KERO Threads

Mheshimiwa Rais na mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan, kwa kuwa umeamua chini ya utawala wako kuhakikisha Jiji la Dar linakuwa na miundombinu ya uhakika na uthibitisho na kwa jinsi jiji lote...
0 Reactions
3 Replies
188 Views
Nawasalimu waungana wote Kuna Jambo nilikuwa nataka tujadili kidogo, nimeshalishuhudia zaidi ya mara 5 katika maeneo na mikoa tofauti. Unakuta Vijana mtaani wote wanajua kuwa demu Fulani na...
2 Reactions
18 Replies
531 Views
Nikuhusu barabara ya Ndungu-Lugulu. Barabara hii, tangu iharibiwe na mvua za El Nino mwaka 2023, haijawahi kutengenezwa. Barabara hii ni muhimu sana kwa wakazi wa kata ya Lugulu na kata ya Mtii...
2 Reactions
3 Replies
229 Views
Mimi ni Mwanafunzi wa Chuo cha Tabora Polytechnic College ambacho kipo Ipuli, hapa chuoni kwetu pamoja na mitaa ya karibu na hapa kuna kundi la Vijana wanaojiita Mabamzi ambao ukikutana nao...
2 Reactions
0 Replies
324 Views
Anonymous
KERO
Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba kuna changamoto ya ufatiliaji na ulipaji wa stahiki za watumishi hasa Fedha za likizo na malimbikizo ya mishahara. Ukifatilia kwa maafisa utumishi wanakuambia jaza...
0 Reactions
1 Replies
126 Views
Anonymous
KERO
Mimi naishi mtaa wa Zavala - Kwambiki kata ya Buyuni Chanika Ilala Dar es salaam. Nyumbani kwangu na baaadhi ya nyumba za majirani zangu tumekuwa tukipata tatizo la umeme kukatika katika kila siku...
1 Reactions
2 Replies
388 Views
Sisi Watumishi wa Halmashauri ya Rungwe Mkoani Mbeya tunajiuliza kuna shida gani Wilayani kwetu? Pesa za likizo kwa Watumishi wa Umma kutotoka kwa wakati hilo jina jambo la kawaida, hali hiyo...
1 Reactions
14 Replies
317 Views
Mikoa mingi nchini Tanzania leo imekumbwa na tatizo la kukosekana kwa umeme kwa muda wote wa siku, jambo lililosababisha usumbufu kwa wananchi na shughuli za kimaisha. Wengi wanajiuliza ni nini...
1 Reactions
11 Replies
367 Views
Katika eneo la Tegeta kwa Ndevu wahusika wanaosimamia suala la kuzoa taka wanatakiwa kuwajibika kwa uzembe ambao wamekuwa wakiruhusu utokee kwa kubariki Wafanyabiashara wa soko lisilo rasmi...
0 Reactions
2 Replies
262 Views
Anonymous
KERO
Barabara hii ipo njia ya Songea Njombe inamongonyoka upande, sehem ya kona kali hivyo ni hatari kwa watumiani wa magari mazito, kama Malori, mabasi na magari ya mizogo. Mamlaka ichukue Hatua za...
1 Reactions
0 Replies
131 Views
Unapotua tu katika mtaa huu wa Keko Mwanga katika Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam utagundua mabadiliko ya hewa tofauti na ulipotoka, harufu inayotoka hapa, hewa inayovutwa eneo hili si ya...
1 Reactions
13 Replies
869 Views
Anonymous
KERO
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) ni moja kati ya Taasisi za Serikali ambayo hawajali kabisa suala la kulipa pesa za kujikimu kwa Wafanyakazi wao wanaposafiri. Utakuta mtu anapangiwa kituo cha...
0 Reactions
2 Replies
333 Views
Kwa takribani wiki mbili wakazi wa Kimara mpaka mbezi wanaishi pasi na umeme kila siku kwa zaidi ya masaa 12 bila ya taarifa yotote. TANESCO kila inapofika saa 4 asubuhi wanakata umeme na hurudi...
0 Reactions
11 Replies
278 Views
Yaani hili shirika la umeme nchini Tanzania huwa linajiamulia tu kukata umeme pasi na kutanguliza taarifa kwa watumiaji wa huduma zake. Hutaona afisa habari wa shirika hili akitoa taarifa mpaka...
0 Reactions
3 Replies
134 Views
Tangu kuzinduliwa Kwa application Mpya ya kusaini pesa za kujikimu maarufu kama HESLB wallet mtandao hakuna watu wamepewa pesa lakini wanashindwa kusaini kutokana na tatizo la mtandao.. Ukienda...
3 Reactions
18 Replies
659 Views
Anonymous
KERO
Wizara ya Mikopo itazame Chuo vha Mipango kuna shida gani? Kila mara Wanachuo wanacheleweshewa Fedha za Kujikimu (boom). Pesa ziliwekwa kwenye mfumo tangu Oktoba 19, 2024 kisha Oktoba 30...
0 Reactions
1 Replies
167 Views
Tangu mwaka huu 2025 umeanza TANESCO wamekuwa na huduma mbaya ndani ya Mkoa huu wa kwao wa kiutendaji (KINONDONI SOUTH) hasa njia ya umeme ya kutoa huduma kuanzia Kimara mpaka Kibamba. Umeme Kila...
0 Reactions
7 Replies
259 Views
Anonymous
KERO
Kero. Mimi ni mkazi wa Kijiji cha Mengwe, Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro ninawasilisha kero kwa niaba ya wakazi wenzangu wa Rombo. Muhula mpya wa Masomo umeanza Januari 13, 2025 lakini...
3 Reactions
17 Replies
606 Views
Mimi Mkazi wa Songea Kijijini, Kata ya Liganga katika Jimbo la letu ambalo Mbunge wetu ni Jenista Muhagama, huku tuna changamoto ya ardhi. Miaka 10 iliyopita tuliuziwa eneo na Kijiji ambapo...
0 Reactions
2 Replies
280 Views
Kutokana na changamoto ya maji Vigwaza, huku ikiwa ni karibu na chanzo cha maji ya mto Ruvu, 1: DAWASA HAWANA TAARIFA? "WIZARA YA MAJI" 2: VIONGOZI HAWASHUGHULIKII HILI SUALA AU NI WANANCHI...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Back
Top Bottom