UTANGULIZI:
ELIMU ni tendo au uzoefu wenye athari ya kujenga Akili, Tabia ama uwezo wa kimaumbile wa mtu binafsi. Jamii hutumia Elimu kupitisha Maarifa, Ujuzi na Maadili kutoka kizazi kimoja hadi...
Katika siku za hivi karibuni limeibuka wimbi la watu wanaodai kuwa siasa ni kila kitu katika maisha. Je ni kweli kuwa siasa ni zaidi ya sheria ambayo ndio uti wa mgongo katika utawala bora?
Kwa...
Mimi nitauzungumzia UCHUMI kimaana nina Uhusiano nao, pia katika hili kuna SAYANSI na ELIMU ndani yake. Nitatumia Sayansi ya Uumbaji katika kuuzungumzia UCHUMI lakini kabla ya kwenda kwenye UCHUMI...
a) UTANGULIZI.
Vijana wengi wa sasa nikiwemo mimi kwa muda mrefu tumekuwa tukilalama, na pengine kuilalamikia serikali kwa uhaba wa fursa zinazoweza kufikika ili KUJIKOMBOA ki uchumi, mawazo haya...
KILIMO NI FURSA
Neno mkulima limetokana na kitendo cha kulima,hivyo mkulima ni mtu yeyoyote anaejishughulisha na shughuli za kilimo.
Shughuli hii imekuwepo tokea karne nyingi zilizopita kwakuwa...
Mwalimu John alikuwa akifundisha katika shule moja ya umma, katika kufundisha kwake Kwa miaka kadhaa, utendaji kazi wake umekuwa watofauti Sana na walimu wenzake. Ilifikia hatua walimu wenzake...
Habari yako mpambanaji mwenzangu?. Karibu katika makala hii inayohusu kupigana vita ya kuyasaka mafanikio.
Labda kwa ufupi ningependa kukumbusha kuhusu Maisha. Wakati kila mtu ana namna yake ya...
Andiko langu litakua na sehemu tatu kuu, sehemu ya kwanza dawa za kulevya na maana yake. Sehemu ya pili urahibu wa dawa za kulevya na athali zake. Sehemu ya tatu namna ya kuepukanana na hili...
Habari wakuu natumai ni wazima wafya
Poleni na majukumu ya kazi na mihangaiko ya hapa na pale
Niende moja kwa moja kwenye mada husika
Maisha yamekuwa hayatabiriki au hayaeleweki, yamekuwa na...
Tanzania ni nchi yenye wananchi walio na amani na subira sana mbele ya utawala lakini mioyoni na ndani ya fikra zao wameghubikwa na huzuni, mifadhaiko na hali duni ya maisha
Wananchi wengi wa...
Watu wanadhani kuwa na elimu ni kitendo cha kuwa na degree nyingi nyumbani au kuwa unafaulu mitihani tu lahasha Kuwa na elimu ni kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi sahihi,kuchanganua tatizo,kujali...
Jamii nyingi zimekuwa zikiwatenga sana watoto wa like ambao wanabeba mimba wakiwa shule, wengi wao hawapati ushirikiana wankutosha kwa jamii zinazowazunguka, wahanga wengi wa tatizo hili huishia...
(Hii makala ni kisa cha kweli kilichotokea maishani mwangu)
Nilikuwa nikitamani sana kuwa daktari wa magonjwa ya moyo,tangu nikiwa mdogo nilikuwa nikijihamasisha kwa kusoma kwa bidii ili siku...
Maisha ya mwanadamu ni mfumo au mzunguko unaohusisha hatua mbalimbali hadi kukamilika kwake. Hatua za Maisha ya binadamu zinajumuisha utoto, ujana, utu uzima na uzee. Katika Maisha ya kawaida...
Udereva ni kitendo cha mtu kuendesha chombo cha moto kwa ajili ya kusafiri au kusafirisha watu au mizigo mbalimbali ya watu kutoka sehemu moja hadi sehemu nyingine. Mtu ambaye huendesha chombo cha...
BIASHARA
Biashara ni nini?
Biashara ni makubaliano ambayo hufanyika bayana ya pande kuu mbili, muuzaji na mnunuzi, amabapo makubaliano hayo hufanyika juu ya bidhaa au huduma anayo itoa muuzaji...
FURSA ni kitendo Cha kuepo au kupatikana kwa nafasi au kazi au jambo lolote ambalo linaweza kumuingizia MTU kipato. Jambo hili linaweza kuwa ni jambo kubwa au dogo, vilevile FURSA inaweza...
Habari wapendwa,
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo kwa neema ya Mwenyezi Mungu. Kupitia jukwaa hili la "Stories Of Change" napenda kushiriki kwa kuja na mada isemayo "Namna Bora ya kupunguza ukali...
Katika karne ya leo ya 21 ni kweli ajira imekuwa ni kipengele kwetu sisi vijana na wengi wa wazazi wetu wanakwama pale wanapoamini kwamba kweli ufunguo wa maisha ni elimu wanasahau kwamba iyo...
Habari wapendwa,
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo kwa neema ya Mwenyezi Mungu. Kupitia jukwaa hili la "Stories Of Change" napenda kushiriki kwa kuja na mada isemayo "Namna Bora ya kupunguza ukali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.