Miongoni mwa jambo pasua kichwa kwa watafuta ajira wengi wenye vyeti vilivyoosheni GPA zenye vigezo vya mtu kupata nafasi ya kuwajibika eneo husika basi kuhusu USAILI huwezi kuacha kuzungumzia...
Mimi ni kijana wa kitanzania nimezaliwa mkoa wa kilima njaro wilaya ya same kwenye kijiji cha kisiwani wilayani same. Mm nikijana mwenye umri wa miaka 30 kwa sasa.
Nililelewa na mzazi moja ambae...
Habari za wakati huu wana jamii forum.
Ni siku nyingine tena ya kuelimishana ili kila mmoja wetu aweze kuwajibika kwa nafasi aliyokuwa nayo katika jamii. Leo ningependa kuongea na baadhi ya...
Ninae andika makala hii ninaitwa Buddah07 kama nilivyojisajiri katika ukurasa huu wa jamii foram. Nina andika makala hii kwa uchungu na maumivu mengi sababu jambo hili ambalo nimechagua...
Wanafunzi wa kike au mabinti wenye umri kati ya miaka kumi na tano mpaka miaka kumi na nane wanaopewa ujauzito au kufanya ngono na wanafunzi wenzao au vijana wenye umri unaoendana na wao wapewe...
Maisha ya familia mpya huanza kwa uchumba na ndoa.
Kijana mmoja wa kisukuma alipata kufungishwa ndoa na wazazi wake kama tamaduni zetu za kitanzania zilivyo.
Ndoa ilifanyika na kufana, mtihani...
Sifa zilizokupatia kazi, ndio sifa hizo hizo mtu fulani anazo lakini hana kazi. 𝗠𝘀𝗵𝘂𝗸𝘂𝗿𝘂 𝗠𝘂𝗻𝗴𝘂
Maombi ambayo Mwenyezi Mungu amekujibu, ndio maombi hayo hayo wengine wanayaomba kila siku lakini...
Mwanangu leo kabla hujalala naomba unisikilize kidogo, ninalo neno nahitaji kukuusia huenda likakufaa kimaisha. Kama si leo basi kesho na kama si kesho basi mtondo ..
Mwanangu tupo chini ya...
UNYWAJI HOLELA WA DAWA BILA KUPEWA MAELEKEZO YA DAKTARI
Dawa mtu hupewa baada ya kugundulika kuwa ana ugonjwa fulani au ana dalili za ugonjwa fulani, baada ya kumuelezea daktari kwa undani na...
KWA WOTE WALIOKATA TAMAA KWENYE MAISHA YAO 🙏🏽
Kwa wote waliokata tamaa juu ya maisha yao, kwa wote ambao tumaini lao limeshapepea mioyoni mwao. Kwa wote waliojawa na wasi wasi na katu...
Katika ukanda mmoja wa Kusini wa Bara la Asia, palikuwa na mfalme mmoja ambae alitawala himaya yake kwa weledi na ufanisi mkubwa mno. Mfalme huyo alikuwa akipenda sana haki na utiifu mno, kiasi...
March 19, 2022, marks the one-year anniversary of Tanzanian president Samia Suluhu Hassan’s inauguration. As the country’s former vice president, Hassan became the constitutionally mandated...
Tanzania ni nchi ambayo imekua na mahusiano mengi na nchi mbalimbali tangu miaka ya mwanzo. Baba wa Taifa Hayati Julius Nyerere aliipa kipaumbele urafiki baina ya nchi yetu na mataifa ya...
Furaha kubwa na utoshelevu atakayokuanayo mwanadamu ni pale anapofanya Jambo la kusaidia mwenzake kustawi .
Furaha ya namna hii unayoipata Kwa kumwinua Mtu mwingine kutoka chini kwenda juu ni...
Utangulizi
Misitu kwa maana fupi ni mimea au uoto wa asili. Misitu ni muhimu, inachangia kuboresha maisha ya watu na uwepo wa viumbe hai. Tanzania inakadiriwa kuwa na hekta milioni 48.1 za misitu...
UTANGULIZI ;
Kwa jina naitwa Albashiri (0652472119 ) mjasiriamali ambaye napambana na maisha ya kuitafuta pesa, katika kuitafuta hiyo pesa tangu nikiwa chuo nilijaribu njia nyingi ikiwemo...
Tangu enzi na enzi ulimwenguni kote inasemekana watoza kodi ni watu wa kujinufaisha binafsi, hutumia mbinu nyingi kuchota na kujinufaisha wao binafsi, na kwa kawaida hupata utajiri mkubwa kupitia...
Ukweli usiopingika ni kwamba watu wengi wamejisahau sana , kuhusu hawa watu. Pengine ni sababu ya chanagamoto za kimaisha au kukosa muda. Kutokana na majukumu. Lakini sidhani kama ni sababu za...
AGANO LA GIZANI
Ninaposema maisha ni hakuna kitu akilini mwangu ambacho naweza kuwaambia wengine au mimi mwenyewe maisha ni nini. Sijui niseme nini nadhani nimepotea katika mawazo ya nini...
MAGONJWA YASIYO AMBUKIZA
Ni aina ya magonjwa ambayo hayawezi kusambaa kutoka Kwa mtu moja kwenda kwa mwingine.
Mfano; magonjwa ya moto, saratani(cancer), Pumu, kisukari n.k
Ni kweli tafiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.