SoC02 Threads

  • Suggestion Suggestion
Habari zenu Wana JAMII FORUMS, Hususa ni jukwaa la "STORIES OF CHANGE" Nimatumaini yangu kuwa nyote ni wazima na mnaendelea na majukumu ya kila siku. Andiko hili litaangazia katika ngazi za...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Habari wana JF Napenda kuwashirikisha wanajamii wenzangu juu ya uchumi wa nchi ya Tanzania kudhoofika na kuendelea kukua kwa kiwango kidogo sana kwa kila mwaka ni kutokana na kuwa na sera za...
1 Reactions
3 Replies
775 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Kumekuwa na mjadala mzito mitandaoni baada ya Rais Samia kumrejesha madarakani aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila. Wengi wanaopinga uteuzi wake wanarejea tukio la tarehe 3...
0 Reactions
0 Replies
312 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Salaam na Amani ziwe nanyi, Karibuni katika mnakasha huu utakaojikita katika mbinu za namna ya kuutengeneza na kukuza uzalendo, Imani yangu mnakasha huu utaleta fikra chanya za...
2 Reactions
0 Replies
719 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Kuna wimbi kubwa ya biashara haramu ya ngono vijijini hivi sasa. Biashara hii ni mpya kabisa kutokea sio kama inayofanyika mjini. Wadada wanakuja vijijini ,hasa wakati wa mavuno ,wanaweka kambi...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
Upvote 9
  • Suggestion Suggestion
Kumezuka makundi ya watu wanaoshabikia mabadiriko ya mtaala wa elimu Tanzania wakidai kuwa mtaala huu ni mbovu kwani hauendi na wakati na haumwezeshi mwanafunzi kutatua changamoto halisi za maisha...
2 Reactions
0 Replies
815 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Habari watanzania na wadau wote kwa ujumla. Katika chapisho hili nalenga kukutazamisha angalau kwa sehemu kuhusu msamaha, ninauhakika utakapomaliza kulisoma kwa utulivu utabadili au kuboresha...
0 Reactions
0 Replies
425 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Watu werevu na waliofanikiwa zaidi ninaowajua wanatafuta jumuiya kwa bidii. Wanaajiri makocha, wanajiunga na vikundi vya mitandao rika, huchukua likizo na marafiki na wafanyakazi wenzao, na...
0 Reactions
0 Replies
285 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
"Ni kweli mnanipinga, lakini naomba ujue na kutambua sababu ya kwa nini unanipinga" Fanya mazoezi, kuwa na kiasi, kunywa maji safi na salama, Vuta hewa safi, ota mwanga wa jua, ndio jina langu...
0 Reactions
0 Replies
291 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
The idea of gender balance is a healthy equilibrium between the different demands, responsibilities, activities, and needs of our lives in order to remain balanced and centred. It is a topic that...
0 Reactions
0 Replies
306 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Wazo la usawa wa kijinsia ni usawa mzuri kati ya mahitaji tofauti, majukumu, shughuli, na mahitaji ya maisha yetu ili kubaki na usawa na msingi. Ni mada ambayo mara nyingi hujadiliwa lakini...
0 Reactions
0 Replies
687 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Wilaya ya Kiteto ipo Kusini mwa mkoa wa Manyara. Kiteto ina kilomita za mraba 16,685 na jumla ya wakazi 244,669 kwa mujibu wa Senasa ya mwaka 2012. Upande wa Mashariki Kiteto imepakana na...
10 Reactions
13 Replies
5K Views
Upvote 13
  • Suggestion Suggestion
Habari za muda huu mpendwa, nipende kuchukua nafasi hii kukushukuru kwa kutumia muda wako na kuisoma makala hii "NITUNZE NITHAMINI ILI NIISHI", ni  makala iliobeba sauti ya mtu (watu) wanaoishi...
2 Reactions
2 Replies
758 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
“Kama utaendelea kuishi, acha urithi, weka alama duniani ambayo haitafutika” -Maya Angelou. Ellen Johnson Sirleaf, Maya Angelou, Mellody Hobson pamoja na Mo Abudu ni kati ya majina maarufu sana...
5 Reactions
3 Replies
662 Views
Upvote 6
  • Suggestion Suggestion
Leo nipo ndani ya jukwaa letu, jamii forums nataka kuchangia mawazo naamini mamlaka yetu hasa serikali na wadau wote inaweza kutibu kabisa baadhi ya changamoto kubwa hasa katika mfumo mzima wa...
0 Reactions
0 Replies
347 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Muziki, Uchumi na Maisha Mwandishi: Dr Yassayah – (Daktari wa binadamu, mtunzi na mwimbaji wa muziki tangu 2007) Muziki ni jambo zuri katika jamii. Muziki umeumba jamii zetu na tamaduni zetu...
0 Reactions
0 Replies
478 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
MACHO ni sehemu ya mwili inayotuwezesha kuziona taswira zetu zilizondani kwa nje, kile kinachoonekana ni taswira ya kitu namna tunavyokitafsiri katika akili zetu. Tunaona tulivyo sio kama vitu...
0 Reactions
0 Replies
290 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Wengi tunaamini kwamba kila kitu kilichopo hapa duniani kina sababu ya hicho kitu kuwepo. Na hii Ikanipelekea kutafiti sababu zinazotufanya tuwepo katika hali tulionayo kwa sasa. ZIFAHAMU SABABU...
0 Reactions
0 Replies
500 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Viwanda vidogo vidogo ni miongoni mwa sekta muhimu ambazo zinasaidia saaana kutatua changamoto za uhaba wa ajira na kukuza uchumi wa mtanzania mtu mmoja mmoja. Mfano wa viwanda hivyo ni kama...
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Kwenye maisha kuna vitu vinakuja na kuondoka wakati tukiwa bado tunavihitaji, pia kuna wakati unapaswa kufanya maamuzi magumu kwa ajiri ya mtu mwingine, haijarishi yatakuathiri kiasi gani. Lakini...
0 Reactions
0 Replies
398 Views
Upvote 0
Back
Top Bottom