Hi oll napenda sana kuchat kwa email kwa atakae penda tubadilishane mawazo na kupeana michongo pia boybway@gmail.com.... my number ni 0689 784 834 eney time penda wote
From near Arusha
Jamani nimechoka kuchungulia au kula chabo kila siku nimeona nijisalimishe rasmi nafaidi uhondo wa JF kwa raha zangu kujiiba iba sio kuzuri. Naomba wakongwe mnifanyie orientation na maeneo husika...
Nimerudi Tena Jamvini Ndugu Zangu Baada Ya Kusota Rumande Takribani Miezi Sita Kwa Kosa La Kusingiziwa Namshukuru Mungu Nimerudi Tena Uraiani
#2gether_2nawakilisha
Wakuu,
Poleni na majukumu na ongereni pia. Ndo kwanza nimepata taarifa ya uwepo wa jukwaa hili. Nipo masomoni nchini Gambia. Mimi ni mtanzania typical nimezaliwa mkoani Tanga!
Sasa wadau naona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.