barakoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. YEHODAYA

    Barakoa yawa vazi rasmi Ikulu

    Wakati mitaani tukijiishia raha mustarehe bila Barakoa vazi hilo limekuwa vazi rasmi la Ikulu. Hapa ni mheshimiwa Raisi Samia Suluhu Hassan akipokea hati za utambulisho wa mabalozi wakiwa kwenye vazi rasmi la barakoa. Ngoja niwaimbie wimbo. Wanameremeta,wanameremeta, wanameremeta...
  2. Nigrastratatract nerve

    Rasmi Barakoa

  3. J

    Wazee wa Dar es Salaam hongereni kwa kuvaa barakoa

    Kiukweli nawapongeza sana wazee wa Dar es salaam kwa kuzingatia masharti ya wizara ya afya kwa kuanza rasmi kuvaa barakoa na kutembea na vitakasa mikono. Mungu wabariki wazee wa Dar es salaam!
  4. Nyankurungu2020

    Picha: Rais wa Kenya na Tanzania hawajavaa barakoa. Tunapata ujumbe gani hapa?

    Hakuna barakoa, wala social distance. Hii ni ujumbe gani kwetu?
  5. Jackal

    #COVID19 Israel: Tatizo la Covid-19 limekwisha hakuna haja ya kuvaa Barakoa

    Israelis are no longer required to wear masks outdoors. The country is nearly fully open. #Coronavirus === With most of its population vaccinated against COVID-19, Israel on Sunday dropped the requirement to wear masks outdoors and fully reopened schools for the first time...
  6. Mdudu Mende

    Rais Samia amerejea Tanzania na hakuwa na barakoa

    Jana Rais Samia alionekana nchini Uganda akiwa amevaa barakoa kwa mara ya kwanza wakenya wakaandika uhuni kama walivyozoea Alivyorejea kutoka Uganda hakuna aliyetaka kujua kama mama alivyaa barakoa au la, lakini kiukweli mama amepokelewa akirejea nchini bila barakoa What does this mean? Mama...
  7. I

    Uvaaji was barakoa

    Habari za asubuhi wakuu. Namuona mama samia suluhu kavaa barakoa sasa hivi akiwa Uganda
  8. M

    Mjumbe wa Kenyatta na Rais Samia - mbona ni mmoja tu mwenye barakoa?

    Mjumbe wa Kenyatta na Rais Samia - mbona ni mmoja tu mwenye Barakoa? Suluhu hosts CS Amina for diplomatic talks, vows to restore ties with Kenya - Kenya and Tanzania's diplomatic relations deteriorated during the late president John Pombe Magufuli's tenure During his reign, Magufuli made it...
  9. Mlenge

    Barakoa Canada zakutikana na shida: zapigwa marufuku

    Barakoa Canada zakutikana na shida: zapigwa marufuku. Nukuu: "One model of mask distributed to Quebec schools and daycares may be dangerous for the lungs as they could contain a potentially toxic material, according to a directive sent out by the provincial government on Friday...
  10. Shadow7

    Mexico wabuni mtindo mpya wa Barakoa dhidi ya Corona

    Watafiti nchini Mexico wanadai kuwa wamebuni mtindo mpya wa Barakoa (mask) ambao utamuwezesha mtumiaji kuweza kula, kunywa na hata kuzungumza huku akiwa bado amejilinda dhidi ya Virusi vya Corona. Barakoa hiyo ambayo imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii na kuitwa ‘maski za pua’ zilionekana...
  11. Cannabis

    Mzee wa Nyungu seasons ndani ya barakoa

  12. Mzalendo_Mwandamizi

    Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

    Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo...
  13. B

    The danger of wearing facemasks (Barakoa) for preventing COVID-19: Hypothetical perspectives

    Dear fellow Tanzanians, I would like to present to you a recent paper published in a journal "Medical Hypothesis, Volume 146, January 2021, 110411" with regard to wearing facemasks for preventing supposedly COVID-19 disease. The author concluded that the wearing of facemasks is ineffective in...
  14. Erythrocyte

    Waombolezaji wengi wapuuza kuvaa Barakoa, wamedanganywa na nani?

    Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania Dr. Magufuli unaagwa, waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani. Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania?
  15. F

    Mama Samia na wengine wote wamevaa Barakoa

  16. YEHODAYA

    Papa atinga Iraq kurdistani hajavaa barakoa na wanaompokea hawajavaa barakoa

    Niko naangalia EWTN Tv Tofauti na msisitizo wa maaskofu katoliki wa Tanzania wanaosisitiza uvaaji barakoa na social distance Papa ametinga Iraq kurdistani hajavaa barakoa na wanaompokea hawajavaa barakoa na yuko katika msongamano mkubwa wa watu Kingine kilichonifurahisha kashuka kwenye...
  17. M

    Hatari ya barakoa used kwa Watoto

    Habarini za usiku huu wakulungwa, ni mwenyeji JF tangu 2016 lakini huu ndo uzi wangu wa kwanza. Kama somo tajwa la hapo juu, naiona hatari kwa Barakoa zilizotumika na zinavyotupwa hovyo na kuzagaa mitaani. Kwa watoto hasa wanafunzi darasa la kwanza hadi la tatu wale wa day na wengineo wa rika...
  18. M

    Ni muda muafaka uvaaji wa barakoa uwe jambo la lazima kwenye umma

    Watu huangamia kwa kukosa maarifa, lakini watu huangamia kwa upumbavu wao au kiburi chao. Sisi kama Taifa na dunia kiujumla tunalo la kujifunza kutoka Uchina na nchi za Asia, kulekule ambapo ugonjwa wa Korona ulianzia! Wao waliweka sheria ya lazima kuvaa mask ukitoka nje na hiyo sheria ilikuwa...
  19. J

    Mtoto wa umri gani anapaswa kuvaa barakoa?

    Watoto wenye umri wa miaka 5 kushuka chini hawatakiwi kuvaa barakoa Hii ni kwa sababu ya usalama na uwezo wa mtoto kutumia barakoa ipasavyo bila msaada wa mtu mzima. WHO na UNICEF wanashauri kwamba uamuzi wa kutumia barakoa kwa watoto wenye umri wa miaka 6-11 unapaswa kuzingatia mambo...
  20. J

    Siwalaumu wanaokimbilia chanjo kwa sababu hata namna bora ya kutumia barakoa hawajui!

    Ukiangalia watu wetu wengi hapa nyumbani barakoa wanayo moja kuna wakati anaivaa na wakati mwingine anaivua na kuiweka ama mfukoni au kwenye pochi. Wale wanaotumia za " kujishonea wenyewe" ndio shida zaidi kwa sababu haifuliwi hadi week end. Kwa utamaduni huu usitegemee watu hawa kuhoji...
Back
Top Bottom