Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Apo chacha! Wanawake wanaotumia kope bandia wanahofiwa kuwa na hali ya hatari ya kupata upofu wa macho kutokana na gundi wanazotumiwa kutumia kope hizo kuripotiwa kuripotiwa kuwa na athari kwenye...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Habari za Jumapili wakuu, Nimekuja kwenu nina tatizo moja, nina mchumba wangu ninampenda sana kwakweli ila ana tatizo la chunusi ambapo hili swala linamkosesha raha na hata Mimi pia. Natamani...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Salaam! Natarajia kufunga ndoa mapema mwezi ujao. Naombeni ushauri ni pete gani nzuri kwa sasa zinazofaa kwa hiyo shughul ya harusi? Ushauri wenu wadau, picha zitanieleweza zaidi wana jf.karibuni
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nadhani sasa wasichana wa kibongo kuna mganga anawadanganya kuwa ukiwa na midomo ya namna hii wewe utaonekana mtamu, kitu kilichoperekea kila mschana kupiga picha akiwa amekunja midomo kama...
5 Reactions
58 Replies
6K Views
Unapoingia dukani , kabla hujafungua mkoba, wallet au kunyofoa hela mfukoni kununua jeans, ni vitu gani huwa unavizingatia sana kabla hujasema "yeah, hii jeans kweli kali muhudumu nipe hii"? Mimi...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
kuna vitu kama mwanamke naviangalia na naishia kusikitika.. hivi inakuaje hili wimbi la wanaume kwa kasi ya ajabu kujiremba? hivi mwanaume kujichubua ni ili awe mrembo au? wameenda mbali mpaka...
2 Reactions
106 Replies
11K Views
wamependeza ile kinoma
4 Reactions
22 Replies
11K Views
Nilipataga ajali nikaumia katika shavu langu la kushoto nikawa na kidonda baada ya kupona pakabaki kovu jeusi halitaki kuftika naomba kwa anaejua dawa anifahamishe tafadhari
1 Reactions
20 Replies
11K Views
Ndugu wanajamii amani iwe nanyi nyote! Jiji la DAR ni zaidi ya vipodozi.Uwepo wangu ndani ya jiji hili nimejifunza mambo mengi sana lakini hili la joto nahitaji kujielimisha zaidi Kuna watu...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Tafadhali naomba picha za mishono ya vitenge kwa wawanawake wanene kiasi. shukran
0 Reactions
2 Replies
11K Views
Ni mara nyingi utasikia au kuona TFDA ikikamata vipodozi vyenye sumu na kisha kuviteketeza kwa madai ya kuwalinda watumiaji. Kwa upande mwingine wauzaji na watumiaji aghalabu ulalamika kuwa...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi mwenyewe sio hijabi (not yet) lakini huwa nawaza kuwa nikifika umri fulani ningependa kuanza kuvaa Hijab kwahiyo huwa nafanya research yangu ya Hijab fashion sehemu nyingiii, online na...
0 Reactions
5 Replies
19K Views
Kumetokea wimbi la wasichana na wamama kutoboa masikio zaidi ya ilivokuwa zamani. Zamani tulijua kutoga masikio kuliendana na ule utaratibu kutoboa sehemu ya chini kabisa ya sikio tundu moja...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Huyu jamaa ambaye anamnyoa Nas huwa ni fundi balaa, jamaa huwa anang'aa sana ,kama mtu ana contacts zake adrop hapa
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hi Habar zenu mmi naomba mnisaidie jina la application nzur inayotumika kwenye sm kuedit picha za kwa kutengeneza figure yaan hips tumbo na makalio
1 Reactions
37 Replies
19K Views
Naona siku hizi wadada wengi wanapenda kujifunga khanga, ili kuonyesha maumbo yao. Na wengi wanapovaa khanga ndani hawavai nguo yoyoye ili kuonyesha maumbile yao. Hapa mtaani kwangu jamaa...
3 Reactions
22 Replies
10K Views
Kama mwanaume mtanashati kuna vitu vitatu ambavyo ni foundation ya kupendeza " 1. KIATU 2. MKANDA 3. SAA Hi vitu mara nyingi kwa hulka za kiume ni mara chache kumkuta mwanaume ana mikanda zaidi...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Warembo wa humu ndani...especially wale wenye seasonal chunusi+lashes..+ wale wanaotaka kumaintain their skin colour kuna this lotion hapa.... 1.inatibu vipele na zile chunusi ambazo sio sugu...
1 Reactions
19 Replies
8K Views
2016 has been the year of the crotch - well showing it off on the red carpet that is. Models Giulia Salemi and Dayane Mello were the latest girls to show it ALL during the Venice Film Festival...
1 Reactions
19 Replies
7K Views
Back
Top Bottom