Wanajamvi nawapenda nyote kwa kipnd kirefu nmekuwa nikiwafuatilia nimejifunza mengi sanaaaaa nmeona si vibaya nikiwa mwana JF... Sema nn hivi huku ni mwiko kutaja Jina lako halisi???
nimekuwa nikifuatilia maongezi hadi nimeona kuna kitu najiidhurumu. Nimeamua na mimi kuja humu.
naomba ukaribisho.
Nimejikuta nimeanza na wanandugu wa MMU maana siasa ninaweza kutolewa speed...
Wengi wetu wamezoea mwenyeji ndo anawakaribisha wageni... Me naomba ukaribisho wa kuingia ndani tu na kupewa ushirikiano wa hali na mali ila kwa mambo fulani ya outings karibuni...
Nimekuwj nikifuatiria sana mijajara mingi sana humu .kiukwel huwa na enjoy sana.nashukuru leo nimepewa fulsa ya kujiunga nanyi naombeni mnipokee.NAWAPENDA NYOTE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.