Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Kujiandaa kwa ujio wa mtoto ni kuna changamoto zake. Mtoto ni vema akawa na chumba chake ili kumjengea hali ya kujitegemea akiwa angali mdogo na pia kurahisisha uhifadhi wa vitu vyake bila...
2 Reactions
31 Replies
10K Views
Habari wana JF, Naomba mnisaidie nywele zangu ni nyepesi sana na zinakatika sana ninapochana hata dawa nikiweka lazima upande mmoja igome. Naombeni msaada nitumie dawa gani ya nywele na mafuta?
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Najua zipo rangi za midomo nyingi na za kuvutia zaidi lakini Rangi hizi ndizo zinanivutia sana na ndizo rangi za midomo za kima dada/mama zilizonivutia zaidi kwa mwaka 2016. Nikikutana na...
1 Reactions
22 Replies
12K Views
Habari wakuu, Baadhi ya watu hawajui kutofautisha matumizi ya perfume na body spray?! Je wewe wajua?
1 Reactions
8 Replies
8K Views
Habari za majukumu wana jf, Leo Alfajiri, muda wa saa 11 hivi nikiwa ndani ya Hiece nikiwahi majukumu ya kuifukuza shilingi. Kuna kituo kimoja alipanda dada mmoja, alikuwa mrembo si haba...
3 Reactions
28 Replies
4K Views
Mwaendeleaje na hali? Kuna vipele vigumu na wakati mwingine huwa vidogo vidogo huota pembeni mwa lips au kuzunguka lips na ukijaribu kuvi binya huwa na maumivu makali kidogo. Kuna treatment/...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Napenda kuvaa vizuri na kuwa smart kuvaa ni sanaa na damu ya mtu kama hauna damu ya kupenda kuvaa siku zote kuvaa itakuwa ni ziada sio kitu muhimu kwako.. Utatafuta excuse zote ila ukweli ni...
13 Reactions
86 Replies
14K Views
Wadau Nahitaji kujua salon nzuri ambazo wananyoa nywele na kuzistyle vizuri kwa hapa dar. Na pia bei zao zipoje. Nataka style kama hizi tuuu [emoji116]
3 Reactions
40 Replies
37K Views
Vinyozi wengi mnaonuka midomo mnakera sana wateja wenu jitahidini kuwa wasafi wa kinwa hata mnashindwa kununua kapipi kifua ka mia au PK kuchangamsha mdomo kwelih ata kama hali ni ngumu sio ivyo...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Mambo ya lipstick.. Mikoba,mikoba ..mascaras brushes ni product ya kitimoto.. Je uislam unasemaje juu ya hili.. Ni sawa kwa mbibie kupaka lip shine inyotokana na nguruwe..
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi ni kweli hii kitu inafanya kazi au ndo muendelezo wa kuwaibia watanzania wajuzi mtuambie
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wanaJF, Kwa sababu ya kuvaa viatu virefu vya kutumbukiza muda mrefu vidole vyangu vimepata sugu. Kuvaa viatu vya wazi mbele sipendi sababu ninavaa no 40 so vidole huwa vinatokeza sana...
0 Reactions
34 Replies
24K Views
Kama heading inavyojieleza wapendwa nahitaji ushauri wa lotion nzuri ya kupaka ambayo haina cream. Nahitaji kuwa soft zaidi ngozi yangu sio ya mafuta na wala sio kavu haina chunusi kwa hiyo ni...
1 Reactions
22 Replies
17K Views
Jamani wadada msaidieni mwenzenu huku michirizi mikononi inamtoka kwa kasi sana. Kama kuna tiba au mafuta ya kupaka. Na weupe alio nao ndo balaa. Ni mikononi tu wala nyuma ya magoti hana hata...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Jamani Jamani naomba mnishauri nifanyeje mwenzenu ni wiki mbili tu zimepita tangu niritachi nywele zangu kwa dawa ya radiant. Nilifululiza kusuka kama miezi mitatu hivi Sa majuzi nilipofumua...
3 Reactions
26 Replies
18K Views
Looking for a perfect well crafted customer suit's for your wedding????? or of An Event??? Worry not!!!!!! 2017 is almost here, we're now receiving and accepting 2017 Booking. "We take our...
0 Reactions
1 Replies
817 Views
Orodha ni ndefu lakini si vibaya mkaongezea, ila mie naanza na hawa hapa! 1a. Ummy Mwalimu 1b. Angela Kairuki 2a. Mary Nagu 2b. Jenister Mhagama 3. Zhakia Meghji 4. Shamsa Mwangunga 5. Salome...
0 Reactions
26 Replies
11K Views
Jamani nisaidieni(boy) na tatizo la uso kuwa na mafuta mengi unaopelekea kuwa na chunus zisizo isha je nitumie mafuta gani ama njia gani ili yaishe au kumaliza chunusi mana nimetumia mafuta mengi...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
International Fashion Academy is inviting applications for Fully-funded Scholarships. Scholarships are available for pursuing the undergraduate and postgraduate program. More info ~> IFA Paris...
0 Reactions
0 Replies
885 Views
Habari zenu wapenda urembo, Nimekutana na Matangazo kuhusu haya mafuta katika mitandao ya kijamii ikionesha watumiaji wa mafuta haya wakiwa na nywele ndefu kupita kiasi, Je ni kweli, naomba...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom