Kujiandaa kwa ujio wa mtoto ni kuna changamoto zake. Mtoto ni vema akawa na chumba chake ili kumjengea hali ya kujitegemea akiwa angali mdogo na pia kurahisisha uhifadhi wa vitu vyake bila...
Habari wana JF,
Naomba mnisaidie nywele zangu ni nyepesi sana na zinakatika sana ninapochana hata dawa nikiweka lazima upande mmoja igome.
Naombeni msaada nitumie dawa gani ya nywele na mafuta?
Najua zipo rangi za midomo nyingi na za kuvutia zaidi lakini Rangi hizi ndizo zinanivutia sana na ndizo rangi za midomo za kima dada/mama zilizonivutia zaidi kwa mwaka 2016.
Nikikutana na...
Habari za majukumu wana jf,
Leo Alfajiri, muda wa saa 11 hivi nikiwa ndani ya Hiece nikiwahi majukumu ya kuifukuza shilingi. Kuna kituo kimoja alipanda dada mmoja, alikuwa mrembo si haba...
Mwaendeleaje na hali?
Kuna vipele vigumu na wakati mwingine huwa vidogo vidogo huota pembeni mwa lips au kuzunguka lips na ukijaribu kuvi binya huwa na maumivu makali kidogo.
Kuna treatment/...
Napenda kuvaa vizuri na kuwa smart kuvaa ni sanaa na damu ya mtu kama hauna damu ya kupenda kuvaa siku zote kuvaa itakuwa ni ziada sio kitu muhimu kwako.. Utatafuta excuse zote ila ukweli ni...
Wadau
Nahitaji kujua salon nzuri ambazo wananyoa nywele na kuzistyle vizuri kwa hapa dar. Na pia bei zao zipoje.
Nataka style kama hizi tuuu [emoji116]
Vinyozi wengi mnaonuka midomo mnakera sana wateja wenu jitahidini kuwa wasafi wa kinwa hata mnashindwa kununua kapipi kifua ka mia au PK kuchangamsha mdomo kwelih ata kama hali ni ngumu sio ivyo...
Mambo ya lipstick.. Mikoba,mikoba ..mascaras brushes ni product ya kitimoto.. Je uislam unasemaje juu ya hili..
Ni sawa kwa mbibie kupaka lip shine inyotokana na nguruwe..
Habari wanaJF,
Kwa sababu ya kuvaa viatu virefu vya kutumbukiza muda mrefu vidole vyangu vimepata sugu. Kuvaa viatu vya wazi mbele sipendi sababu ninavaa no 40 so vidole huwa vinatokeza sana...
Kama heading inavyojieleza wapendwa nahitaji ushauri wa lotion nzuri ya kupaka ambayo haina cream.
Nahitaji kuwa soft zaidi ngozi yangu sio ya mafuta na wala sio kavu haina chunusi kwa hiyo ni...
Jamani wadada msaidieni mwenzenu huku michirizi mikononi inamtoka kwa kasi sana. Kama kuna tiba au mafuta ya kupaka. Na weupe alio nao ndo balaa. Ni mikononi tu wala nyuma ya magoti hana hata...
Jamani Jamani naomba mnishauri nifanyeje mwenzenu ni wiki mbili tu zimepita tangu niritachi nywele zangu kwa dawa ya radiant.
Nilifululiza kusuka kama miezi mitatu hivi Sa majuzi nilipofumua...
Looking for a perfect well crafted customer suit's for your wedding????? or of An Event???
Worry not!!!!!!
2017 is almost here, we're now receiving and accepting 2017 Booking.
"We take our...
Orodha ni ndefu lakini si vibaya mkaongezea, ila mie naanza na hawa hapa!
1a. Ummy Mwalimu
1b. Angela Kairuki
2a. Mary Nagu
2b. Jenister Mhagama
3. Zhakia Meghji
4. Shamsa Mwangunga
5. Salome...
Jamani nisaidieni(boy) na tatizo la uso kuwa na mafuta mengi unaopelekea kuwa na chunus zisizo isha je nitumie mafuta gani ama njia gani ili yaishe au kumaliza chunusi mana nimetumia mafuta mengi...
International Fashion Academy is inviting applications for Fully-funded Scholarships. Scholarships are available for pursuing the undergraduate and postgraduate program. More info ~> IFA Paris...
Habari zenu wapenda urembo,
Nimekutana na Matangazo kuhusu haya mafuta katika mitandao ya kijamii ikionesha watumiaji wa mafuta haya wakiwa na nywele ndefu kupita kiasi,
Je ni kweli, naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.