Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Unakuta shati la Gucci linauzwa shillingi laki tano za ki- bongo na wakati mashati mazuri ya Egyptian cotton yanauzwa Tshillings 50,000 lakini kuna watu Wataona ufahari kumiliki shati la Gucci...
6 Reactions
61 Replies
6K Views
Habari Waungwana Nasikia eti rose water kuna fake na origional sasa naomba mnambie, unatambuaje kwamba hii ni fake na hii ni origional?pia kwenye mafuta huwa wanaweka rose water au rose oil?
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Habari za siku wapendwa.. Nna shida na fundi nguo, awe anajua kushona mishono yote pia aweze kunichagulia mshono kulingana na umbo langu, asiwe na bei... Mwenye fundi anaemfahamu anielekeze plz
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Naomba kufahamu viwango vya bei ya suti kwa huyu jamaa Sheria Ngowi, ni bei gani?
3 Reactions
246 Replies
92K Views
Nimejaribu kuwatafiti wadada kadhaa ambao mambo yao katika uhusiano hayako vizuri na wengi wao wamesuka vile vi dred... Kuna siri gani nyuma ya hilo? Ni ile saikolojia ya kuwa am strong and I can...
2 Reactions
39 Replies
6K Views
Kila mwana dada niliyewahi kumuona kavaa lile gauni la madoa ya chui chui alikuwa amependeza maana gauni lilimkaa fresh. Nikawaza iwapo kuna binti ambaye gauni hili halijawahi kumpendeza, sidhani...
1 Reactions
46 Replies
13K Views
Habari waungwana Naomba mrejesho kwa aliewahi tumia au anaetumia mafuta ya totem na je yanachubua au?pia ningependa kujua yametengenezwa wapi na bei yake pia ni sh ngapi!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwema wandugu naomba nifahamu ivi ni mafuta au lotion gani zuri kwa matumizi ya mwanaume
0 Reactions
36 Replies
12K Views
Kwa wale wanamitindo ni aina gani za nguo kijana (gentlemen) inabidi avae katika hali tofauti?
0 Reactions
24 Replies
12K Views
Tangu nizaliwe sijawai tumia perfume lakini nafakuanza kutumia perfume kulingana na kazi Yangu je ni perfume gani nitumie Nature ya kazi Yangu ni kuwakaribu na watu
3 Reactions
52 Replies
10K Views
Mnisamehe tu leo... Suala la mwanaume kunukia kama mtoto wa kike linakera sana. Hii inatokana na kujipulizia mapafyumu. Mungu aliumba harufu za asili za kike na kiume tubaki na hizo. Lets get...
8 Reactions
137 Replies
19K Views
Wanamitindo wawili wakati wa maonesho ya mitindo ya mavazi ya Stara Fashion Week yalioandaliwa City Garden, Dar es salaam. Maonesho yalitumiwa na wabunifu mitindo wa Kiislamu Tanzania kuvumisha...
3 Reactions
36 Replies
23K Views
Spring Collection 2018
2 Reactions
58 Replies
5K Views
Hi JF Ni kama uzi unavyojieleza, katika mishe zangu za hapa na pale mara kadhaa nimekutana na baadhi ya wadada warembo, watanashati, waliojipamba vizuri wakakolea ila ukiendelea kumtazama vizuri...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
.
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Jamani naomba msaada kuhusu hili, kuna rafiki yangu ana miaka 17 tu ila tayari ameshaanza kupata dalili za upaa kitu ambacho kimekua kikimletea msongo wa mawazo. Naomba kujua kama upaa una tiba au...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Yaani kuna kama viupele vinanisumbua wiki ya pili sasa kuna dawa nimepewa hospitali moja ya private hapa mjini Dodoma haijasaidia sijui nifanye nini inaninyima raha sana. vinawasha ila si sana...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Fundi ususi kwa bei poa anapatikana Manzese Bakhresa, nyumbani pia anakufuata (ila gharama itaongezeka kidogo), wasiliana nae kwa namba 0712721394 nywele zote zina range kati ya Tsh. 10,000...
0 Reactions
11 Replies
28K Views
Sababu inayofanya watu wengi wasianike chupi ktk kamba nje au hadharani tofauti na nguo nyingine ni madoa sugu "skid marks" hasa kwa chupi nyeupe, solution yake ni nini? Fungukeni
2 Reactions
54 Replies
9K Views
Back
Top Bottom