KERO Threads

Miongoni mwa changamoto nyingi zinazowakumba watumishi wa serikali ni mikopo almaarufu kama Kausha damu, ambapo inasemekana kua mikopo hiyo imekua changamoto kubwa sana kwa wafanyakazi wa serikali...
1 Reactions
15 Replies
716 Views
Wenye nyumba maeneo ya Masaki/Mikocheni n k wengi bado wanashinikiza malipo ya Dola (US $) Wakati nchi haina udhibiti tena wa sarafu hii. Bei ya Dola inazidi kupanda na haitabiliki kesho itakuwa...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Anonymous
KERO
Wengi hapa jukwaani natumaini tunafahamu chombo cha habari Mtandaoni cha Jambo TV, ni kati ya vyombo ambavyo vimekuwa vikifanya vyema kwa siku za hivi karibuni. Pamoja na hivyo, lakini msimamizi...
1 Reactions
2 Replies
595 Views
Kumekuwepo na changamoto kubwa ya uchomaji wa taka kwenye soko la sabasaba jiji Dodoma, nyakati za usiku. Taka hizo ambazo ni mabaki ya majani ya migomba na mabaki ya matunda kutoka soko la...
0 Reactions
0 Replies
229 Views
Ningekuwa mimi leo viss wa NIDA Kawe asingerudi ofisini tena kesho Leo nimesikitika sana nikamkumbuka Magufuli mno Ajabu sana kuona ofisi kubwa kama Kawe NIDA haina genereta Huko huko ndani...
0 Reactions
3 Replies
299 Views
Anonymous
KERO
Habarini JamiiForums, Nawaailisha kero yangu kwenu iwafikie Hospitali ya Muhimbili, wanachotufanyia tunaokuja kuona wagonjwa si uungwana. Juzi July 10, 2024 nilikwenda kuona mgonjwa nikiwa...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Miaka ya hivi karibuni elimu imekuwa ngumu sana kwa watoto sikuwahi shuhudia. Haya mabadiliko ya watoto kwenda shule mpaka Jumapili wanasoma hadi usiku huu utaratibu ni nani aliyependekeza na...
0 Reactions
0 Replies
251 Views
Hii ni Kero Kubwa sana Wahusika ninaomba Serikali ya Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan iwachukulie hatua kali kuondosha aibu kubwa kama hii inayo fedhehesha Taifa letu. Wageni wakija na kuona...
23 Reactions
83 Replies
3K Views
Kuna matangazo ya sms mengi kila siku yanaingia kwenye simu yangu. Je, kuna namna naweza kuyadhibiti? Msaada tafadhali, yananichosha.
1 Reactions
9 Replies
311 Views
Anonymous
KERO
Eneo la Vijibweni kumeongezeka migogoro ya ardhi kwa kuwa mwenyekiti wa Serikali anauza maeneo ya hifadhi ya barabara akishirikiana na kikundi cha wajanja. Na kumekuwa na malalamiko mengi juu ya...
0 Reactions
2 Replies
224 Views
Anonymous
KERO
Katika nchi yetu kuna baadhi ya maeneo kupata huduma mbalimbali za msingi kama maji, umeme n k imekuwa kawaida sana, lakini hii hali imekuwa tofauti sana katika halmashauri ya Mbulu mji hasa...
0 Reactions
1 Replies
210 Views
Waziri, wakazi wa Kawawa Road na vitongoji vyake tunapitia changamoto kubwa sana ya kupata maji. Pamoja na kuwa tupo chini ya mlima Kilimanjaro ambapo kuna vyanzo vingi vya maji lakini suala la...
0 Reactions
2 Replies
189 Views
Kuna mambo ya sintofahamu katika wilaya hii ya Mkuranga. Sehemu ya Stendi halmashauri inadai tulipe kodi ya pango kwa zaidi ya asilimia 10 tunayoipata kupita vibanda, pia wametoa mikataba ambayo...
1 Reactions
6 Replies
360 Views
Anonymous
KERO
Mimi ni mwalimu nimeajiriwa mwaka 2014. Pamoja na kuwa ni mujibu wa sheria mtumishi kupanda daraja Kila baada ya miaka mitatu, sisi hatukupanda hata baada ya miaka 7, tulidhulumiwa madaraja...
2 Reactions
12 Replies
677 Views
Habari zenu wana Jamii Forums. Niende kwenye mada moja kwa moja, nimekua kwenye wakati mgumu kimtazamo kutokana na mambo yanavyoenda kwenye Nchi yetu, na moja ya jambo ambalo limekua likinipa...
0 Reactions
5 Replies
614 Views
Kumekua na tabia ya idara za maji Tanzania, hasa MWANZA kutoa huduma ya maji saa nane au saa tisa za usiku. Wananchi hawana maji siku 4 hadi siku 9, na siku mkiamua kuwapa maji basi ni usiku wa...
1 Reactions
4 Replies
451 Views
Anonymous
KERO
Hii inatokana kwamba mimi na wenzangu tumekuwa tukipewa ushirikiano mdogo sana hapa chuoni, kwamba mpaka sasa niko mwaka wa tatu na ninatalajia kuhitimu masomo mwaka huu wa masomo 2023/2024...
1 Reactions
3 Replies
316 Views
Naomba nifikishe changamoto ya wanafunzi wanaorudi masomoni baada ya kurejea chuoni. Tunapitia magumu sana wakati wa kufanya usajili, kwani viongozi wengi hawawajibiki kabisa kutokana na kukosa...
0 Reactions
1 Replies
335 Views
Barabara za jijini Dodoma inaonekana hazifanyiwi ushafi wowote maana hata ukipita barabara ya lami vumbi lake ni sawa na alitepita barabara ya vumbi tu. Najiuliza hizi uongozi wa jiji unashindwa...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Wanafunzi wa chuo Kikuu Dar Es Salaam wanaoishi COICT hostel wamekuwa wakilalamika juu ya msimamizi wao wa hostel kuwa amekuwa akitumia madaraka yake vibaya kwa kutoa kauli chafu na kutishia kuwa...
1 Reactions
11 Replies
570 Views
Back
Top Bottom