Hellow Marafiki naitwa Daniel John, ninafuraha kujiunga hapa, naandika hadithi mbali mbali nimeanza na kuposti hadithi ya .. Kwanini Mimi nategemea sapoti kubwa toka kwenu. asanteni kwa ushirikiano.
Wakubwa kwa wadogo nimekuwa mfatiriaji wa mijadala ya humu ndan toka nijiunge bila kuposte chochote basi tukiwa tunaendelea na AFCON 2019 huku kesho tukijua tunafungwa naomba nipige hodi kwa...
Habari wakuu..
Lagrangian ndugu yenu... naliisikia ikitamba sana....ikitisha kama nyambizi kwa kuchana mawimbi kwa kasi, upepo wake ukanivutia..yalinibidi nijisogeze jirani nijione utamu wake...
Ni mara yangu ya kwanza kujiunga na JF wala sina wasi wasi yoyote najua wanajukwaa ni watu wastaarabu na wakarimu hivyo mtanionyesha ushirikiano wa hali na mali.
Sina mengi ya kusema ila naamini...
Ni mgeni ndani ya jf naomba kujumuika katika kujifunza na kuchangia nanyi kwenye mambo mbalimbali ambayo hufanyika humu na pia kupata marafiki...na shukuru Kwa kunipokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.