KERO Threads

Anonymous
KERO
Ofisi za NIDA katika wilaya ya Nachingwea zina matatizo na usumbufu mwingi sana, kuna watu wamepeleka form toka mwaka jana mwezi wa nane lakini cha kushangaza mpaka leo hawajapata namba zao na...
2 Reactions
3 Replies
608 Views
Anonymous
KERO
MWANAFUNZI ALIYEPATA AJALI UWANJA WA TAIFA ATELEKEZWA BILA MSAADA WA UVCCM ..! Mwanafunzi Emmanuel Jackson Malima mwenye umri wa miaka 17 anayesoma kidato cha nne (Form IV) Shule ya sekondari ya...
2 Reactions
10 Replies
723 Views
Anonymous
KERO
Taasisi ya North Mara community trust fund. Iliyopo wilayani Tarime kuna mambo yanayoendelea yasiyo ya haki hasa kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali walio chini ya mpango wa maendeleo endelevu...
1 Reactions
4 Replies
338 Views
Nisikuchoshe usinichoshe..! Wasalaam. Mimi ni mkazi wa maeneo ya Buza ambaye katika harakati zangu kila siku usafiri wangu ni daladala kutoka Buza kwenda mjini kujitafutia mkate wa kila siku...
0 Reactions
4 Replies
579 Views
TABIA NA MAKUZI Kuna hii tabia ambayo sio nzuri kwenye daladala. Kuna hawa wadada wakiingia na watoto wao wadogo wanataka kupishwa kwenye seat ila siku wakiwa na pesa za kuwalipia hao watoto wao...
0 Reactions
1 Replies
175 Views
Leo au toka jana serikali haina mtandao. Malipo ya ada vyuoni kupitia control number ni shida siku nzima mtandao hauko hewani. Kule CRDB napo ni shida hakuna mtandao. Nimelipa kitu flani...
1 Reactions
3 Replies
310 Views
Anonymous
KERO
Sisi wakazi wa Matuga, Kibaha Vijijini tuna changamoto ya kusumbuliwa na Maafisa wa Halmashauri ya Kibaha Mji, wapo katika mchakato wa kutupora ardhi yetu kiasi cha kutumia Askari Polisi na Mgambo...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Anonymous
KERO
Leo asubuhi eneo la Nyerere square baada ya konda na dereva kutudanganya kuwa watapitia General Hospital. Huyo dada hapo pembeni na kaka wagonjwa, mimi nilikuwa naelekea Majengo na konda akaanza...
0 Reactions
3 Replies
305 Views
Mifereji ya Kawe stendi inatoa harufu mbaya sana, na ukizingatia kuna biashara zinafanyika zikiwemo biashara ya kuuza chakula. Harufu inayosambaa katika eneo hilo ni takribani siku 5 sasa, na...
0 Reactions
4 Replies
467 Views
Anonymous
KERO
Bado kuna shida kubwa sana ya madereva wa daladala kugeuzia njiani na kufaulisha abiria kwenye gari nyingine. Imekuwa kero na usumbufu mkubwa sana hasa kwa daladala zinazotokea Mipango kuelekea...
1 Reactions
10 Replies
714 Views
Anonymous
KERO
Mimi ni mkazi wa Kawe, Dar es Salaam, nina imani Nchi yetu kwenye Sheria za ardhi kuna maeneo specific kwaajili ya ujenzi wa Makanisa na Misikiti, kwa habari za Misikiti wanajitahidi sana na...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Wafanyakazi WA PSSSF Musoma hawatimizi wajibu wao haswa kwa wastafuu, mama mzazi amekosa pension yake kwa kutokuja kuhakikiwa wanapigiwa simu mwezi mzima wanasema wanakuja ila hawaji, ukiendelea...
2 Reactions
13 Replies
422 Views
OR TAMISEMI, Dodoma kuna nini, naomba kujuzwa wadau. Mimi ni mmojawapo wa watumishi niliopata uhamisho toka kwa Katibu Mkuu TAMISEMI, nikihamia HALMASHAURI nyingine. Cha kushangaza, tangu kuripoti...
1 Reactions
8 Replies
702 Views
Anonymous
KERO
Mimi ni mdau kutokoa wilaya ya Busega mkoani Simiyu. Hali ya Ugawaji wa namba za NIDA imekuwa sio nzuri ambapo kwa mwezi sasa namba hazitoki toka tarehe 10/06/2024. Kila ukienda unaambiwa kuna...
0 Reactions
4 Replies
458 Views
Anonymous
KERO
Unakuta baada ya mwalimu kufaulisha vizuri, wanaona kuingia naye mkataba itawagharimu anatafutiwa sababu anafukuzwa na kuajiri walimu wapya ambao ni vigumu kujua kile kinachoendelea kwenye shule...
1 Reactions
7 Replies
375 Views
Anonymous
KERO
Wakazi wa mtaa Mwarakani wanakumbana na changamoto ya maji kwani hudumu hiyo haijafikishwa kwenye makazi yao licha ya kuhangaika kusogeza huduma hiyo bila mafanikio kwenye maeneo yao. Mamlaka...
0 Reactions
1 Replies
210 Views
Anonymous
KERO
Mpaka Sasa hamna MAJIBU yoyote kutoka kwa wasimamizi wa bima hizo kuhusu sababu za kusitisha huduma hiyo kwa wateja.
0 Reactions
1 Replies
224 Views
Anonymous
KERO
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya vyuo kufanyisha wanafunzi mitihani kwa mfumo wa online(Google) na mfumo unakuwa na changamoto nyingi kama vile muda unaowekwa unakiwa hautoshi,unakuta maswali 50 ya...
1 Reactions
3 Replies
292 Views
Anonymous
KERO
Habari, Kituo cha Kibamba wahudumu pale ni kero kubwa wana majibu ovyo, imeshakuwa kero kubwa itafikia hatua wananchi watajichukulia sheria mkononi. Pia Dada anayekatisha tiketi ukidai Tsh 50...
0 Reactions
8 Replies
344 Views
Foleni mlimani City ni kero. Kila asubuhi Traffic huongoza magari upande hasa yanayotokea Goba/UDSM kupita na kusababisha foleni kubwa kwa magari yanayotoka Ubungo. Foleni unaweza kukaa mpaka...
9 Reactions
57 Replies
1K Views
Back
Top Bottom