Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Habarini wandugu............mimi ni mgeni umu ndani nimeipenda hii sehemuu!!!!!!!!!
0 Reactions
4 Replies
941 Views
hodii wenyeji natumaini kupata mapokezi rafiki
0 Reactions
5 Replies
868 Views
Naomba tuwe pamoja.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tupambane,;nchi ni yetu sote!!
0 Reactions
7 Replies
857 Views
mambo vp m mgeni nakaribishwaje.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habaaaaaaaaaaaariiiiiii
0 Reactions
4 Replies
908 Views
Habari zenu wanajamii forum mi Ni mgeni humu mnipokee Mnakalibishwa kama mna maswali,ahsanteni. Amber rose
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Wanajamvi nawapenda nyote kwa kipnd kirefu nmekuwa nikiwafuatilia nimejifunza mengi sanaaaaa nmeona si vibaya nikiwa mwana JF... Sema nn hivi huku ni mwiko kutaja Jina lako halisi???
0 Reactions
5 Replies
1K Views
nimekuwa nikifuatilia maongezi hadi nimeona kuna kitu najiidhurumu. Nimeamua na mimi kuja humu. naomba ukaribisho. Nimejikuta nimeanza na wanandugu wa MMU maana siasa ninaweza kutolewa speed...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wengi wetu wamezoea mwenyeji ndo anawakaribisha wageni... Me naomba ukaribisho wa kuingia ndani tu na kupewa ushirikiano wa hali na mali ila kwa mambo fulani ya outings karibuni...
0 Reactions
5 Replies
970 Views
jamani me mgeni wenu naomba mnipokee humu ndani
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani wana Jamii forum mimi ni mgeni mwenyeji...nimekuwa nikiisoma forums mbali mbali humu ndani...nikaona ni jambo la kheri na mimi kuwa member
0 Reactions
7 Replies
860 Views
mnipokee na ushirikiano pipo
0 Reactions
7 Replies
773 Views
New memba...... kwa ukarimu naomba mnipokee kwakuwa mawazo yangu yatakuwa na mchango kwa hiki kizazi cha mlege na vimini
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hodi kidogo nasema hodiii,wakubwa heshima yenu,wadogo hamjambo?mie mgeni jamani naombeni kumbatio lenu wenyeji. Asanteni.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
V
0 Reactions
5 Replies
725 Views
Nimekuwj nikifuatiria sana mijajara mingi sana humu .kiukwel huwa na enjoy sana.nashukuru leo nimepewa fulsa ya kujiunga nanyi naombeni mnipokee.NAWAPENDA NYOTE
0 Reactions
7 Replies
852 Views
hamjambo wana jf,nimekuwa nikilifuatilia jukwa hili kwa mda sasa nanimeamua kujiunga nanyi na ninaomba mnikaribishe wana jamvi asanteni.
0 Reactions
10 Replies
888 Views
wazima humu mapokezi ndio wap??
0 Reactions
8 Replies
882 Views
Hi.. Wanajamvi
0 Reactions
7 Replies
893 Views
Back
Top Bottom