Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Nimefurahi sana kujiunga nanyi... very excited!! nategemea kujifunza mengi kutoka kwenu maana nasikia humu ndani kuna vichwa hatari.
0 Reactions
6 Replies
891 Views
Wapendwa wana JF mimi ni mgeni humu kwaiyo naomba kukaribishwa jamani. Asanteniiii:wink2::wink2::peace:
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Hi
Hello room nafurahi kuwa hapa pamoja nanyi ila mi mgeni naombeni mnipoke kwa mikono miwili
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hodii jamani mi mgeni humu
0 Reactions
4 Replies
764 Views
Hi
Hi oll napenda sana kuchat kwa email kwa atakae penda tubadilishane mawazo na kupeana michongo pia boybway@gmail.com.... my number ni 0689 784 834 eney time penda wote From near Arusha
0 Reactions
2 Replies
685 Views
Hodi jamani! Hakika ni furaha nami kuwa mmoja kati ya member wa. JamiiForum Naombeni ushirikiano wenu wa hali na mali Ahsanteni sana
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani nimechoka kuchungulia au kula chabo kila siku nimeona nijisalimishe rasmi nafaidi uhondo wa JF kwa raha zangu kujiiba iba sio kuzuri. Naomba wakongwe mnifanyie orientation na maeneo husika...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Jaman hodi humu ndaniiiiiiiiiiiii wazima kabsa
0 Reactions
9 Replies
1K Views
am a new member.... nipokeen jmn nawapendaaa
0 Reactions
4 Replies
790 Views
Ooh yeah, tupo pamoja Tuendelee kushirikiana kama ilivyo jadi yetu humu ndani. Love you all
1 Reactions
14 Replies
1K Views
wakuu hodi
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Hi
Habari zenu humu ndani? Mgeni mimi
1 Reactions
10 Replies
1K Views
hodi wakuu wa jf naombeni mnipokee.
0 Reactions
6 Replies
970 Views
Habari zenu wana jf Jina: bernard Zakaria Msigwa Hongereni kwa kupashana habari motomoto
0 Reactions
7 Replies
892 Views
Nasema hodi hodiioooooo
0 Reactions
7 Replies
770 Views
mimi ni mdau mpya
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hodiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nimerudi Tena Jamvini Ndugu Zangu Baada Ya Kusota Rumande Takribani Miezi Sita Kwa Kosa La Kusingiziwa Namshukuru Mungu Nimerudi Tena Uraiani #2gether_2nawakilisha
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, Poleni na majukumu na ongereni pia. Ndo kwanza nimepata taarifa ya uwepo wa jukwaa hili. Nipo masomoni nchini Gambia. Mimi ni mtanzania typical nimezaliwa mkoani Tanga! Sasa wadau naona...
1 Reactions
5 Replies
912 Views
Nawasalim wanajamvi hili.
0 Reactions
5 Replies
699 Views
Back
Top Bottom