My Name is John Sule.
A Bachelor of Science in Cyber-Security Student at The Institute of Finance Management(IFM) ....A Web developer with passion for creating beautiful and functional websites...
Nawasalimu kwa Jina la Mungu mwenye Rehema na upendo mkubwa!
Wana JF nimeingia Hapa kwenu leo nikigonga hodi Katika milango ya Mawazo yenu.
Nipokeeni kwa Moyo mkunjufu na Upendo kamili!
Hello guys,
Nashukuru kupata nafasi ya kujiunga pamoja nanyi katika jukwaa hili, nimatumaini yangu nitajifunza mengi mazuri kutoka kwenu hasa kwenye Siasa, ushauri, urembo na mengine mengi.
Shukrani
Mimi ni mgeni humu kutokea maeneo ya Mo Arena Bunju.
Namtafuta mgonjwa wangu muhimu sana tulipotezana uwanja wa taifa baada ya goli la pili kufungwa baina ya Simba na Yanga. Sijui yu hali gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.