Bikuhabari wapenzi wenzangu wa fashion, bila shaka natumaini kuwa hamjambo, binafsi ni mdau mkubwa sana wa vipindi vya fashion hapa nchini.
Sema kwa leo nitazungumzia vipindi viwili vya fashion...
Katika pitapita zangu nimegundua kuwa wanawake wanaotokea kuwa na ndevu huwa hawazinyoi kabisa hata zikirefuka vipi, tofauti na sisi wanaume ambao wengi wetu hatutaki kuziona zikitokea tu...
Hii mikasa inawapata watu wengi sana,
Pale unapoinunua nguo nzuri kabisa na kufika nayo nyumbani,
kimbembe unakipata wakati wa kuifua, Unakuta rangi yote inachujuka na nguo kupoteza ubora wake wa...
1.Kuvaa mkanda uliochakaa licha ya kuvaa viatu vizuri, suruali na shati la kisasa kabisa!
2.Kuruka Ruksi wakati wa kuvaa mkanda. Daima hakikisha mkanda wako umepita kwenye ruksi husika kabla...
Unajua jambo? Si lazima utumie hela za bidii yako kununua vipodozi na vyoo ghali — unachohitaji kufanya tu kupeleka mwonekano wenye ubunifu jikoni mwako! Kweli! Huenda usingetabiri, lakini asili...
Habari zenu wa ndugu, hasa wadau wa urembo hususani wa nywele. Wapendwa kuna dawa nimeisikia inaitwa LASER CURL (kama sijakosea), ambayo ni kwa ajili ya nywele natural ndefu kiasi na inafanya...
Poleni kwa majukumu ya kazi wanajamvi, nimekua nikijiuliza swali kwa mda mrefu ila nkaona nishee apa.... awa wadada wanaobandika kucha ndefu mikono yote miwili ivi inapofika swala la kuchamba...
Wakuu habari ya mda huu! Naombeni msaada wenu kwa yeyote anayefahamu Lotion ipi nzuri uso wenye mafuta mengi na Sehemu yenye baridi? Maana nimekuja mkoa wenye baridi sana sasa wakati nipo Dar...
Habari zenu mabibi na mabwana ,kwa yeyote mwenye uzoefu jinsi ya kuondoa tumbo baada ya kujifungua naomba anielekeze ili niweze kurudia hali yangu ya kawaida .
Mchango wako ni wa muhimu sana ,karibuni
Habari wanajamiiforum.
Leo tushirikiane katika hili. Kumekuwa na utata mkubwa sana kwa pande zote mbili husasani siku ya kwanza kukutana na mpenzi wako, ambae labda kwa muda mrefu mlikuwa...
Kumekuwa na ka tabia ka hawa madada zetu wanao jiweka mawigi vichwani mwao halafu ikitokea unaongea nae basi anajifanya kutikisa kichwa hivi huku akiweka sawa hizo nywele zake bandia..
Kwa mda...
Wakuu poleni na majukumu ,,ni zamani kidogo niliwahi kupaka lotion ya kuondoa nywele kwapani kwa ndg yang mmoja lakn kwa sasa jina silikumbuki kwa usahihi,,,, naombeni tushare ideas kwa yeyote...
Habari wandugu'
Jamani mpaka nimefikia kuandika hapa ni ile tabia ya kina dada kuacha nywele nyiingi sehemu za siri
Nilikutana na mwanamke duu! kiukweli badala ya kufurahia mapenzi alinitia...
Mie ni kijana wa 35+, nina mke na watoto wawili.
Lakini kwa ushauri wa mke wangu, kutokana na ngozi yangu kuwa ngumu na isiyovutia machoni mwake ndo akaniletea mafuta ya Nazi nianze kuyatumia. Na...
Zifuatazo ni peel face mask ambazo zitasaidia kukisafisha uso kutoa blackheads usoni ,na mafutamafuta na uchafu wote,na kukuwacha na ngozi safi kabisaa.msishangae vyote hivo mm nmeshajaribu na...
Ndugu wana jamvi, nawasalimu nyote,
Leo ni Jumpili, na maeneo nilipo ni njia inayotumika sana kupita watu wakienda kusali, Jana walipita wasabato nawacheki! Na leo walokole, maana makanisa yao...
Hellow,kuna post humu nilisoma kuwa maji ya rose water hupatikana kwa kuloweka majani ya ua rose na kinachopatikana hapo ndo hayo maji ya rose water,asa nna swali je nikichukua hayo majan...
Wakuu, baada ya muda mrefu hatimaye na mie nimeanza kuvaa hivi visuruali vinavyobana mapaja!
Hii ni baada ya mpenzi wangu kuniambia kuwa hizo ndio pamba zinazobamba na yeye anadata na pigo hizo...
Habarini waungwana, wiki iliyopita nilisoma habari za mwanamama mmoja mjasiriamali anayeuza urembo asilia kwa ajili ya nywele, ngozi na vinginevyo. Bahati mbaya gazeti silioni hapa hata jina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.