DOKEZO Threads

Anonymous
DOKEZO
Hapa Kibaya wilayani Kiteto kuna trafiki anakamata sana pikipiki na hataki kutoa Control No, akidai kashalipia wewe mpe hela taslimu(Cash money) tu. Haya si mazingira ya rushwa kabisa na akijidai...
1 Reactions
3 Replies
149 Views
Habari JamiiForums. Naomba msaada, mimi ni mgeni katika kijiji fulani, wilayani Magu Mkoa wa Mwanza. Katika kijiji hiki kuna utaratibu kwa wageni wanaoingia kuishi kama wapangaji kulipa fedha za...
2 Reactions
35 Replies
918 Views
Mimi sio mwandishi mzuri ila kwa kweli inasikitisha sana nimepita mara kadhaa daraja hili lililopo mkoani Lindi barabara kuu ya Dar-Lindi, linamaliza ndugu zetu wa malori. Ukitokea Lindi ni km...
7 Reactions
27 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO
Habari JamiiForums, nimekuwa mdau wa muda mrefu lakini pia nimekuwa napata malalamiko mengi sana kutoka kwa rafiki yangu mmoja hivi naomba langu lisitajwe. Watumishi wa shule ya St Marys...
2 Reactions
13 Replies
478 Views
Chama cha Kulinda na Kutetea Haki za Walimu Tanzania (CHAKUHAWATA) wanao jiita viongozi wanawagana Tsh Milion 400 za walimu ambazo wametoa ada kwa chama iko. Chama icho kimeweka ada ya Tsh...
4 Reactions
44 Replies
5K Views
Tafadhali ndugu zangu angalizo wiki hii kuna pesa nyingi za Bandia nimekutana nazo nahisi kama kuna watu wameanza kuingiza pesa Bandia ktk mzunguko.
16 Reactions
68 Replies
3K Views
Anonymous
DOKEZO
Mimi ni mwalimu niko Tabora, kwa sasa nafundisha Shule ya IPULI HOLY FAMILY PRE AND PRIMARY MISSION SCHOOL, baada ya ajira za Ualimu kutangazwa za Serikalini niliomba, nikapata nafasi ya kwenda...
1 Reactions
6 Replies
392 Views
Habari wana jamvi, poleni na majukumu ya kila siku katika kulijenga taifa letu. Naomba niende kwenye mada hapo juu, ni hivi: Shule ya Tunduru Jamhuri Academy ni shule ya serikali inayosajiliwa...
0 Reactions
0 Replies
96 Views
Hili ni Soko la Sabasaba Jijini Dodoma mvua zinaponyesha mara nyingi kumekuwa na hali ya matope kwa baadhi ya maeneo na hivyo kuwa kero lakini pia usalama wa vyakula unakuwa hatarini. Nimepita...
0 Reactions
8 Replies
344 Views
Anonymous
DOKEZO
Idara mbalimbali zinapopeleka madokezo kwa ajili ya kusainiwa na kulipa, yanachukua muda mrefu bila kusainiwa na kulipa pia, mwisho wa siku unaambiwa madokezo yamepotea. Tunaomba TAKUKURU Katavi...
0 Reactions
0 Replies
36 Views
RTO wa Mbeya, Njombe na Iringa tusaidieni kukamata bus la New Force lenye number T EBK 232. Dereva na kondakta wake wamepiga na kujeruhi mtu hapa Uyole. Mamlaka husika tusaidieni kwenye hilo.
0 Reactions
11 Replies
583 Views
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 kuna bendi moja iliitwa Mviko Sound ,ilikuwa ikimilikiwa na mmoja wa wanafamilia yetu Kufikia mwaka 2004 bendi ikafa,huyu ndugu yangu akasema ni bora kuwa na wanawaje...
14 Reactions
61 Replies
2K Views
Kero yangu kubwa ni kwa mamlaka inayosimamia huduma za Afya katika Halmashauri ya Tunduma Mkoani Songwe, kumekuwa na tatizo la wauzaji wa Nyama kuuza nyama zenye mashaka ya ubora na baadhi wanauza...
0 Reactions
5 Replies
432 Views
Hapo vip!! Uongozi wa kipindi hiki tunaomba iongeze makali kwasababu Wananchi wanateseka na wengi wamekuwa waonyonge wanavyoanza kufuatilia haki zao au huduma katika Ofisi za Serikali...
0 Reactions
2 Replies
498 Views
Anonymous
DOKEZO
Mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya uchimbaji visima, SUPREME WATER WELL DRILLING LIMITED iliyo na makao makuu yake jijini Mwanza, ni muda mrefu umepita tangu nianze kazi katika kampuni hii...
0 Reactions
0 Replies
73 Views
Mimi ni mmoja wa Wanafunzi katika Chuo cha Kiislamu Morogoro, changamoto kubwa ambayo naiona kwenye chuo chetu ni suala la mazingira machafu. Chuo hakina vifaa vya kuwekea taka hali inayofanya...
7 Reactions
71 Replies
2K Views
Wakuu, umeibuka wizi ambao ningependa kuwasilisha ili mamlaka husika ichukue hatua stahiki na kulinda heshima ya Jeshi la Polisi. Jana, tarehe 4/2/2025, majira ya saa 1 jioni, majirani zangu...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Ndugu zangu tunapata taarifa nyingi toka kila pande ya nchi yetu pendwa ya Tanzania,Leo nimepata taarifa kuwa huko Sumbawanga MANISPAA madereva bajaji wamekaa kikao na kupandisha gharama za...
0 Reactions
9 Replies
366 Views
Ujumbe huu ufike Serikalini hasa kwa Wizara ya Afya, sasa hivi baadhi ya vituo vya maabara vinafanya kitu kimoja, ukienda kupima hata kama huna Typhod majibu yao ni una-typhod, unajikuta unatumia...
13 Reactions
105 Replies
4K Views
Anonymous
DOKEZO
Nimehudumiwa mara mbili katika Kituo cha Afya Halmashauri ya Mji Tunduma maarufu kwa jina "Serikalini" Kata ya Majengo ambapo walilazimisha nitoe gharama za kumuona daktari licha ya kuwa mgonjwa...
0 Reactions
0 Replies
113 Views
Back
Top Bottom