Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Wakuu naomba yeyote anayejua dawa ya kuondoa hizi chunus ni ndogo ndogo tangu 2010 zinanisumbua
0 Reactions
12 Replies
12K Views
Achana na vichubuzi..tumia nanasi kung'arisha uso Pineapple is one of the sweetest fruit and is one of my favorite without forgetting grapefruits and passion. Pineapple has got enzymes that...
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Habari zenu wadau. Naomba niulize hili swali ni kwanini ma - designer wengi ni mashoga au kama si mashoga basi wamekaa kiulainilaini, kiasi kwamba huwatofautishi na hicho wanachotuhumiwa nacho...
3 Reactions
65 Replies
13K Views
Nataka cream ya kufuta kovu upande wa shavu niliungua ukubwa kama sh.100 duara sehemu ile ilipona na kuinuka so i feel badly nilienda hospitari wakachuna ngozi ya juu lakin hakusaidia ilipona na...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba msaada wa mafuta mazuri ya nywele kwa sisi tunaopenda kufuga afro..yasiyozidi bei 25000
1 Reactions
16 Replies
9K Views
Napenda kuwatakieni uhitimisho wa wiki mzuri, kwa wengi wanaita mapumziko ya wiki [furai dai] haa haaaa. Ila turudi sasa katika mada yenyewe, mada yenyewe ni kuhusu nywele za bandia kama wingi na...
0 Reactions
113 Replies
20K Views
What makes people attractive? And sometimes really, really attractive? Is it make ups? Food? Gym? Hotness is devilishly hard to generalize. A person's mood, cultural upbringing, and ability to...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa kipindi kirefu nimejaribu kuwafuatilia wasichana wanaopenda kuvaa magauni au sekti ndefu katika karne hii ya ishirini na moja ili nijue kwamba wanavaa hivyo kutunza maadili ya Mwafrika au wana...
3 Reactions
88 Replies
27K Views
Vazi hili naona limeanza kuwa maarufu hapa Tanzania kwa wanawake wa rika zote naliona katika misiba mbalimbali, katika sherehe mbalimbali, n.k na wengine wanalipa heshima na wengine wanalivunjia...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Do you already know Fred shop shop in Jumia Market? I think you would like it: fred-shop in Tanzania ✓ Jumia (Kaymu) shop&utm_campaign=androidapp_shop
0 Reactions
0 Replies
686 Views
..jmn ni njia ip na vitu gani vya asil husaidia kukuza nywele kwa haraka ??
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Katika pitapita yangu sijawahi kuona Mtu kanunua nguo yake ya ndani a.k.a Chupi halafu isimtoshe awe mnene au mwembamba. Hivyo basi nilitaka tu kujua ni UTAALAM gani hawa Wabunifu na Watengeneza...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Hi guys, Kwanini wajameni imekuwa hivi, vazi la sirini kuwa hadharani kiasi hiki si za kike wala za kiume kwanini lakini. Madukani ziko hadharani, wamachinga wanatembea nazo mitaani, kwenye...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Natumai mko poa. Jamani magagulo yamepotelea wapi .Nadhani wale wa umri wangu wanalikumbuka hili vazi la siri na la heshima sana enzi hizo. Huwezi kumkuta mdada au mmama hajalivaa hilo...
1 Reactions
47 Replies
13K Views
Ni mafuta yapi mazuri kwa ajili ya nywele na ngozi? Maana nina hali mbaya kisura.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari waungwana, naomba mnisaidie kama kuna mtu anayefahamu chuo chochote cha urembo hususani nywele! NB: UKINIPA MAWASILIANO YAO ITANISAIDIA ZAIDI, KIPAUMBELE CHANGU NIPATE CHUO KUTOKA ARUSHA...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari, Jamaani naombeni mnisaidie ni steaming ipi nzuri inajaza nywele, nywele yangu imekuwa very weak.
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Back
Top Bottom