Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Wasalaam Aleikum Ndugu zangu wapenzi, kama heading inavyosema naombeni mnisaidie kama kuna dawa inaweza kukuza ndevu yaani kama zipo kwa mbali ziote haraka Ahsanteni!
1 Reactions
23 Replies
14K Views
Habari wana jamvi..naomba yeyote anaefahamu kuhusu vipodozi kutoka kampuni ya Oriflame aniambie especially vipodozi vya ngozi kuhusu ufanyaji kazi wake..binafsi nimetumia sana but cjawahi kupata...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wadau, Mimi nina tatizo moja la uso wangu kuwa mwekundu sio sana lakini unakua mwekundu kwa mbali kama nikitembea sana juani, nikipika au nikipata stress. yaani nikihangaika kidogo tu uso...
1 Reactions
22 Replies
8K Views
Kuna ubaya wowote Mwanamme kufuga kucha? Wanawake mnachukuliaje hii issue? Na Wanaume mna suggest nini??
1 Reactions
156 Replies
29K Views
Hellow jaman ushauri wenu mimi si mweupe wala si mweusi nipo kati asa nataka ning'ae zaid mafuta gani ambayo nikipaka yataning'arisha yani sio ya kuchubua nataka ya kung'arisha ngozi tu pia ngoz...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Habari zenu wana JF, Samahani naomba kuuliza hivi huduma za hair waxing au products za waxing zinapatikana wapi hapa Dar?
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Nimekuwa mtumiaji wa mafuta ya mgando tangu nazaliwa especially babycare,family,mamis,Vaseline,na samona.Ila siku za karibuni ngozi yangu imekuwa haieleweki nimeshauriwa niachane na mafuta ya...
2 Reactions
71 Replies
35K Views
**** LOVE NATURE TEA TREE **** Set hii hutumika kwa watu jinsia zote, yaani ya kike na ya kiume. Pia ni kwa wale wenye ngozi yenye mafuta na kwa umri wowote. - Husaidia kuondoa mafuta kwenye...
1 Reactions
4 Replies
7K Views
wanawake sisi sometimes tunajipenda utadhani hatutakufa.jana nilikuwa na shosti wangu mmoja hivi sehemu .huyu shosti tumetoka kijiji kimoja kwa hyo gene zake nazijua kabisa . Ila mwenzangu ana...
9 Reactions
37 Replies
5K Views
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari ya jumapili wandugu, Hivi hamna dawa ya kuzuia ndevu zisiote tena yaani milele katika katika kidevu.
1 Reactions
25 Replies
27K Views
Jamani, kuna kitu kimejitokeza ambacho sie wanaume hatukijui? Usiku wa leo nimekuwapo The great park kuthibitisha ka utafiti kangu... Ni kweli kuwa asilimia kubwa ya wanawake waliokuwepo pale...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Za leo wanajamvi, Kwanini kwa 90% ya wanaofuga #RASTA na wanaofanya kazi za #Kuchora Huwa wachafu sana na wapo rafu kimavazi na kimwili? Huwa napata wakati mgumu kuwaelewa hawa watu, tatizo ni...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Wanajamii naombeni mnifahamishe.Kunawanaume wanavaa pete Mkono wa kulia Utamwona amevaa Pete mbili Moja Ina dude jekundu kwa juu ha nyingine ina dude la Kijani.je ni ulembo au kunamaana nyingine...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Mastaa wakubwa kama wafilamu na muziki hasa nchi za nje unaweza kuona zamani walikua wakijiachia na magarden love lakini saivi vifua vyeupe. Wakuu tutaje hapa viondoa garden love kama ni lotion...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Swala la kuchagua what type of outfit katika matukio flani, flani kwa vijana imekua shida sana kwa hasa ukizingatia tumetoka kwenye local family zisizojali sana haya mambo. Hapa nitalenga zaidi...
11 Reactions
32 Replies
7K Views
Wanabodi salaam, Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi hivi kuna umuhimu wa kuvaa nguo za ndani, sawa iwe kwa mwanamke au mwanamme. Hivi hizi nguo za nje si zinatusitiri tayari? Wajuzi waniweke sawa.
0 Reactions
54 Replies
9K Views
Wakuu, Naomba msaada wa kujua nguo/fashion nzuri ya nguo za kuvaa za Me na Ke kwa mtu anaetoa mahari na kuvalishana pete. Najua kuna wazoefu wa matukio kama haya. Asanteni.
5 Reactions
91 Replies
55K Views
Wakuu mambo vipi, Kwa mda sasa nimekuwa natumia mafuta ya Vaseline ila sasa nataka ku Upgrade. Je mafuta gani mazuri na classic ya kiume mna recommend? Bei I-range 20 to 30k Tsh. Karibuni
1 Reactions
6 Replies
7K Views
Naombeni ushauri nifanyeje ili kuwa na brand ya nguo ikiwa mm sio maarufu..na kwa kuanzia inahitaji kama kiasi gan hv..mnaofahamu tafadhali
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom