Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Mimi ni mgeni nafurahi kuwa mmoja wenu, naomba kukaribishwa
2 Reactions
15 Replies
962 Views
Nimejiunga nanyi great thinkers nipate mema mengi humu. Asanteni kwa kutangulia. Nawapenda.
2 Reactions
12 Replies
987 Views
Salaam.. mnipatie orientation
1 Reactions
3 Replies
424 Views
Na Mimi ni mwenzenu kazi iendelee. Nawapenda bila sababu.
1 Reactions
10 Replies
662 Views
Habari! Shedy David from Chugastan hapa. Nami nasema hodi Jf. Hivi ni forum gani huwa inakua active sana humu niweke kambi huko?
0 Reactions
3 Replies
588 Views
Habari zenu naitwa jimmy January napenda kujoin na JF kwasababu nahitaji kujifunza mambo tofauti kama biashara nakadharika naomba mnipokee
4 Reactions
12 Replies
725 Views
Hi there, nime-join today
0 Reactions
9 Replies
427 Views
Habari naitwa iyola naishi mbezi Lois ni mgeni katika jukwaa la JF nipokeeni wapendwa ,dhumuni la kujoin JF NI kuangalia fursa za kazi , connection na kubadilishana mawazo Asanteni...
1 Reactions
8 Replies
696 Views
Habari naitwa iyola naishi mbezi Lois ni mgeni katika jukwaa la JF nipokeeni wapendwa ,dhumuni la kujoin JF NI kuangalia fursa za kazi , connection na kubadilishana mawazo Asanteni...
2 Reactions
6 Replies
689 Views
Habar wakubwa humu jf naomba mnikaribishe member mpya hapa the War machine
2 Reactions
9 Replies
831 Views
Nimerudi tena jaman , it has been a while na Niko na hamu sana ya kusimulia story ya maisha yangu especially upande wa mahusiano, hope mtaipokea
3 Reactions
19 Replies
795 Views
I'm glad to be here, I'm a new member. Very young but I will be useful in here. I'm still a student in Arusha. I'm doing forex trading, programming (making phone and computer applications), I'm a...
0 Reactions
6 Replies
502 Views
Wakulungwa mgeni nahitaji kupata madini ya humu jf ,
1 Reactions
9 Replies
602 Views
Hello! Leo naomba mnikaribishe mdau mpya kwenye jukwaa hili linalowakutanisha watu mbalimbali kujadili mada mbalimbali. Natokea kanda ya kaskazini, jinsia yangu ni MWANAUME. Naamini kupitia hapa...
0 Reactions
10 Replies
873 Views
Jina langu naitwa Elikana Nikodemo Elikana, Kiukweli nafarijika sana napokuwa humu japo nilikuwa bado sijajiunga rasmi ila sasa nashukuru tupo pamoja...!! Ahsanteni sanaaaa Pia binafsi ningependa...
3 Reactions
10 Replies
675 Views
Hello ,New member here
1 Reactions
6 Replies
789 Views
Nipokeeni member mpya..lakini ni mtumiaji wa jamii forum tangu 2010
0 Reactions
13 Replies
766 Views
Mgeni kutoka Mwanza
0 Reactions
18 Replies
723 Views
Hodiii Humu jf shkamooni wazee; habari zenu vijana na wahenga wenzangu. Member mpyaaàaaaaaaa jamani.
0 Reactions
7 Replies
735 Views
hello! naitwa mariam najikaribisha na pia nakaribisha marafiki. kama hutojali naomba uni follow nami nafanya hivyo hivyo. asanteni
3 Reactions
13 Replies
996 Views
Back
Top Bottom