Habari zenu gentlemen & ladies, ikiwa unafurahia kupokea wageni wapya hapa jamiiforums basi naomba unikaribishe kwa kunipa like na nasaha zako, nimekuja kuongeza maarifa hapa.
Mimi ni mgeni humu JF na ID yangu haina hata mwezi mmoja. Nimependa JF Mwana ni mtandao wa kijamii unaokukutanisha Mimi na watu wengi wenye uelewa tofauti tofauti na ujuzi wa mambo anuai...
Natumai Amani na utulivu vimetawala katika familia hii.
Katika ugeni wangu, naomba kujiunga nanyi, nami niwe sehemu katika platfom hii muhimu.
Asante.
Naomba kuwasilisha.
Ndugu zangu napenda kujitambulisha. Naitwa Muberwa ninaishi Dar es Salaam. Nimefurahi sana kujiunga nanyi katika mtandao huu. Nawatakia majadiliano mema na siku njema.
salamu nyingi ziwafikie...
Hello to All,
my name is Jozen-Bo. I am happy to be here and see such an active place as this one. I was seeking a technology forums and this popped up in the Google hits. I am interested in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.