DOKEZO Threads

Anonymous
DOKEZO
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya inachafua hali ya hewa na kuhatarisha afya za Wananchi hospitalini na wanaoizunguka kwa kukosekana Incinerator (mashine maalum ya kuchomea taka). Incinerator...
1 Reactions
3 Replies
862 Views
Bila shaka huyu ni kigogo mzito sana, anajenga frem kwenye hifadhi ya barabara, ndani ya kituo cha mwendokasi Mbagala, kibali amepata wapi? Ilikuja Tanroad ikasimamisha ujenzi na kupiga X jamaa...
13 Reactions
59 Replies
5K Views
Anonymous
DOKEZO
Nadhani mnakumbuka Hospitali ya Amana ilishiriki kuhudumia Wagonjwa wa COVID-19 hiyo ilikuwa kuanzia Mwaka 2020, sasa katika ile kazi kulikuwa kuna posho ambayo Watumishi na Vibarua ilitakiwa...
2 Reactions
10 Replies
974 Views
Anonymous
DOKEZO
Wilaya ya Kigamboni, Kata ya Kisarawe 2, Mitaa ya Mwasonga, Sharrif na Madege wamelipwa fidia isiyo stahiki na Mwekezaji ambaye ni Kampuni ya Nyati Sand Resources Ltd inayomilikiwa na Strandline...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO
Mimi ni dereva wa malori yanayobeba simenti katika Kiwanda cha Simenti cha Rhino (kwa Mchina) kipo Kange Mkoani Tanga. Vyoo ni vibovu havina miundombinu ya maji wala taa, hivyo kusababisha watu...
0 Reactions
0 Replies
342 Views
Anonymous
DOKEZO
Nilisafiri October 2023 ambapo escalator za terminal two zilikuwa hazifanyi kazi. Mwaka huu nasafiri tena nakuta escalator hazijatengenezwa. Kimisingi nimeumia kuona wamama ambao kutumia ngazi...
0 Reactions
0 Replies
175 Views
Wenye mamlaka leo naomba kufikisha kero yangu kuhusu ubovu wa Mifumo ya Malipo ya Ada na Utoaji Matokeo ya Mitihani ambayo imekuwa na usumbufu kwa Wanafunzi kutokana na Matokeo kutowekwa kwenye...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Anonymous
DOKEZO
Kituo cha Afya kilichojengwa Kata ya Mkumbi, Halmashauri ya Mbinga Vijijini Mkoa wa Ruvuma kimechukua muda mrefu kukamilika, tatizo ni siasa na mizunguko kibao. Kwanza tangu mradi uanze aliyekuwa...
0 Reactions
0 Replies
632 Views
Baada ya Salam. Ndugu zetu Watanzania wenzetu kwanza tunaomba Dua zenu. Huku Katavi Kuna mauaji sana mpaka inatisha. Karibia Kila wiki kuna mtu anauwawa kwa kuchomwa na visu. Kunakikundi...
12 Reactions
72 Replies
5K Views
Anonymous
DOKEZO
Wakuu heshima mbele, niende moja kwa moja kwenye mada. Pengine inaweza kuonekana kama jambo la ajabu kwangu mimi naweza kuchukua hatua je wangapi wasiojua hili? Ipo hivi majuzi nilitinga katika...
0 Reactions
0 Replies
303 Views
Anonymous
DOKEZO
Sisi wakazi wa Sombetini Jijini Arusha tuna changamoto ya kupata maji yasiyo salama kutoka kwenye mabomba ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Arusha (AUWSA). Hii hali ilikuwepo miezi...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Nipo moshi mitaa ya.rombo.pombe asilimia 80 nilizohakiki kwa kutumia program ya ya.hakiki stemp ya tra.zinaonyesha ni feki.hivi wahusika wako wapi?.₩atu wanauziwa sumu.biashara...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakazi wa Mtaa wa Kawe Jijini Dar es Salaam, wameliomba Jeshi la Polisi Nchini kuongeza ulinzi hasa nyakati za jioni katika maeneo ya Tanganyika Packers ikidaiwa kuongezeka kwa vitendo vya ukabaji...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO
Kuna Mwalimu (jina linahifadhiwa) anayefundisha Shule ya Nanhyanga Sekondari iliyopo Tandahimba Mkoani Mtwara, anaweza kudhuriwa na jamii inayomzunguka kwa kuwa wanamtuhumu kwa mambo mbalimbali...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Nilisikia siku nyingi kwamba Kanisa la KKKT Kimara Korogwe tunaloliamini kwa mambo ya kiroho, kijamii na ustawi bora ukiacha ile ahadi ya kutuandaa kwa ajili ya ulimwengu ujao kwamba unatiririsha...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Dayosisi ya Mashariki na Pwani limeingia kwenye kashfa kubwa ya utapeli baada ya makanisa yake ya Kijitonyama, Salasala, Mwenge, Ubungo na Mbezi Beach kuwauzià...
10 Reactions
129 Replies
10K Views
Anonymous
DOKEZO
Mimi ni mkazi wa Mkoa wa Tabora, Wilaya ya Kaliua, kero yetu huku ni kuhusu Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kuchelewa kutoa kadi za Uanachama baada ya kutuma maombi. Inauma na inakera kwani...
2 Reactions
4 Replies
793 Views
Ni mambo ya ajabu sana huku tulipofikishana. Septemba 21 mwaka huu DAWASA iliuhakikishia umma wa Tabata kuwa kutakuwa na uhakika wa maji, lakini mpaka leo navyopandisha mnakasha huu kuna baadhi ya...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO
Ni kwa miaka mitatu sasa bodi ya filamu nchini Tanzania imekuwa ikiandaa tamasha la filamu nchini. Na kila mwaka kumekuwa na maneno ya kukatisha tamaa kwa waandaaji filamu nchini kutokana na hisia...
1 Reactions
1 Replies
442 Views
Anonymous
DOKEZO
Watumishi wa afya Hanang tumesainishwa karatasi za malipo ambazo hazioneshi kiasi tutakacholipwa matokeo yake wengine wamelipwa half per diem na wengine wamelipwa kwa extra duties na wengine...
1 Reactions
3 Replies
417 Views
Back
Top Bottom