KERO Threads

Wizara ya OR_TAMISEMI na Utumishi iangalieni halmashauri ya Singida kwa jicho la tatu, upandaji wa madaraja unaweza usiwezekane kwa uzembe wa maofisa wa ofisi hizo. Naomba wakubwa lifuatilieni...
2 Reactions
56 Replies
2K Views
Anonymous
KERO
Wadau tusaidieni tuko mkoani tunataka kupiga simu NHIF, walitupatia namba ya msaada 199 ila tukipiga hiyo namba ya msaada haipatikani kabisa. Watusaidie hata namba nyingine basi ya msaada kama...
0 Reactions
2 Replies
166 Views
Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili ya Upanga, tafadhali fanyeni busara kuziondoa kamera ambazo zimefungwa chooni. Sio busara, sio ustaarabu, ni kuingilia faragha za watu. Chooni ni eneo...
10 Reactions
64 Replies
3K Views
Anonymous
KERO
Bodi ya Wahandisi inakera sana, inachelewesha vyeti kwa makusudi, mtu amekamilisha kila takwa la registration, lakini unakuta hadi miezi 3 hadi 6 cheti bado hakijachapishwa. Ukiuliza unaambiwa...
0 Reactions
1 Replies
207 Views
Anonymous
KERO
Kumekuwa na kero ya kukosa utulivu nyakati za usiku baada ya uwepo wa sehemu hii ya biashara kwani sehemu hii ipo karibu na hospital na makazi ya watu na kusababisha watu kushindwa kulala wakiwemo...
1 Reactions
5 Replies
281 Views
Tangu kuanzishwa na kufunguliwa kwa mfumo wa watumishi portal ess.utumishi.go.tz na kuunza kutumika rasmi mnamo tarehe mosi ya mwezi september. Ukiwa na lengo la kupokea na kushughulikia maombi...
9 Reactions
38 Replies
8K Views
Anonymous
KERO
TANESCO KIBONDO NI KERO Leo ni siku ya 3 sasa, hawa TANESCO wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma wanakata umeme kwa zaidi ya saa 12 bila taarifa yoyote. Je, ni mgao umeanza tena tujue? TANESCO
0 Reactions
1 Replies
423 Views
Jana nilikuwa naongea na moja ya wananchi washio Arusha. Ktk kupiga stori za hapa na pale aliniambia visa na matukio ambayo mimi binafsi yamenitisha na kuniumiza kichwa. Usalama wa Wananchi...
2 Reactions
36 Replies
1K Views
Anonymous
KERO
Kata ya Ruzinga wilaya ya Missenyi Mkoa wa Kagera kuna mradi wa maji haujawahi kamilika toka mwaka 2012 hadi watu washachoka kulalamika maana ukijaribu kufuatilia taarifa zinasema mradi...
0 Reactions
1 Replies
225 Views
Anonymous
KERO
Kuna kero ya mfumo wa Gesi kuvuja katika eneo la darajani Ubungo Interchange (Fly-over) ambapo mkondo wa bomba la gesi umepita imekuwa kero kwa wanafunzi hasa wa Chuo cha Maji na wafanyabiashara...
0 Reactions
0 Replies
204 Views
Wakuu habarini! Leo mchana nilikuwa Kariakoo, sasa kilichonishtua ni kuona mitaa mingi imefungwa watu wanaabudu barabarani. Mbaya zaidi hakuna ishara yeyote utaiona kwamba mtaa husiku umefungwa...
19 Reactions
78 Replies
2K Views
Bodi ya wahandisi ina matatizo makubwa, wanachelewesha kuchapisha vyeti kwa makusudi nadhani kwa sababu zao binafsi, sasa kama mhandisi tayari umeshaandikishwa ukaandika ripoti na bodi ikakaa na...
1 Reactions
2 Replies
270 Views
Anonymous
KERO
Leo hii nimeamua, kushika kalamu kuandika hili kwamba wafanyabiashara wadogowadogo waliopo Mbezi wanapata kadhia sana kwenye kufanya shughuli zao za kila siku, ila wenye taabu kubwa ni...
0 Reactions
0 Replies
196 Views
Anonymous
KERO
Naandika Tatizo hili nikilia maana ni mwaka na zaidi sasa wazazi wangu wanateseka na maji. Ukiangalia tupo karibu ya vyanzo vya maji alafu watu wachache wanafaidi sisi wa hali ya chini tunateseka...
0 Reactions
0 Replies
173 Views
Kwanini wafanyabiashara wa stendi ya Magufuli Mbezi wameachiwa kufanya biashara zao kwa kuzurura ndani ya stendi na kupanga biashara kila mahali wakati kuna majengo ya kufanyia biashara? Kuna...
2 Reactions
3 Replies
291 Views
Dar ndo jiji kubwa Tanzania ukifanya research utagundua availability ya maji Dar Ina range 60%--70% mfano Ubungo na Kimara maji yanatoka mara mbili Kwa wiki tena Kwa mda mchache yanakata mwezi...
2 Reactions
2 Replies
325 Views
Anonymous
KERO
Medical Council of Tanganyika (MCT) wamekuwa hawatoi msaada unaoitajika kwa madaktari especially swala la leseni kwamba ukishalipia ni aidha uifate Dodoma ama usubirie kwa muda wao wanaoutaka wao...
2 Reactions
2 Replies
323 Views
Inasikitisha sana kwa wakuu wa wilaya na mapolisi kuvamia guest usiku, na kuwadhalilisha wateja waliolala kama vibaka. Ifahamike kwamba gesti ni biashara kama zilivyo biashara zingine...
2 Reactions
2 Replies
477 Views
Anonymous
KERO
Serikali imeshindwa kulinda na kufuata Sheria na kanuni zake kama zinavyotaka... Mfano, kuna Baraza la taifa la usimamizi na uhifadhi mazingira kazi yake kubwa kulinda na kusimamia Sheria ya...
0 Reactions
0 Replies
177 Views
Anonymous
KERO
Baadhi ya wafanyabiashara Morogoro tunadai hela TEMESA za kuwasambazia bidhaa kwaajili ya magari yao toka 2022 mpaka Leo hawajatulipa, tumeshatuma barua za kuulizia kwanini wanachelewa lakini...
0 Reactions
0 Replies
201 Views
Back
Top Bottom