DOKEZO Threads

Tuliajiriwa watu 4 wilaya moja ambayo ni kijijini mno watatu walikuwa ni wanawake Ajabu ni kwamba hakuna aliyeripoti kwenye wilaya tuliyopangiwa zaidi yangu Cha kushangaza wote majina yao...
7 Reactions
26 Replies
895 Views
Anonymous
DOKEZO
KItuo cha polisi Chanika, kimekuwa kikipelekewa malalamiko kila kukicha na viongozi wa Mtaa wa Mvuleni Msongola, Maeneo ya Kitonga Wananchi wanashindwa kuendelea na shughuli zao. Wanavamiwa na...
1 Reactions
2 Replies
205 Views
Barabara ya Nyerere road, reli ya kuelekea Buguruni, kituo cha Treni llala kuelekea Gongolamboto, kuna vikundi mbalimbali vya wezi hasa wa miundombinu ya Shirika la umeme Tanzania TANESCO na...
3 Reactions
14 Replies
354 Views
Anonymous
DOKEZO
Hizi "Parking Fee" zimekuwa na Upigaji ambao haueleweki. Nimejaribu tu kuingia katika TeRMIS (termis.tamisemi) nikaweka namba yangu ya gari ambayo nimeagiza na imesajiliwa Tarehe 6 mwezi wa 2...
0 Reactions
3 Replies
391 Views
Kumekuwa na utiririshaji wa majitaka ovyo maeneo ya Ubungo Riverside kuanzia maeneo ya Msikitini mpaka Kituo cha Kaladala karibu na Riverside Bar kuna harufu kali inayosababishwa na maji taka...
3 Reactions
17 Replies
824 Views
Huku kwetu maeneo ya Kibaha hasa Kibaha Kwa Mfipa kuna matukio ambayo ni hatari sana kwa usalama, kwani kuna vibaka wanatusumbua na wanafanya matukio yao majira ya Saa 11 alfajiri wakiwalenga wale...
3 Reactions
5 Replies
508 Views
Mnamo tarehe 18 Novemba 2024 nilienda hospitali ya rufaa ya Mloganzila kumtazama shemeji yangu aliyelazwa pale na kichanga wake aliyejifungua kwa oparesheni. Nilipofika getini nilielekezwa na...
11 Reactions
49 Replies
2K Views
Ndani ya Manispaa ya Songea, Mkoa wa Ruvuma, inapatikana Shule ya Msingi Mshangano. Shule hiyo ina vyumba 6 vya madarasa na wanafunzi zaidi ya 900. Pamoja na kuwa imeanzishwa miaka michache...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO
Juzi usiku tulimpeleka hospitali ya Nanguji mwanachuo mwenzetu ambae alizidiwa, wakamfanyia vipimo na kusema utumbo umejikunja hivyo anapaswa kufanyiwa upasuaji kwa haraka, kwa pale gharama...
22 Reactions
176 Replies
6K Views
HOSPITALI mpya ya Rufani mkoani Shinyanga iliyopo Mwawaza Manispaa ya Shinyanga haina jengo la kuhifadhia Maiti, pamoja na kukabiliwa na upungufu mkubwa wa madaktari bingwa. Mganga Mkuu wa Mkoa...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Sisi Wahitimu wa ngazi ya Shahada wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kutoka kampasi zote wa Mwaka wa Masomo 2023/2024 tunakabiliwa na changamoto kubwa ya ucheleweshaji wa vyeti licha ya kufuzu...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Wakuu, Mtanzania mwenye umri wa miaka 33, Fatma Nassoro anapitia mateso makubwa akiwa nchini Iraq, ambako alienda kufanya kazi tangu mwaka 2022. Fatma amesema amekuwa akiishi katika mazingira...
14 Reactions
230 Replies
5K Views
Anonymous
DOKEZO
Ajira mpya kada ya afya halmashauri nyingi hatujapokea fedha za kujikimu toka November 2024. Tunaishi mazingira magumu kutokana na kukosa fedha hizo za kuanzia maisha. Tumetumia gharama kubwa...
3 Reactions
2 Replies
320 Views
Baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli, maji nayo yakafa Kinyerezi. Hivi sasa maji yanatoka mara moja kwa mwezi yakitoka yanakaa masaa matatu yanakatika ikiwemo mitaa ya St Alex kwa Babu Ali hadi...
1 Reactions
16 Replies
415 Views
Niende kwenye mada moja kwa moja!!. Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi...
54 Reactions
248 Replies
4K Views
Habari wanajukwaa! Je, kuna utaratibu wowote kwa shule ya Sekondari kuamuru kumfukuza shule mtoto mwenye ufaulu hafifu? Nimekutana na hii scenario katika shule moja ya Sekondari iliyopo mtaa wa...
0 Reactions
15 Replies
617 Views
Kwangu binafsi naona ni mwendelezo wa unafiki wa Polisi Tanzania. Umesikia hata siku moja pale inapotokea ajali ya gari za serikali, hasa hizi Landcruiser ST.. wakisema ajali imesababishwa na...
1 Reactions
12 Replies
340 Views
Anonymous
DOKEZO
Ikiwa ni siku chache tu tangu Kundi la Tembo kutoka Hifadhi ya Burigi - Chato kuvamia Mashamba na Makazi ya Wakulima wa Kata ya Kasulo, Wilayani Ngara Mkoani Kagera, Wananchi wengi walioathirika...
0 Reactions
0 Replies
293 Views
Hellow Tanganyika! Uharibifu wa mazingira ni mkubwa Kanda ya Ziwa, Nia ni njema kuruhusu wachimbaji WADOGO, ila usimamizi wa karibu ni muhimu. Serikali chini ya wizara ya madini itengeneze...
0 Reactions
3 Replies
190 Views
Sio ajabu kuona watu kama kina Samantha Power, Michele Sumilas, Clinton D. White pamoja na Kimberly Ball wakiumia na kugugumia maumivu juu ya ushindi wa Donald Trump. Kwa Wamarekani ni wazi kuwa...
10 Reactions
115 Replies
4K Views
Back
Top Bottom