Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Swagga nzuri kwa warembo Unawevalia na jeans.ama sket ama short Na ukapendeza vizuri sana Wahi utoe oda yak kwa whaspa n 0656436662 ama kupiga pia karibni Instagram Starson_85_jr
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Huu mchezo umekithiri sasa wanawake na wadada anavaa dera au gauni laini refu mpaka chini kiasi kwamba mpaka anakua analinyanyua na mkono kidogo lakini cha kushangaza nguo hizo unakuta zinaonyesha...
8 Reactions
69 Replies
21K Views
Wakuu, Hivi kwanini wanawake wa kiafrika wanapenda sana kujichubua wawe weupe kama wazungu? Je tatizo nini hapa? Hawajihamini,maendeleo au ulimbukeni?
0 Reactions
56 Replies
11K Views
Jamani naomba mnisaidie ni mafuta gani yatumike kwa nywele natural za kiafrika. Ni nyingi ila ni kavu sana. Asante.
2 Reactions
15 Replies
8K Views
Wadau naomba melezo kidogo maana nashindwa kuelewa. Hii ni ile style miguu inaangaliana kwenye vidole gumba na visigino vinaachana mbali. Binafsi naona wanatembea vibaya sana na haina mvuto...
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Wadau mliopo Dar naomba Masada Ni wapi naweza kupata duka linalouza Jeans za kiume za ukweli maana Napata shida Sana ninapotafuta Jeans..hizi za mtumba Ni Za kubahatisha Sana. Nimepita maduka Kama...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
This is where it all goes down. Where that Ngabu body is sculpted. LA Fitness baby It goes down in the gym..... Goals baby....goals! Angled leg press....massive weights! Guns...
5 Reactions
143 Replies
14K Views
Wana body Nisiwachoshe kivile, Habari zenu ? Mazee kuna hili swala mimi kama silielewi flan tukiwa tunaingia makazin asubuhi wadada wote wanapendeza mnoooo, na tukiwa tunatoka pia wanashine...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Poleni n majukumu, Hivi wanawake wenzangu(baadhi) tunaopendelea kuvaa bikini,wenzangu huwa mnavaaje au mnamudu vp,maana mwenzenu nazipenda sana ila nikivaa basi kila saa naichomoa maana inakua...
5 Reactions
49 Replies
17K Views
wakuu Nadhani sasa imefika pabaya au ni ushamba wangu wakuu? yaani saruwali za wanaume wanne kati ya kumi lazima ziwe zimebana miguu na zaidi hawavai soksi miguuni ni ushamba wangu au kisarawili...
4 Reactions
60 Replies
10K Views
Where can I find good classy winter clothes and shoes in Dar es Salaam? Needed urgently. Thanks!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
(EAST AFRICA) Martin Kadinda (Tanzania) Sheria Ngowi (Tanzania) Bobbins & Seif(Uganda) Moise Turahirwa(Rwanda) Makeke International (Tanzania) Jamila Vera Swai (Tanzania)
0 Reactions
1 Replies
969 Views
Mke wangu nampa thamani ya juu kama gari ya Hummer na ningependa apendeze nje ndani. Sasa sipendi avae hizi chupi za Mwenge za buku tano, tano na ninataka nimu upgrade kwa kumnunulia chupi za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Haya ni mavazi wanayovaa wanyarwanda kwenye harusi bila kujali kabila la mtu, harusi zote za wanyarwanda huvaa hivyo. Napenda sana mavazi yao. Haya ni mavazi ya waganda kwenye harusi bila...
1 Reactions
9 Replies
27K Views
Habari zenu wapendwa.... nina tatizo la nywele zangu yaan nyepesi sana halafu kavu plus zinachomoka kila ninapochana kiasi cha kusababisha kukosa uwiano... nyuma zimekatika mpaka zinatia...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Kama kuna mtu amewahi tumia hii aniambie kwasababu nimeisoma haina vitu vya kuchubua ila imeandikwa whitening.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
"ARUSHA kuna uvaaji mzuri sana kulinganisha na der esalam"…. Salama jabiri
16 Reactions
233 Replies
47K Views
Wakuu habari za mchana nimeona mahali kuwa miss tanzania mpya ana miaka 18 na wakati huo huo tayari ana degree moja hii ni kuwa alianza form one akiwa na miaka 9 mpaka kuja kugraduate ukweli ni upi?
7 Reactions
61 Replies
7K Views
Kama u mrembo,unapenda mitindo hii inakuhusu Pin It Jane Michael Ekanem a fashion entrepreneur, fashion stylist and wedding stylist show us this fashion essential (white shirt) is needed in your...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom