DOKEZO Threads

Salamu kwenu nyote. Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye uwezo wa kuiga na kupanga mambo mazuri sana, ikiwemo sera na kuweka mikakati ya uwanzishwaji wa mambo ya kimaendeleo. Hali kadhalika ni...
1 Reactions
5 Replies
321 Views
Kila nikipita hapa soko la Karume huwa nashangaa sana jinsi kundi kubwa la wamachinga wanavyofanya biashara zao chini ya nyaya kubwa za umeme bila hofu yoyote, sehemu nyingi ambapo naona kuna...
1 Reactions
0 Replies
195 Views
Baada ya kustaafu, mzee huyu kwasasa anaishi mkoani Morogoro. Moja ya madoido yake katika uzee wake ni kuchomoa hadharani silaha yake ya moto (bastola) kila anapokerwa na mtu. Miongoni mwa...
87 Reactions
270 Replies
13K Views
Hospitali ya Aga Khan wanataka kutoza Shilingi 6,000,000/= kwa huduma za kujifungua kwa njia ya upasuaji wakati Hospitali nyingine zenye hadhi sawa ya rufaa ya Kanda wanatoza kiasi cha Shilingi...
7 Reactions
92 Replies
5K Views
Muonekano wa milango ya kituo cha afya Bulige baada ya kung'olewa na mafundi ambao wanadai haki zao kwa muda mrefu ambapo mafundi hao wanataka kuuziwa nyumba kutokana na mikopo waliochukua kwa...
11 Reactions
65 Replies
2K Views
Kuna ya taarifa za kufungwa kwa baadhi ya vituo vya kutolea huduma ya afya vilivyopo chini ya Taasisi ya Aga Khan, Tanzania kwa sababu za changamoto za kiuendeshashaji. Fununu hizo zinaeleza kuwa...
9 Reactions
79 Replies
5K Views
Shule ya msingi Kitefu iko Halmashauri ya Wilaya Meru mkoa wa Arusha. Kuna mtoto amefanyiwa ukatili na anadaiwa ni baba yake kwa kumchoma na nyaya za umeme, huyu bwana alikuwepo leo shuleni baada...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO
Habari za kazi ndugu watanzania wenzangu, Binafsi niwapongeze woote katika juhudi zilizo tukuka kulijenga taifa letu safi la Tanzania, Nimpongeze Mh. Dr. Samia suluhu Hasan kwa juhudi za...
0 Reactions
1 Replies
392 Views
Anonymous
DOKEZO
Kamati ya Olympiki ya Kimataifa (IOC) hutoa ruzuku kwa wanachama wake wote duniani wajulikanao kama (NOC) yaani National Olympic Committees kwa kila nchi ambayo inashiriki mashindano ya Olimpiki...
2 Reactions
11 Replies
703 Views
Anonymous
DOKEZO
Kwanini wahusika wa miondo mbinu nyingi ya mwendokasi imewaacha mama ntilie na wauza chips wanaofanya kazi pembezoni ama karibu na miundombinu hii wamwage maji machafu na mataka taka kwenye mitaro...
2 Reactions
5 Replies
298 Views
Habar Wana jamvi, Wiki iliyopita nilipata wasaa wakutembelea kwetu Kijijini nikiwa kule Kijijini nilipata nafasi yakuzungumza na watu wa makundi mbalimbali, Wazee, Vijana ndugu na marafiki...
4 Reactions
4 Replies
711 Views
Kuna kakikundi kalikoaminisha Umma kwamba ni kasafi Kumbe kameoza sana. Pesa zaidi ya Trilion 3 ziko hapo visiwa jirani. B
37 Reactions
171 Replies
12K Views
Hii nchi inazidi kuoza tu hii imenisikitisha sana MJAMZITO AFARIKI KATIKA MAZINGIRA YA UTATA KITUO CHA AFYA MBEZI YA KIMARA, DAR ES SALAAM! Mpendwa Baba Askofu Mwamakula! Ndugu yetu Elizabeth...
3 Reactions
41 Replies
2K Views
Wafanyabiashara wadogo walioondolewa pembezoni mwa barabara Mwaka 2022 na kupelekwa katika eneo la Kata ya Majengo ilipokuwa Stendi ya Zamani ya Halmashauri ya Mji wa Tunduma Mkoani Songwe...
0 Reactions
2 Replies
600 Views
Anonymous
DOKEZO
Wakuu, Nane-Nane ya Mwaka huu imegubwikwa na ufisadi wa hali ya juu hususani katikamaandalizi yake. Hii yangu inakuja kama muendelezo wa kile amba ho kiliwekwa wazi kwamba kuna vyoo viwili tu...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Mimi ni Mwanakijiji wa Hoyoyo, kilichopo Mkuranga Mkoani Pwani, miaka kadhaa nyuma tulipata ugeni wa kutembelewa na Mke wa Rais Kikwete, Salma Kikwete wakati huo JK akiwa bado yupo madarakani...
2 Reactions
11 Replies
918 Views
Anonymous
DOKEZO
Kuna changamoto ambayo bila kuifuchua inaweza kuzidi kuwa kubwa na kusababisha ubadhirifu, rushwa na mengine mengi yasiyofaa kwenye jamii yetu. Uongozi wa Halmashauri ya Arusha DC imekuwa...
0 Reactions
9 Replies
567 Views
Wakazi wa Wilaya ya Kahama kata ya Majengo, ni wiki ya pili sasa kaya zaidi ya 400 hazina huduma ya maji kutokana na mgomo wa wafanyakazi, wakidai malimbikizo ya mishahara kwa mkandarasi...
1 Reactions
3 Replies
257 Views
  • Closed
Mh Rais, mimi ni raia wa Tanzania na ni mwananchi wako mwema. Naomba kwa masikitiko makubwa tena makubwa nikujulishe tu ya kuwa: Juzi nilipigiwa simu na Mkuu wa Wilaya ya Lindi akinijulisha...
10 Reactions
73 Replies
5K Views
Hii bank kuna walimu wanaipigia kelele kwamba wanakata deductions kabisa za makato ya mkopo ambao hawajautoa kabisa na wakipigiwa simu wanajibu kirahisi shida mfumo. Sasa kama shida ni mfumo mbona...
2 Reactions
13 Replies
724 Views
Back
Top Bottom