afrika kusini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    Afrika Kusini: Idadi ya watu waliopoteza maisha katika mafuriko yafikia 306

    Mamlaka za Mji wa Durban zinasema takriban watu 306 wamepoteza maisha katika mafuriko, huku zikionya kuwa watu wengi zaidi bado wanahofiwa kupotea Mvua zilizonyesha kwa siku kadhaa zimesababisha maporomoko ya udongo na kusomba makazi ya watu. Idadi ya waliofariki inatarajiwa kuongezeka wakati...
  2. Lady Whistledown

    Afrika Kusini: Kesi ya ufisadi ya Zuma yaahirishwa

    Kesi ya ufisadi nchini Afrika Kusini inayomkabili Rais wa zamani Jacob Zuma imeahirishwa tena kusubiri matokeo ya rufaa ya kiongozi huyo wa zamani ya kutaka mwendesha mashtaka wa serikali aondolewe kwenye kesi hiyo. Zuma hakuwepo katika Mahakama Kuu ya Pietermaritzburg kutokana na "dharura ya...
  3. Shark

    Barbara Gonzalez: Benard Morrison Haingii Afrika Kusini

    Mkurugenzi Mtendaji wa Simba Barbara Gonzalez amethibitisha kuwa kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo Bernard Morrison hawezi kuingia ndani ya ardhi ya Afrika Kusini kutokana na kuwa na kizuizi cha kuingia nchini humo. Morrison kabla ya kujiunga na klabu za Yanga na Simba alishawahi kufanya kazi...
  4. Hero

    Mzozo wa Ukraine: Julius Malema ataka Waafrika kuungana na Urusi

    Huyu malema sasa amekiwasha kweli kweli na sijui itakuwaje, ila ki msingi ameyasema yaliyomo moyoni mwangu japo kuwa sifurahii kabisa masahibu wanayoyapata wa 'Ukraine' kwa ujuha wa rais wao!
  5. Miss Zomboko

    #COVID19 Takriban dozi laki moja za chanjo ya Pfizer ziko hatarini kuharibiwa-Mamlaka Afrika kusini

    Mamlaka ya afya ya Afrika Kusini ilisema Ijumaa kamba takriban dozi 100,000 za chanjo ya Pfizer ya COVID-19 ziko katika hatari ya kuharibiwa ifikapo mwishoni mwa mwezi huu kutokana na watu kutojitokeza kwa haraka kupokea chanjo. Afrika Kusini imerekodi idadi kubwa ya maambukizi na vifo vya...
  6. Analogia Malenga

    Kampuni ya BioNTech kuwasilisha vifaa vya uzalishaji chanjo Afrika kwa nchi ya Senegal, Rwanda na Afrika Kusini

    Kampuni ya kutengeneza chanjo ya Ujerumani BioNTech leo imetangaza mpango wa kupeleka vifaa vya kutengeneza chanjo zake barani Afrika. Kampuni hiyo ambayo pamoja na kampuni kubwa ya madawa ya Pfizer ilitengeneza chanjo ya kwanza ya virusi vya corona iliyoidhinishwa na Umoja wa Ulaya na...
  7. MK254

    Barabara zilizopewa majina ya miji ya Kenya kule Afrika Kusini

    Kenya and South Africa have, for the longest time enjoyed a cordial relationship, from the time before the latter attained independence to date. As such, South Africa has become the destination of choice for many Kenyans looking for greener pastures. From those searching for further education...
  8. Suley2019

    Ajificha kwenye tairi la ndege kutoka Afrika Kusini mpaka Uholanzi

    Polisi wa kijeshi nchini Uholanzi leo wameshangazwa kumkuta mtu aliyekuwa amejificha chini ya ndege kwenye eneo la tairi la mbele kuwa yuko salama. Ndege hiyo ilisafiri kwa saa 11 kutokea Afrika mpaka Ulaya. Ndege hiyo ya mizigo ilitokea Afrika Kusini na kutua Kenya kwa muda mfupi kabla ya...
  9. Mmawia

    Kukataliwa na kutupwa kwa parachichi za Tanzania kule Afrika Kusini nini tunajifunza?

    Waziri wa kilimo ameandika kwenye ukurasa wake wa kijamii. Kuwa maparachichi yaliyo enda kuuzwa nchini Afrika ya kusini kutokea Tanzania yamekataliwa na kutupwa kutokana na mapungufu ya ubora unao hitajika ikiwemo kuchumwa yakiwa bado machanga au hayaja komaa vizuri. Je lawama apewe nani kati...
  10. Suley2019

    #COVID19 Afrika Kusini: Simba wadaiwa kuambukizwa covid-19

    Simba na Puma katika mbuga ya kuhifadhia wanyamaporinchini Afrika Kusini huenda wameambukizwa virusi vya corona kutoka kwa wamiliki wao, kulingana na utafiti uliofanywa na wanasayansi katika chuo Kikuu cha Pretoria. Wanasayansi hao wameonya kuhusu hatari ya kirusi kipya kutokea iwapo virusi...
  11. Aizna

    Wanaoyabeza kuyadharau maisha ya South Africa (SA) Astroway

    VIP
  12. beth

    #COVID19 Afrika Kusini yalegeza kanuni za kudhibiti Corona

    Taifa hilo limeondoa marufuku ya watu kuwa nje kuanzia saa saa sita usiku hadi 10 alfajiri. Vilevile, mikusanyiko ya ndani haitakiwi kuzidi watu 1,000 na ya nje watu 2,000 Pia, Serikali imeashiria kuruhusu uuzaji wa pombe baada ya saa tano usiku, hatua inayotoa ahueni kwa Wafanyabiashara ambao...
  13. beth

    #COVID19 Hospitali Nchini Afrika Kusini zaandaliwa kupokea wagonjwa zaidi

    Rais Cyril Ramaphosa anasema Hospitali Nchini humo zinaandaliwa kulaza wagonjwa zaidi hospitalini, wakati Kirusi cha Omicron kikiendelea kuenea na kupelekea Wimbi la Nne Rais Ramaphosa anasema idadi ya maambukizi ya siku imeongezeka mara tano zaidi ya wiki iliyopita. Amewataka Wananchi kupata...
  14. Mr Dudumizi

    Opportunity ya kazi kwa wabongo wanaoishi Afrika Kusini

    Habari zenu ndugu zangu, ama baada ya salam ningependa kujielekeza kwenye mada husika. Mimi ni mbongo ninaeishi hapa Afrika Kusini, kuna salon nimefungua, so nahitaji vinyozi watatu wenye sifa tatu. 1) sifa ya kwanza kinyozi awe na uzoefu wa kutosha wa kazi hii, na awe anajua kunyoa style...
  15. Analogia Malenga

    #COVID19 Maambukizi Afrika Kusini yameongezeka maradufu. Visa 8,500 vyarekodiwa ndani ya saa 24

    Afrika Kusini imerekodi ongezeko kubwa la maambukizi ya virusi vya corona ambayo yameongezeka maradufu kote nchini humo tangu Jumatatu. Maafisa wa afya wanasema aina mpya ya Omicron iliyogunduliwa inaweza kuwa inachochea kuongezeka, ingawa haijulikani wazi ni watu wangapi kati ya wenye...
  16. Miss Zomboko

    #COVID19 Rwanda imetangaza kusitisha safari zake za ndege kwenda Afrika Kusini, Zambia na Zimbabwe

    Rwanda imetangaza kusitisha safari zake za ndege kwenda South Africa, Zambia na Zimbabwe na kurejesha masharti ya karantini ya siku 7 kwa wote wanaotoka kwenye Nchi hizi baada ya kirusi kipya hatari cha corona kugundulika South Africa wiki iliyopita.
  17. B

    #COVID19 Tahadhari ya Kirusi kipya kutokea Afrika Kusini

    Hadi pale kirusi cha Corona kitakapo tokomezwa inafahamika kuwa zitakuja variants hatari zaidi za kirusi hiki. "Dhana kamili ya kuwa hakuna aliye salama hadi sote tuwe salama." "Omicron" ndiyo iliyo variant mpya zaidi ikitokea Afrika Kusini. Nchi kadhaa duniani zinachukua tahadhari kukizuia...
  18. Sam Gidori

    #COVID19 Aina mpya, hatari zaidi, ya Kirusi cha Corona yagunduliwa Afrika Kusini

    Mamlaka nchini Afrika Kusini zimeripoti kuwepo kwa aina mpya ya Virusi vya Corona, B.1.1.529, ambavyo ni tofauti na aina zingine za virusi vinavyofahamika. Mkuu wa Kitengo cha Magonjwa ya Mlipuko nchini Afrika Kusini, Prof. Tulio de Oliveira amesema kuwa kirusi hicho kipya kina zaidi ya...
  19. jerrysonkiria

    Mjue Frederick De Klerk 1936-2021 Mkombozi wa Afrika Kusini

    MJUE FREDERICK DE KLERK 1936-2021 Mkombozi wa Afrika Kusini Najua wajua lakini acha wanaojua kidogo wajue zaidi. Ninataka umjue rafiki wa Waafrika weusi kwenye kundi la weupe wachache, watawala fedhuri Makabulu (boers) wa Afrika kusini. Mtu huyo wa ajabu ni Frederick de Klerk rais wa mwisho...
  20. Analogia Malenga

    TANZIA FW de Klerk, rais wa zamani wa Afrika Kusini na mzungu wa mwisho kuiongoza nchi hiyo, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85

    FW de Klerk, rais wa zamani wa Afrika Kusini na mzungu wa mwisho kuiongoza nchi hiyo, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85. Bw de Klerk, ambaye pia alikuwa mhusika mkuu katika kipindi cha mpito cha taifa kuelekea demokrasia, alikuwa amepatikana na saratani mwaka huu, kulinagana na...
Back
Top Bottom