Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hodi wanajamii! 👋 Naitwa Oscar Ndayi 🇧🇮, Mrundi kwa asili lakini kwa sasa nipo nchini Indonesia 🇮🇩 kusoma (Doctoral Student) katika Programu ya Tathmini ya Miradi (Program Evaluation), Chuo Kikuu...
13 Reactions
19 Replies
524 Views
Wasalaam! Mdau mpya kwenye mtandao huu naomba mnipokee!
1 Reactions
5 Replies
222 Views
Waungwana! Hapa ni mahala ambapo waungwana hukutana kwa lengo la kujadiliana,kuelimishana, kuonyana,kukosoana, kupongezana,kupeana ushauri na kubadilishana uzoefu katika mambo mbalimbali kwa njia...
2 Reactions
5 Replies
421 Views
Hodi humu ndani natumaini nitajifunza yaliyo mengi
13 Reactions
45 Replies
1K Views
Nawasalamu wote wana jf naomba kuungana nanyi mnipokee plS
2 Reactions
12 Replies
424 Views
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa TANGANYIKA na Zanzibar. Mgeni mimi, hii nchi naipenda sana😥. Natafuta Mchumba aambatane nami katika haya Mapenzi. Ahsanteni kwa uwepo wenu.
4 Reactions
22 Replies
413 Views
Habari wana JamiiForums, Naitwa nyamwii255 naomba ushirikiano wenu Ahsante.
9 Reactions
43 Replies
987 Views
Ndugu zanguni wajuvi, wadadisi na wengineo, Mie ndugu yenu Kiranga cha Ngeda wa viunga vya bandari iso salama, Kiranga wa upande wa Mbwamaji, Kiranga wa Mkuranga,kakae Muamini na mwana wa Fundi...
44 Reactions
140 Replies
17K Views
Heloooo.... Nina Furaha kuuuubwa sana nimejiunga Leo jf "Home of greater thinker" Nitegemeee mazuri yapi kutoka jf najua hamna mabaya
8 Reactions
104 Replies
2K Views
Wakuu Mimi ni Mgeni humu ndani mnipokee
4 Reactions
15 Replies
412 Views
Samahanini. Mimi ni mgeni hapa JF naombeni mnipokee mnipe na utaratibu uliopo. Nimefurahi sana kujiunga hapa leo.
2 Reactions
25 Replies
807 Views
Hi guyz, Wakubwa shikamooni. Mimi ni mgeni, naomben kujua vitu vya kuzingatia nsije nkajikuta nimepuyanga jomon .
18 Reactions
278 Replies
5K Views
Habari za wakati huu wadau, Kiredio amekuwa mfuatiliaji wa forum hii kaa kipindi kirefu na sasa nimeamua kujiunga rasmi. Naamini JF ina watu smart na wenye upeo mkubwa wa kuchangia na hata...
11 Reactions
61 Replies
1K Views
Hodi mtaa huu. Nafurahi kuwa mwanafamilia
7 Reactions
64 Replies
1K Views
Nimekuwa mfuatiliaji mwezi mzima nimeona na mie nijiunge, rasmiii. Naombeni mnikaribisheee jamani.
17 Reactions
75 Replies
2K Views
i,m new to jamiiforums. naona ni site nzuri ya news na vitu vingine vya buludani.
0 Reactions
5 Replies
764 Views
Nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali hapa JF kwa muda mrefu hatimae leo nimekuwa miongoni mwa member naombeni mnipokee kwa mikono miwili
5 Reactions
24 Replies
700 Views
Nikiwa siku kadhaa sijaonekana kwenye huu mtandao wangu pendwa wa jamii forum kutokana na majukumu yangu magumu ya kitaifa na kimataifa,Sasa nimerejea tena hapa jamii forum Kwa energy yangu kubwa...
6 Reactions
11 Replies
716 Views
Hodii hapa. Kalbu ninaipenda, zaidi kutoka kwenu Kwa kupenda, yetu yawe yenu Hodi hodi hapa, mlango nifunguliwe. Be blessed
2 Reactions
5 Replies
345 Views
Habarini jamii forums nipende kujiunga nanyi katika jukwaa hili adhimu kushiriki na kuleta mijadala yenye tija Kwa taifa na jamii Kwa ujumla Ikiwa na lengo la Kulinda Amani mshikamano na umoja...
2 Reactions
5 Replies
421 Views
Back
Top Bottom