SoC02 Threads

  • Suggestion Suggestion
Mwanangu sasa watu weupe wanapoteza sifa yao ya uwajibikaji na ufataji wa sheria, hatuoni hata mmoja akikemea hili zaidi ilisikika kauli moja enzi zile nayo ilisema "hizo ni za kiwi tu" dah...
0 Reactions
2 Replies
345 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Wapo watu wanaowakejeli waajiriwa wanadai eti kama "Mtu asiye na Elimu anaweza kuosha Magari mtaani na akaweza kukuza kipato” kuna sababu gani ya kuishi Maisha magumu Kazini au Ofisini ? Upo...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
.
0 Reactions
0 Replies
236 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Jamii yetu inaamini sana kuhusiana na elimu. Mtoto akisoma kwa bidii anakuja kuwa na mafanikio makubwa. Je, in kweli kwamba watoto wote waliosoma wanafikia malengo yao? Embu tuingalie elimu yetu...
0 Reactions
0 Replies
279 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Ndugu msomaji wa stories for change nakuandikia uzi huu wa kusisimua unaomuhusu Majuto kama kijana aliyepitia changamoto ya kiuchumi wakati wa mahusiano yake na mpenzi wake aitwae Chawote katika...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Upvote 7
  • Suggestion Suggestion
Nini nikasome baada ya kumaliza elimu yangu ya sekondari..? Inawezekana likawa swali ambalo linajirudia mara kwa mara kutoka kwa ndugu, marafiki hata wazazi wakitafuta kitu Bora Cha kusoma baada...
0 Reactions
0 Replies
371 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
DARASA LA MAISHA Nikiwa kijana mdogo, kila wakati niliambiwa niote ndoto kubwa. Hata hivyo, haikuwa hadi nilipoanza kwenda chuo ndipo nilipogundua kuwa ulimwengu halisi ni mgumu zaidi kuliko...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
KUISHI NA HEKIMA Hekima inaweza kuja kwa namna nyingi. Inaweza kuwa kipande cha ushauri, somo la kujifunza, au hata tukio la maisha. Hekima ni kilele cha uzoefu na maarifa, ni matokeo ya kuishi...
1 Reactions
2 Replies
881 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi. Zaidi ya miaka 50 Tanzania imekuwa ikipiga hatua katika kuhakikisha wananchi wake wanapata elimu iliyo Bora.Baada ya Tanganyika kupata Uhuru mwaka 1961 serikali ilianza kutengeneza...
0 Reactions
2 Replies
678 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
BEING HONEST Telling the truth can be difficult. Sometimes it's difficult to tell a truth that can cause someone else pain. Sometimes we don't want to hurt someone's feelings, and so we choose to...
0 Reactions
2 Replies
431 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Maktaba ni jengo au sehem yenye mkusanyiko wa vitabu majarida magazeti, tamani, kumbukumu mbalimbali nk vilivyopo kwenye mfumo wa ki electroniki au vilivyochapwa(printed), vyenye tarifa zinazo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Nani asiyefahamu hii ni moja ya biashara kongwe duniani ambayo imeshindwa kufutika toka dahari. Karne mpaka karne mamlaka mbalimbali duniani zilijaribu kuitokomeza aina hii ya biashara ila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Naandika makala hii nikiwa kitandani kwangu vyeti vyangu vya chuo kabatini kwangu,miezi saba nyumbani sina lolote sina chochote sina ajira nimekuwa mtu wa kuwaza hivi kesho yangu ikoje.Siku zote...
1 Reactions
2 Replies
499 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Michael nguma 0693110405 Inakuaje taifa kubwa kuwa na wasomi wengi wasio na maarifa katika rasilimali za taifa hilo? Inakuaje taifa lenye mifumo ya elimu kuanzia ngazi za chini mpaka chuo kikuu...
1 Reactions
3 Replies
433 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
MAMA YANGU NI MWANAMKE JASIRI Naitwa Moza Nilizaliwa Migato iliyokuwa wilaya ya Bariadi Mkoa wa Shinyanga, Ambayo Hivi Sasa Ipo wilaya ya Itilima Mkoa wa simiyu. Mimi Ni mtoto wa sita (6) Kati ya...
2 Reactions
1 Replies
546 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Sensa ya Watu na Makazi inatarajiwa kufanyika Agosti 23 mwaka huu kote nchini, wengi tunaamini na kufahamu Sensa ni muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu. Bila shaka kuna baadhi ya watu hawajatambua...
0 Reactions
2 Replies
722 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
MFUMO WA AJIRA NCHINI UBADILISHWE Wakati ni sasa wa serikali pamoja na sekta binafsi kuja na mbinu au mkakati mpya wa ajira na kuajiri nchini. Sote tunajua hivi sasa kuna malalamiko mengi kwa...
0 Reactions
0 Replies
660 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Mambo vipi mwanajukwaa? Hivi una mdogo au mtoto wa kike? Sasa huu ndio wakati wa kumuwaza huyo binti yako aisee, wamombo wanasema ‘Imagine’ yani unaweza hata kufumba macho na kumvutia picha binti...
1 Reactions
2 Replies
365 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Kuna migogoro mingi duniani na inaweza kuwa vigumu kuiona kutoka nje. Jambo muhimu unaloweza kufanya ni kufikiria kile unachoweza kufanya ili kuifanya dunia kuwa mahali pazuri zaidi. Unaweza...
0 Reactions
0 Replies
683 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
CHANGAMOTO KWENYE MFUMO WA ELIMU NCHINI TANZANIA. Utangulizi Siku za nyuma nikiwa kidato cha kwanza, katika Shule ya Sekondari Uluguru, tuliwahi kuwekewa mada ya kujadili kwa hoja. Mada hiyo ni...
0 Reactions
0 Replies
638 Views
Upvote 0
Back
Top Bottom