele yake kifuani...
1 Reactions
59 Replies
10K Views
Wakuu rafiki angu anatafuta pearls...vile vidude ambavyo vinatumika kutengenezea mapambo ya wanawake kama necklaces ama bracelets..... Hajui huwa vinapatikana maduka yapi....mwenye kujua tafadhali
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wapendwa, Heri ya mwaka mpya! Naomba nisaidieni mwenzenu, Nimehangaika sana kutafuta Hair remover, ile dawa ya kuondolea nywele na vinyweleo mwilini, unapaka sehemu unayotaka kuondoa...
0 Reactions
21 Replies
9K Views
Back
Top Bottom