Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Ndugu zangu nawaomba mnikaribishe mgeni katika jukwaa. Nmekuwa mwanajumuia kwa kuchungulia tu lakini sasa nimevutiwa kuwa mwanachama hai. Asanteni sana.
5 Reactions
20 Replies
818 Views
Am new member mekua nkipitia nakala mbali mbali umu kujifunza now nimeamua kujiunga kabisa naomben mwongozo
6 Reactions
66 Replies
2K Views
Ni mda mrefu nimmejiunga but hii ndo my first post, I hope ntaongeza chochote ,kwenye vichwa vyenu, na maisha kwa ujumla, . Na me pia nitaongeza ila nshaongeza Sana ni muda wenu was kuongeza...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari Member wenzangu, Naitwa Jesca mm ni mgeni nimefurahi kujiunga JF.
4 Reactions
17 Replies
583 Views
Kwa muda mrefu sana nimetamani kuwa member katika jukwaa hili. Nashukuru leo nimefanikiwa.
1 Reactions
8 Replies
933 Views
Salaam wakuu natumaini humu nyote ni wazima wa afya. Kwa sasa jina langu nililokuwa nalitumia mwanzo la Mohamedex121 nimeamua kulichange na sasa mnaweza kunipata katika threads kama Mohamed...
2 Reactions
11 Replies
878 Views
Habari wana jf naomben mnipokee katika ukurasa huu pendwa wa jamii forum mnielekeze ndugu yenu yale nayostahili kuelekezwa ili tuweze kushirikiana vizur katika mambo yetu ya jamii
2 Reactions
7 Replies
495 Views
Nimekuja humu ndani kwani ni sehemu salama ya kujipatia maarifa na ushauri kuweza kuelewa uelekeo wa dunia kwa ujumla. Kutoka Arusha
4 Reactions
8 Replies
466 Views
Hodi hodi uwanjani, Wenyeji nifungulieni, Clamyidia mi mgeni, Wenyeji nipokeeni. Ninagonga mlangoni, Majirani tusiwaamsheni, Clamyidia nifungulieni, Wenyeji nipokeeni. Naskia JF sio gengeni...
1 Reactions
17 Replies
839 Views
Naitwa termux from (Tanganyika) Darusalaam Tupambane kwa ajili ya Tanzania bora na ya wazalendo. •Nina furaha kujiunga na JF Tanganyika kwanza (Tamaduni zetu na maadili yetu ) #Dini zilikuja...
2 Reactions
5 Replies
810 Views
Habari mi naitwa happy ni mgen Jf kuanza nitakuwa nanyi
6 Reactions
60 Replies
2K Views
Habar zenyuuu nyote!
1 Reactions
15 Replies
536 Views
Baada ya kupotea kwa muda nimerud tena. Haya nianzie wapi?
1 Reactions
10 Replies
541 Views
Mnipokee mebers
1 Reactions
7 Replies
954 Views
Holla wakuu, Nimerudi tena Jamii Furum, since 2017 finally leo ndio na Login naomba ushirikiano wenu, wakuu, by professional ni FUNDI UMEME karibuni pia naomba mnipokee.
3 Reactions
8 Replies
576 Views
Hello JF members, happy to join you.
2 Reactions
10 Replies
493 Views
Hodi hodi humu.
1 Reactions
3 Replies
410 Views
Jamani hamjambo
1 Reactions
4 Replies
420 Views
Habar ya wakat huu wapendwa mimi ni mwanachama wa jf nilikuwepo muda tangu 2021 lakin sijajitambulisha kwenu...naombeniii mnipokeeee na ni fresh graduate natafuta internship ilii kupata experience...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Back
Top Bottom