Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Nywele zangu ni nyekundu sana nahitaji kujua ni mafuta gani ambayo nikitumia yatafanya nywele yangu kuwa Black na yenye kung'ara sana. Msaada.
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Habari waungwana, Naomba kufahamu aina gani ya after shave nikitumia vipele havitatoka kwenye kidevu? Nimejaribu baadhi naona hazinisaidii..
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba kujua daktari anaeweza kufuta kovu la kuungua kwa moto
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Nisaidieni namna ya kurejesha rangi ya uso na mikono kwa haraka sana bila athari yoyote. Kwa kuna tofauti kubwa kati muonekano wa uso na mikono ukilinganisha na sehemu nyengine mwilini.
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Mambo vipi waungwana,ni wapi wanachora tatoo zile za kufutika baada ya muda flani au kuzifuta mwenyewe pindi napohitaji kufanya hivyo hata kama ni kesho yake.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaman naomba mnisaidie jinsi ya kuotesha nywele za kichwan kwa mtu mwenye uwalaza
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Jamani nina mpenzi wangu anasumbuliwa na chunusi (sio nyingi but kwa sababu anazitumbua zinaharibu reception kwa kuacha madoa meusi) Nahitaji mafuta/sabuni au kitu cha kutumia kitakachomsaidia...
0 Reactions
42 Replies
26K Views
Ladies and Gentlemen; Lets start this week by revealing the secrete of your fresh smell Let everyone on this forum know among all the scents you've used, which ones do you like Most...
0 Reactions
42 Replies
8K Views
Hi, Naomba kujua ni wapi naweza kupata body cream inaitwa skin doctor...Naomba kujuzwa.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
From Vera Wang, to Alexander McQueen, Carolina Herrera, to Tom Ford, Ralph Lauren and many more, they killed it all, and deserve a trophy. Cc Polisi wa fashion Heaven Sent :)
2 Reactions
35 Replies
5K Views
Tusiongopeane bhana, yaani kabisa umevaa kisketi kifupiiiiii hadi tight ya ndani inaonekana kuwa ni nyeupe na ramani ya chupi ileeeeeeeeee kama haitoshi umevaa na ki blauzi chako mwenyewe...
12 Reactions
71 Replies
14K Views
Idadi ya vijana wanaojichora katika miili yao (tattoo) imeongezeka sana maeneo mengi hasa mijini. Lakini sio wote wanaofahamu kuwa kuna mambo ya msingi ya kujiuliza kabla ya kujichora tattoo...
1 Reactions
20 Replies
14K Views
Up the Career ladder, lipstick in hand. WANT more respect, trust and affection from your co-workers? Wearing makeup — but not gobs of Gaga-conspicuous makeup — apparently can help. It increases...
4 Reactions
47 Replies
4K Views
Habari zenu jamani.... Mwenzenu nikifua nguo yani hata hazikolei sabuni...hata nikifua lile povu la pili inakua bado haikolei vizur kiasi cha povu kutoka yani... NB:- Huwa navaa nguo mara moja...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Shea butter ni nini? Ni mmea kutoka wa aina ya kipekee kutoka West Africa. Tunda la mmea wa Shea uwa linatwangwa na kuchemshwa hili kupata Shea butter. Faida za kiafya na urembo Shea butter...
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Orliflame ni kampun ya kisweden iliazishwa mwaka 1967, iko zaid ya nchi 60 dunian, na uzoefu wa miaka 50. Inajihusisha na bidhaa za asilia kuazia kichwan hadi miguuni, kwa wanawake, wanaume na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Usipende kutumia make up zitakazo kualibu urembo wako badaye na acha ubaili kwa kununua make up fake kwa urembo wako utaumia Na usipende kubandika kope bali tafuta mascara zitakazo kuza kope zako...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wanajamvi, Kwa yeyote anaefahamu namna ya kuweza kufuga afro, yenye nywele nyeusi, zilizonyooka na kusimama anisaidie please, mimi zangu huwa nikichana zinalala wakati mimi napenda zisimame na...
1 Reactions
13 Replies
7K Views
Mkorogo Jamaica unaanzia hata umri wa mtoto mchanga wa miezi sita, ndiyo kina dada wanawapaka mkorogo watoto wa miezi sita mkorogo ni kama fasheni za nguo, huwezi kuvaa nguo za miaka 1990 ktk...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Maasai
0 Reactions
0 Replies
637 Views
Back
Top Bottom