Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
‘Being on the cover of Vogue at 15 meant nothing to me,’ confesses Carmen Dell’Orefice. She doesn’t mean to sound ungrateful; it was more that she was baffled by it all. ‘I never really...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Poleni sana wanawake wote kwa kazi ngumu za kulea familia Kumekuwepo na namna mbalimbali za ufungaji wa mikanda kwa hawa wanawake.Kuna wale wanaojibinya au funga karibu na matiti yao,wengine...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Kama unauza au unafahamu begi za namna hii zinauzwa wapi naomba unijulishe maana nazihitaji sana.
6 Reactions
9 Replies
5K Views
Si mimi tu na wewe, kuna baadhi ya watu pia wanataka jua kusuhu hili. ni nguo gani humfanya mtu (mvulana au msichana) aonekane mrembo au mtanashati? je? ni mitindo gani ya kuweka kichwani...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
VIPODOZI VISIVYO SALAMA NA MADHARA YAKE SEMINA HII IMEANDALIWA NA KULETWA KWAKO NA: S&E HEALTH SOLUTIONS; WATAALAM NA WASHAURI WA AFYA, UREMBO NA VIPODOZI ILALA BUNGONI, DAR ES SALAAM 0659 528 724...
0 Reactions
3 Replies
9K Views
Msaada wadau mi ni mpenz wa afro nywele ndefu ila kipilipili kinanikwamisha Nywele ninazo ila tatizo hazisimami zinabaki kushindiliana tu Nomben mnsaidie ili nywele isimame
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Warembo wangu mnatumia jinsi gani ya kupaka rangi ya mdomo? Zifuatazo ni mkusanyiko wa picha za tutorials za kumake up mdomo. (Warembo wa drama za Kikorea hupaka kama hivo) (Rahisi mno!)...
2 Reactions
45 Replies
25K Views
nauliza wadau duka gani naweza kupata suti nzuri ya kisasa kwa bei nafuu ama fundi gani anashona suti na haichukui mda mrefu
0 Reactions
14 Replies
6K Views
jamani huu uzi unatoa fursa kwa wale wote wanaopenda kufuga nywele,jinsi ya kuzitunza na kukabiliana na changamoto mbalimbali za nywele. nawakaribisha wadau mtoe michango yenu juu ya mafuta gani...
2 Reactions
4 Replies
9K Views
Mabinti wa sasa wanatembea na Mabegi makubwa makubwa hadi Ofisini yamejaa chanuo, lipstic, wanja, kioo, kanga 1, pedi, poda, perfume, nk. Yaani mama wanatembea na mizigo tofauti na mama zetu na...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Mimi ni mwenyeji wa mkoa wa Kigoma. Siku ya kwanza nilipokwenda kwenda ku-report kazini mwaka 2011 kampuni moja ya Dar kabla ya kuletwa huku Tanga,nilichomekea suruali yangu nzuri tu nimeipiga...
13 Reactions
48 Replies
7K Views
Habari wanaJF, Naomba tazameni hii Video, then toa maoni yako, juu ya kusemekana huku kwamba Sidiria zimekuwa na vitufe vinavyosababisha Kansa kisha waelimishe na wengine
1 Reactions
44 Replies
17K Views
Habari naomba kujulishwa rangi zifuatazo; Nyeusi, Nyeupe na Nyekundu. Zinauhisiano gani na secret society? Tuje hapa nyumbani Diamond anaongoza kuvaa rangi hizi kwenye shoo nyingi ndani na nje...
0 Reactions
14 Replies
10K Views
Ndo mara yangu ya kwanza. Sijui natakiwa nivaaje na nibebe nguo gani. Naomben mnisaidie nifanyaje. Kuna special Cruise clothes ? Msaada pls.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari kina dada/mama, Leo napenda niwakumbushe urembo ambao watu wengi huwa inatuwia vigumu sana kuutengeneza kwa mazoez. Najua kuna baadhi yetu tunajua Kua mazoez ya viungo yanakufanya uwe na...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau. Naomba kufahamishwa ni wapi ntapata suti za kiume za gharama nafuu kuanzia laki moja kwa Dar es salaam.
1 Reactions
2 Replies
3K Views
.
4 Reactions
56 Replies
8K Views
Naombeni msaada jinsi ya kuzifanya nywele zangu ziwe nyeusi na zilizoshiba. Nimekuwa mtu wa nywele nyepesi na zisizo na afya. Kama unajua mafuta yeyote ya nywele yanayoweza kubadilisha nywele...
0 Reactions
13 Replies
55K Views
Back
Top Bottom