Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Siku hizi nashangaa wanawake wanaweka makatani kichwani,mikope ya plastiki,kujichora marangi midomoni,mikucha ya plastiki mirefu,halafu anapiga picha kabinua kibinda nkoi,limdomo kalitanguliza...
2 Reactions
42 Replies
6K Views
Kuna siku imeshanitokea ukapiga pamba hadi ukajikubali mwenyewe? Leo imenitokea. Sijafika nnapokwenda ila sitashangaa kuambiwa nimependeza.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Pamoja na kupendeza kwote vazi la suti au koti la suti nimekuwa silioni kama ni muhimu kwa wakati wote hadi siku nitakapoona hivyo. Angalau mkulima mimi pia nianze kutoka kivingine ninapoanza...
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Karibu wadau katika marembo ya nyumba yako., napatikana mbeya., kwa mawasiliano Zaid nichek 0718930097., 0753422844
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Tabia hii imekuwa ikifanya chupi kuwa na kiharufu flan hivi kibaya kutokana na kukosa Jua vizuri na kupelekea mvaaji kuonekana ananuka. Jamani tuanike nguo za ndani nje tu na kama unahofia basi...
6 Reactions
49 Replies
14K Views
Habari ndugu zangu, Nipo kwenye ukarabati wa salon yangu ya kiume. Bado najitahidi kupata front view(design ya mbele) ndani kwenye vioo vya kujitazama kipindi mteja ananyolewa na interiol colour...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau? Nimekuta sehemu, nimecheka nimeona tushiriki pamoja kufurahi na kujiuliza. 'Perfume' yako, psii, psii, psii! Ukichukuwa perfume ya mwenzako, psiii, psiii, psiiiiiiiiiiii...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
-They're attractive and stylish for both men and women. (They add pleasure too...) -The piercing don't hurt much if you do it in the midline. (just a little pinch) -If you plan to remove the...
6 Reactions
305 Replies
19K Views
Habari, Mimi nina tatizo, uso wangu umekua na rashes na makovu meusi ila sijui tatizo ni nini, nilishauriwa kutumia carotone ila nmeng'aa tu Ila makovu yenye weusi bado yapo Msaada wenu wa mafuta...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Na weza kuingia dukani nika baki na ng'aa ng'aa macho nashindwa ni nunue ipi hapa?? Mwisho wa siku na ambulia patupu. Labda niulize ni lotion/ mafuta gani ya uso? Walau uso ungae vizuri naku...
2 Reactions
11 Replies
9K Views
Habari wakuu! Naomba kujuzwa je ni Agency gan kubwa na nzuri hapa Tz kwa Models wa kike na kiume... Ahsante!
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Naombeni msaada wa steaming nzuri ya kupaka kwenye nywele na kuacha bila kuosha sitaki hizi za kuosha, anaejua steaming ya kuacha kwenye nywele naombeni jina lake ninunue. Asanteni
1 Reactions
8 Replies
12K Views
kizuri kula na wenzio SKIN CARE ROUTINE # 1:CLEANSING - Fashvo
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Kinadada wengi wamekua wepesi kudanganyika na hata kupuuza rangi zao za asili, kitu ambacho kimefanya wengi ku bleach ngozi zao na kuishia kuziaribu kabisa Embu tazama thamani na uzuri...
4 Reactions
43 Replies
10K Views
Natarajia kufunga ndoa siku si nyngi.napenda nivae suti ya blue, ila mie kipato changu ni cha chini kidogo kwa maana hiyo sitaweza nunua suti ya laki 5. Nataka nishone iwe simple, smart and...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
*DESING AND PATTERN MAKING WORKSHOP TRAINING* POP UP FASHION inatoa mafunzo ya kudizaini nguo mbali mbali pia inatoa mafunzo ya upimaji wa nguo,kujua aina mbali mbali za...
1 Reactions
4 Replies
21K Views
Good morning..... Ngozi yenye chunusi na mafuta mengi Chukua asali kijiko kimoja Mdalasini (cinnamon) kijiko kimoja pia Vichanganyikane kwa pamoja, Osha uso, upake usoni huo mchanganyiko...
12 Reactions
27 Replies
28K Views
Kwa ufungaji viremba almaarufu kama Gele, Karibuni sana kwa anayetaka kujifunza, natoa mafunzo hayo, na anayetaka kufungwa popote ndani ya Dar nitakufuata kukufunga. Kufunga Gele Kitaambaa...
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Back
Top Bottom