KERO Threads

Habari wanajukwaa wenzangu na Mamlaka zote zinazohusika. Kumekuwa na sintofahamu sasa ya muda mrefu kuhusu nini hatima ya Wakazi wa Nachingwea katika upatikanaji wa Maji na Salama. Tunaomba...
0 Reactions
0 Replies
141 Views
Anonymous
KERO
Rejea mada tajwa hapo juu. Shule ya sekondari Mawindi ambayo Inafanya Vizuri katika matokeo ya Kidato cha nne kwa Miaka mitatu mfululizo wameweza kufuta Division Zero. Lakini pamoja na Uwepo wa...
0 Reactions
1 Replies
98 Views
  • Redirect
Tuna miezi mitatu hatuna maji Eneo ni kajima (Rivaside juu) mtaa wa Kibangu Ubungo Maji hayatoki lakini watu wanauza maji na kuleta na magari na kuyauza kwa ndoo 500 Tumelalamika tumechoka...
2 Reactions
Replies
Views
Huenda ni mimi nilifanya makosa kwa kutopitia terms & conditions vizuri ila hawa jamaa walicho nifanyia ni uzalilishaji mkubwa sana. Kuna app moja mtandaoni (play store) inaitwa "PESA M FINANCE"...
55 Reactions
328 Replies
43K Views
Kwa kipindi cha hivi karibuni kwenye maeneo mbalimbali nchini hususani ndani ya Jiji la Dar es salaam kumekuwepo na wimbi kubwa la kuenea kwa taka za chupa za plastiki za rangi hasa zinazotokana...
6 Reactions
12 Replies
1K Views
Kumekuwa na Kero ya kusuasua kwa mfumo wa PEPMIS kwa kitambo Sasa. Mara mtandao umefungwa, mara uliweka taarifa huzioni. Na mbaya zaidi hata huduma zile za kuunganishwa na Taasisi za fedha ni...
0 Reactions
1 Replies
161 Views
Sasa ni mwezi wa 7 hatujawahi kupata maji ya Dawasa. Mateso tunayopata ni makubwa mno! Majirani zetu wote wanapata maji ila sisi hatuyapati hayo maji kabisa. Tangu kipindi hicho tunanunua maji tu...
1 Reactions
1 Replies
105 Views
  • Redirect
Ubungo Kibangu mtaa wa Kajima kuna shida sugu ya maji, na Mbunge ni Profesa Kitila Mkumbo lakini hamna kitu ametusaidia Suluhisho la maji alileta mradi wa matenkI yaani matenki yanajazwa maji...
2 Reactions
Replies
Views
Zimekuwepo jitihada za Serikali na wadau wa Sekta ya Afya kusambaza Magari ya kubebea Wagonjwa (Ambulance) na sasa ukienda hospitali nyingi unakuta magari hayo, lakini kwa hapa Shinyanga licha ya...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwenye app ya simbanking kuna sehemu ya Taarifa ya akaunti, ukichagua taarifa fupi ya miamala 10 iiyopita, utaandikwa jumla ya makato ni shilingi 0.00 Ajabu ukithibitisha kuangalia miamala...
8 Reactions
52 Replies
2K Views
Hapo awali nlileta kero kuhusu kukosekana kwa huduma za kimtandao katika kata za Kikio na Misughaa ,mkoani Singida. Kuhusu kero za mnara wa shirika la TTCL,mnara unatumia mitambo ya umeme wa jua...
0 Reactions
2 Replies
192 Views
Mimi ni mfanyabiashara wa dawa za binadamu (pharmacy) katika Wilaya ya Bagamoyo. Ningependa kuwasilisha changamoto kubwa inayowakumba wagonjwa wanaotibiwa katika hospitali ya wilaya hiyo...
2 Reactions
2 Replies
129 Views
Wakuu, Wizara ya Maji nawasalimu. Bunju A maeneo ya Dogodogo Center hamna maji hii ni wiki ya 2 sasa, yalitoka siku moja tu ndio ikawa kimoja hadi leo. Mbona mnataka kutufanya ngamia wenzenu na...
2 Reactions
17 Replies
272 Views
Anonymous
KERO
Nipo Mpanda mjini, Kata ya Shanwe, mtaa wa Kilimahewa. Kuna eneo kama kaya 40 au 50 zilirukwa na Umeme muda mrefu, na hili suala ni muda wananchi wamejaribu kulifuatilia, hadi engineer...
0 Reactions
0 Replies
60 Views
Naomba Serikali iangalie kuna changamoto katika kivuko cha Busisi - Kigongo ambapo kuna vivuko vitatu yaani MV Mwanza, MV Misungwi na MV Sengerema lakini kwa sasa kivuko kinachofanya kazi ni...
1 Reactions
5 Replies
600 Views
Malimbe asilimia kubwa ya wakazi ni wanafunzi wa chuo cha SAUT kwa asilimia 75 haichukui zaidi ya KM 10 kwa mkazi yeyote wa malimbe kufikia ziwa victoria lakini changamoto ya maji ni kubwa sana...
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Anonymous
KERO
NMB Njombe madiridha yako mawili tu ya kuchukulia pesa na ndiyo yanahudumia mji mzima wa Njombe, yaani unafika saa tatu asubuhi ujue kuondoka saa sita hiyo ndo upate huduma. Unaweza Kuta katika...
0 Reactions
0 Replies
41 Views
Habari wana JamiiForums, napenda kuiomba Serikali kufuatilia kero na kelele inayosumbua sana maeneo ya (kwa Vice, Mnadani). Kumekuwa na makanisa mengi maeneo hayo, lakini kuna kanisa ambalo lipo...
5 Reactions
17 Replies
392 Views
Back
Top Bottom