Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Habari wadau Naomba mnijuze ni dawa ipi ya nywele nzuri, inaweza nifaa kwa hizi nywele zangu fupi? Nikisema fupi sio fupi sna nasuka mpaka nywele sita, ila tatizo kipilipili kimezidi nataka...
1 Reactions
5 Replies
17K Views
Naombeni ushauri nifanyeje ili kuwa na brand ya nguo ikiwa mm sio maarufu..na kwa kuanzia inahitaji kama kiasi gan hv..mnaofahamu tafadhali
1 Reactions
0 Replies
799 Views
Napenda sana fashion..hususani upate wa modeling yani hasa kwenye matangazo ya television na kwenye bao za matangazo ila sijajua, vigezo gani hasa hutazamwa na wanatasnia.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nimekuja na uzi huu maalum kwetu vijana tuelezane njia nzuri ya kutengeneza six pack bila kunyanyua vyuma! Naamin hili ni shauku kwa vijana wengi mijini na vijijimi pia na ukizingatia wakati...
1 Reactions
32 Replies
19K Views
Ni fundi yupi huyu maridadi anayeshona zile "suits" za viongozi, mf Waziri Mkuu,wabunge,Ma-RC etc? Mwenye ufahamu please..
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mungu kawapa wanaume nywele za usoni: kwenye mashavu, kidevuni na mdomoni.Bila shaka alijua sababu za kufanya hivyo ila sasa baadhi ya wanaume (hasa vijana) huachia nywele hizo kujiotea hovyo na...
3 Reactions
58 Replies
16K Views
Habari. Naomba kujua dawa ya kufanya nywele fupi kuwa na mawimbi pamoja na mafuta yake baada ya dawa. Hapa namaanisha nywele kwa mfano za lulu zinavyovutia na nyingine kama hizo.
0 Reactions
22 Replies
39K Views
Habari za mihangaiko ya hapa na pale kutafuta chochote kitu wana JF! Unaonaje fashion hii ikarudi tena miaka hii?
3 Reactions
35 Replies
8K Views
Mwaaaaaaaaaa!![emoji7] ......Ni kwa vile tu siwezi kumgeuza ili nione chura![emoji1][emoji1] [emoji1]
3 Reactions
37 Replies
6K Views
Habari wanaJF, Kwenye hili jukwaa mm ni mgeni, ila kuna idea moja naomba niwashirikishe : jana kuna jamaa angu kaja na hii idea akanielezea akaniambia na mm niendelee kufikiria. Yaan ni hivi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hamjambo wadau; Napenda kufahamishwa kuhusu aina ya sabuni na vifaa ama mahitaji muhimu yanayotumika katika ufuaji wa vazi la shela ukiwa nyumbani pasipokuipeleka kwa dobi.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu Salaam. Hizo brand hapo juu wana mavazi mengi sana kuanzia viatu, suruali, saa , underwear, kofia na kadhalika , cha ajabu kwa Africa ukitoa Nigeria, south africa, Uganda, egypt maeneo mengi...
2 Reactions
51 Replies
13K Views
Hii ni hatari sana! Juzi nikapata Dada mmoja nikamtongoza akakubari, akanipanga siku! Siku yakwenda kumgegeda sasa hiiiiiii! yaani nilichoona pale mbele nikichaka cheusi tiiiii, mwanaume...
8 Reactions
126 Replies
22K Views
Jamani ...mi huwa natoka vipele mara kwa mara usoni na sivipendi kama nini..ngozi yangu ni ya mafuta na huwa natumia sabuni za kawaida tu...naombeni ushauri nitumie nini ili niondokne navyo...
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Salaam wanajukwaa, Kwa miaka mingi nimekuwa nikitamani kuwa na kadoti cha shavuni (kama kajiuvimbe). Nikimwangalia Jokate anapendezea sana na kale kakidoti kake. Naomba wataalam wa maswala ya...
2 Reactions
26 Replies
7K Views
Habari zenu wapenzi!!! Naomba mnisaidie mimi ni mweusi kiasi wanaita maji ya kunde nina ngozi ya mafuta nataka kuwa na rangi ya chocolet smothy kama nimezaliwa leo Nishaurini mtumie lotion gani...
2 Reactions
35 Replies
10K Views
Wadau, Bila shaka mmeshatazama porn video za black. Sasa kuna yale mafuta wanapakwa wadada kwenye makalio then makalio yanang'aa na kunona zaidi. Anaejua jina la yale mafuta na yanakopatikana...
1 Reactions
19 Replies
8K Views
Kwa wale warembo wenzangu wenye ngozi nyeusi kama yangu au wale wenye weusi wa maji ya kunde hizi ndio lipstick zetu zinazotufaa zaidi na kutupendeza.
13 Reactions
84 Replies
15K Views
Habari, wapi ntapata mac powder na foundation yake original? Kama kuna mtu anajua wapi naweza kupata naomba anielekeze tafadhali! Natanguliza shukrani
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom