anahitajika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Mke anahitajika

    Mimi ni mwanaume miaka 37 mwajiriwa serikalini, ninae mtoto mmoja wa kiume miaka 14 sasa, mkatoliki. Naomba mwanamke mwenye uhitaji aje tuzungumze 0769499326
  2. Fazzah5x

    Anahitajika kijana mwenye uzoefu wa photography na videography

    Habari wana JF, Anahitajika kijana mwenye uzoefu wa photo and video shooting kuna fursa hapa Location: Dar es Salaam Piga: 0625544723
  3. Dr Matola PhD

    Anahitajika mpangaji wa nyumba kwa taasisi au Dispensary, nyumba ipo Kinyerezi mwisho.

    Anahitajika mpangaji binafsi au taasisi kwa ajili ya kupanga nyumba kubwa yenye fence kubwa ya viwanja viwili double vya low density. Eneo ni Kinyerezi mwisho bomba la Songazi ni mita kama 200 kutoka barabara kuu lami. Matumizi unaweza kufanya ofisi au Dispensary itategemea na plan za...
  4. S

    Mke bora anahitajika

    Habari ndugu zangu, Waswahili wanasema katika maisha ni muhimu kuwatafutia wanao mama aliye bora. Na hivyo bila hiana nimeona humu JF naweza pata mke bora maana naamini humu watu wenye sifa ya kuwa wake bora wapo wengi hivyo kama una sifa hiz karibu; 1. Uwe muislamu 2. Uwe na rangi atlest...
  5. Obama wa Bongo

    Private Lecture Quantitative Technics anahitajika haraka

    Habari wa jukwaa natumaini ni wazima,Nina kimeo carry ya quantitive Technics Postgraduate natakiwa ndani wiki mbili zijazo nikafanye mtihani,please naomba nipate mwalimu wa kunibrush niweZe kuchomoka, 2hrs per day ,Malipo ni mazuri nikichomoa supplementary bonus pia nitatoa Natanguliza...
  6. The bump

    Mfanyakazi wa Usiku anahitajika

    Muda wa kazi Saa 4 Usiku - Saa 4 Asubuhi Majukumu: Wakala Mitandao ya Simu Mshahara 200,000 Mawasiliano: PM Eneo la kazi: Mbezi Mwisho VIGEZO NI VILE VILE KAMA 👇 https://www.jamiiforums.com/threads/anahitajika-binti-mwenye-uzoefu-na-kazi-ya-uwakala-wa-pesa-mitandao-yasimu-na-benki.2212350/
  7. Equation x

    2D animator anahitajika

    Awe na uzoefu wa kutumia 'software' yoyote ya 2D kutengeneza video ya katuni Awe na uwezo wa kutengeneza video ya masaa 10 kwa mwezi Awe na elimu yoyote kuanzia darasa la saba Malazi ni bure Ataanza na mshahara wa Tsh. 500,000/= Mwenye hizo sifa, tuwasiliane.
  8. N

    Girl friend anahitajika baadae awe mke

    Sifa za mwanamme Mrefu maji ya kunde, Elimu degree, Umri 30, Mpole na mcheshi, Kajiajiri,kipato cha kubadilisha mboga tu. Makazi Dodoma Sifa za mwanamke anaehitajika Elimu kuanzia form four Umri kuanzia 20 - 35 awe smart Dini yeyote,rangi yeyote kimo chochote Akiwa na mtoto asizidi mmoja...
  9. M

    Dereva anahitajika Dar es Salaam, malipo ni makubaliano

    Habari za leo, kuna rafiki yangu anahitaji dereva atakayekuwa analipwa kwa siku,au kwa week, maana ana mgeni wake ambaye anakuja week ijayo, hivyo anatakiwa awe anamuendesha, root ni za hapa hapa dar es salaam, ikizidi sana Bagamoyo. Dereva awe flexible yani kufanya kazi asubuhi, muda mwingine...
  10. B

    Mwanamke mwenye sifa hizi, muda wako wa kukutana na mwenza wako umefika

    Mwonekano 1. Mrefu 2. Mweupe Umri Kuanzia miaka 20-27 Dini Mkristo (Msabato) Kabila Msukuma ( hasahasa Mnyantuzu), Muha au Mhehe. Elimu Diploma/ Degree SIFA ZANGU Mwonekano 1. Mrefu 2. Mweusi  Umri Miaka 28  Dini Mkristo (Msabato)  Kabila Msukuma (Mnyantuzu)  Elimu Diploma Kazi...
  11. Nehemia Kilave

    Ajira- mkurugenzi wa Wanachama na Mashabiki anahitajika klabu ya Simba

    Kazi kwenu
  12. Kv-london

    Mwalimu wa Math/ Physics and Computer Studies anahitajika

    Habar mwalimu wa SoMo la mathematics/physics na computer studies anahitajika Shule inahtaji huyo mwalimu wa level ya degree au diploma at least awe anaweza kifundisha SoMo mojawapo hapo juu +computer( compulsory) Akiwa wa kike itakuwa vizuri zaidi Shule ipo Moshi Dc Kilimanjaro kama ungependa...
  13. mbalila

    Anahitajika hitajika Mfamasia Dar.

    Anahitajika Mfamasia mwenye Degree kusimamia pharmacy iliyopo Kigamboni ,Mshahara ni Tsh 800,000/= kwa mwezi namba ya simu kwa mawasiliano ni 0713214258
  14. dketikai

    Muhudumu wa bar anahitajika

    Maji ya Chai Arusha 0763759391. Jinsia ya Ke
  15. Kv-london

    IT specialist anahitajika Moshi Kilimanjaro

    Kama umesoma IT jaribu bahat Yako hapa
  16. The bump

    Anahitajika Binti mwenye uzoefu na kazi ya UWAKALA wa pesa mitandao yasimu na benki

    Eneo : Dar/kimara Muda Wa kazi : 1 asbuh - 4 usku Mahitaji Wadhamin wawili (2) waliojenga wanao ishi kwao. Mshahara : 200,000 Mawasiliano : PM
  17. S

    Nahitaji mke mtu mzima

    Nahitaji mke awe na umri kuanzia miaka 30 -48. Mimi nina umri wa miaka 44. Awe mkristo na mwenye kumcha Mungu. Elimu kuanzia Diploma na kuendelea.
  18. G

    Mke anahitajika haraka

    Mimi ni: Kijana: 35 Sija wahi kuoa: Sina mtoto: Mjasiria Mali: Nina shahada ya kwanza. Niko, Ilala, DSm. Sina kitambi , mrefu wa wastani. Dini : mkristo. Sifa za mke mtarajiwa Awe: Mzima wa afya. Na hofu ya Mungu. Na Elimu angalau ya kujua kusoma na kuandika au zaidi. Na kazi inayompatia...
  19. R

    Nafasi ya Programme Meneja -Ubalozi wa Uingereza Mshahara 5.5M kwa Mwezi

    Job Category 1 Foreign, Commonwealth and Development Office (Programme Roles) Job Subcategory 1 Foreign, Commonwealth and Development Office (Programme Roles) Job Description (Roles and Responsibilities) 1 Main purpose of job: BHC Tanzania is looking for a programme manager to work within the...
  20. E

    Anahitajika Mfamasia, mkoa wa kazi ni Lindi

    Anahitajika mfamasia mwenye Degree, mshahara utakuwa ni makubaliano kati ya mkurugenzi na muhusika. Tupo mkoa wa Lindi kwa maelezo zaidi piga +255 627 826 480 au 0656 704 979 Karibuni sana.
Back
Top Bottom