SI KWELI Threads

  • Article Article
Nimekutana na post inasambaa mtandaoni Tundu Lissu akisema anaunga mkono ushoga na video ina maneno yanayosema "Lissu akiri kuunga mkono mapenzi ya jinsia moja" je post hii ina ukweli wowote?
0 Reactions
0 Replies
482 Views
  • Article Article
kuna ujumbe unasambazwa kwenye makundi ya whatsapp ukidai kuwa kuna namba ikikupigia ama kutuma ujumbe na ukijibu unapoteza maisha kwani mtumiji wa namba hiyo anatafuta damu za watu ni kweli?
0 Reactions
2 Replies
928 Views
  • Article Article
Barua hii ikionesha Mpando wa CHADEMA kundamana ni ya kweli?
0 Reactions
0 Replies
790 Views
  • Article Article
Naomba msaada kujua uhalisia wa swala hili upoje juu ya makubaliano yaliyosainiwa kati ya serikali ya Kenya na Ujerumani kubadilishana wafanyakazi 250,000 kutoka Kenya.
1 Reactions
2 Replies
504 Views
  • Article Article
Hivi ni kweli kwamba kinyonga akiwa anazaa hupanda juu ya mti na kujirusha chini hali inayopelekea tumbo lake kupasuka na kufariki?
2 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Article Article
Baadhi ya jamii huamini kuwa ulaji wa limao na ndimu husababisha upungufu wa damu mwilini. Uvumi huu uliosambaa kwenye maeneo mengi hutoa maonyo makali hasa kwa watoto na wanawake wenye...
8 Reactions
9 Replies
6K Views
  • Article Article
Limeandika Gazeti la Nipashe kuwa Mbowe amemtuhumu Lissu kuhusika kwenye kifo cha Mzee Ali Kibao. Taarifa hii ina ukweli?
4 Reactions
20 Replies
2K Views
  • Article Article
Nimeona poster ya The Chanzo yenye picha ya Freeman Mbowe ikiwa na maelezo ya kwamba Mwenyekiti huyo wa CHADEMA amemshukuru Rais Samia kwa kuungana na CHADEMA Kuomboleza msiba wa mzee Kibao, je...
0 Reactions
1 Replies
916 Views
  • Article Article
Nimeona video ikisambaa toka jana ikimuonesha Tundu Lissu akiwa anazomewa na watu waliokuwepo kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana tarehe 11/09/2024 wakimzomea na kumuita YUDA je...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
  • Article Article
Kumekuwa na akaunti yenye jina la Luaga Mpina inachapisha taarifa mbali mbali kuhusu mambo yanayoendea nchini na kujibu hoja za Mbunge Luaga Joelson Mpina wa jimbo la Kisesa ndani ya mtandao wa X...
0 Reactions
1 Replies
751 Views
  • Article Article
Baada ya Lissu kunyimwa funguo za Mikocheni ameamua kususa nafasi yake imezibwa rasmi na Catherine Ruge, Wasalimie sana ACT Wazalendo.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Article Article
Salaam Wadau wa Michezo, Kuna taarifa nimeiona inadai kuwa Willy Esomba Onana aliyekuwa mchezaji wa Simba SC msimu uliopita ameibuka shujaa kwa kufunga mabao matatu katika mchezo wake wa kwanza...
0 Reactions
0 Replies
992 Views
  • Article Article
Habari Wakuu, nimekutana na picha ikimuonesha Mbowe amepiga picha mbele ya TV huku nyuma kukiwa na chupa ya Konyagi. Je, picha hii ni halisi? ---
0 Reactions
27 Replies
2K Views
  • Article Article
Habari wakuu, nimeshangaa sana kuona WASAFI TV ikitumia lugha ya kihuni tena yenye maudhi katika uwasilishaji wa taarifa. Chombo mahili hakiwezi kutumia neno 'usela mavi' katika kufikisha...
1 Reactions
4 Replies
820 Views
  • Article Article
Salaam ndugu zangu, Nimekutana na picha ya JamiiForums ikienea ikionesha ujumbe wa Prof. Mkenda unaodai kuwa kwa sasa vigezo vya kupata kazi kwa Wanafuzni ni kuwa na GPA 3.8. Jambo hili...
2 Reactions
1 Replies
4K Views
  • Article Article
Fatuma Karume asema CHADEMA wanahusika na mauaji yanayoendelea, hatuwezi kulilaumu Jeshi la Polisi kila siku wakati viongozi wa CHADEMA wenyewe wakishutumiw na wapo kimya!
0 Reactions
2 Replies
770 Views
  • Article Article
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu, amesema Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe amemzuia kwenda katika ofisi kutokana na yeye kueleza ubadhirifu...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
  • Article Article
Nimetumiwa hii text kwenye whatsapp kwamba ibatoka meta na account itafungwa ndani ya masaa 24 yajayo kwamba nakiuka sheria za mata.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
  • Article Article
Wakuu salaam, Kuna mdudu anaitwa Mjusi kafiri, kumekuwa na hoja mbalimbali kwamba mdudu huyo ni hatari na ana sumu kali ikiwa atadondokea kwenye chakula na ukakila. Je kuna ukweli kuhusu hoja hii?
0 Reactions
10 Replies
3K Views
  • Article Article
Watu wanachapana mikono huko, yaani ni noma sana.
27 Reactions
211 Replies
8K Views
Back
Top Bottom