KERO Threads

Anonymous
KERO
Sio tu serikali inaweza kujua matatizo yote kupitia kwenye mitandao ya jamii ila nimekutana na huyu anajiita sheik zaid makubul kuhusu maada za kibaguzi na makabari. Kwako waziri Doroth gwajima...
-1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu, hivi Viongozi wa Kawe wanatuchukuliaje tunaotumia Kituo cha Daladala Kawe? Kituo halifanyiwi matengenezo yoyote wakati kila siku watoza ushuru wanachukua Tsh. 1,000 kwa kila Daladala...
0 Reactions
2 Replies
475 Views
Gaweni kikanda Tanzania bara ni pakubwa sana, mnategemea mtu kutoka Kagera aje Dar kwenye usaili? Mtu kutoka Mbeya huko aje Dar kwenye usaili? Tumieni hekima na busara gaweni kikanda wekeni usawa...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Ni juzi Waziri alitembelea na akatoa maamuzi mbalimbali cha kushangaza hadi sasa hakuna maji. Watendaji wenu wanatuletea mambo ya mgawo wa maji siku moja kwa wiki Alhamisi cha ajqbu hiyo Alhamisi...
0 Reactions
3 Replies
346 Views
Anonymous
KERO
Habari, Mabanda ya kuchezesha video games kwa watoto yamezidi. Upi mpango wa Serikali kunusuru hiki kizazi?
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Nimekata tiketi ya bus ( Classic coach) siku tatu kabla ya safari kutoka Moro kwenda Mbeya. Tiketi inasema safari ni saa 12 asubuhi ila muda wa kuwasiri ni saa 11:30 asubuhi. Nimewasiri saa 11: 30...
2 Reactions
8 Replies
368 Views
Anonymous
KERO
Wahitimu wengi wanalia na mfumo wa kupata AVN kupitia NACTVET ili kuwawezesha kuomba masomo katika elimu ya juu. Wahitimu wengi wanatia huruma kukoseshwa fursa ya kusoma kwakukosa AVN na sababu...
1 Reactions
3 Replies
333 Views
Anonymous
KERO
Mfano wa hivi karibuni Tanesco walijiamulia tu kupandisha makato ya kila mwezi kutoka 1500 mpkaka 2000 Bila kushirikisha wananchi. Leo jambo kama lile lile linarudiwa na Azam tv kwa kutangaza...
1 Reactions
6 Replies
330 Views
Anonymous
KERO
Naomba utusaidie nikiwakilisha watanzania wengi wanaopata changamoto kama mimi juu ya huduma zinazotolewa na Mamlaka ya Usajili wa Vizazi na Vifo (RITA). Mimi nimeomba uhakiki wa cheti cha mtoto...
0 Reactions
1 Replies
327 Views
Anonymous
KERO
Habari, Mimi ni mhandisi ambaye niliajiriwa ajira za waalimu kwa tangazo la mwaka 2020 kwa niaba ya wenzangu wahandisi kutoka shule za ufundi tunapenda kutoa masikitiko yetu juu haki zetu kama...
0 Reactions
3 Replies
394 Views
Jana mheshimiwa Rais Samia amezindua rasmi Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ambayo Ina majukumu ya Kulinda na kutunza faragha za watu. Sasa Kuna mtindo umezuka ambapo Online Creditors Wamekuwa...
4 Reactions
71 Replies
5K Views
Anonymous
KERO
Kumekuwa na zoezi la kuzuia wanafunzi kufanya mitihani ilhali wamemaliza ada huku wakidai yakuwa mitihani hiyo inabidi ilipiwe fedha ambayo haijaorodheshwa kwenye fomu na si halali kwani, matumizi...
0 Reactions
0 Replies
149 Views
Taa za boda zinazo badilikabadilika rangi zimekuwa kero na usumbufu kwa watembea kwa miguu na watumiaji wengine wa vyombo vya moto. Likini pia taa hizo ni hatari sana kwa watu wenye tatizo la...
2 Reactions
1 Replies
327 Views
Kange ni mtaa unaokua kwa kasi sana mkoani Tanga, wilaya ya Tanga mjini. Miaka michache mbeleni, vitega uchumi vingi vitahamia Kange kutokana na idadi ya watu wanaohamia kuongezeka kwa haraka...
0 Reactions
0 Replies
250 Views
Anonymous
KERO
Hawa watu wanakusanya kila nyumba Elfu 2000/= kwa taka na Ulinzi lakini cha ajabu wakifika nyumba yenye wapangaji wanakusanya kila chumba 2,000/= swali langu kwa mamlaka husika je inakuwa ni haki...
0 Reactions
6 Replies
322 Views
Nimelipia gharama za kuunganishwa na umeme toka mwezi February mwaka huu. Nimejisomba sana kwenda Tanesco kila leo mpaka sasa nimechoka. Nilipohamia kwenye nyumba nimepata tabu sana mwanzoni...
0 Reactions
2 Replies
306 Views
Anonymous
KERO
Katika halmashauri ya jiji la Mwanza wilaya ya Nyamagana, kata ya Luchelele mtaa wa Silivini mji mdogo wa( Nyamalango) kumekuwa na tabia ya viongozi wa mazingira kutoshughulika na majukumu yao...
0 Reactions
2 Replies
210 Views
Hii ni Changamoto Kubwa Jamani na usiombe kulazwa ukayaona. Lakini ukiachilia uchafu pia neti hizo ni ndogo. Mfano kwa mama na mtoto wake mchanga neti mmeichomeka inawagusa Gusa na hiki kitu...
1 Reactions
0 Replies
217 Views
Anonymous
KERO
Tunaomba mchunguze ofisi za TANESCO Wilaya ya Muleba -Kagera, hawataki kutufungia Umeme kwa wakati, angalau tujue tatizo ni nini.
0 Reactions
2 Replies
251 Views
Kwamba hizo Smart Lock zitajifunga kama hujalipa kodi, maswali ni mengi kuliko majibu. Hivi likijifunga na watoto wako ndani inakuaje majanga yakitojea mfano ya moto? Network ikizingua control...
4 Reactions
67 Replies
2K Views
Back
Top Bottom