barakoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Je, ni nani wanapaswa kuvaa barakoa za kitabibu?

    Wafanyakazi wa afya katika mazingira ya kliniki Mtu yeyote anayesubiri matokeo ya vipimo vya Korona au ambaye amekutwa na Virusi vya Korona. Watu wanaomhudumia mtu anayeshukiwa au kuthibitishwa kuwa na Korona, nje ya vituo vya afya. Barakoa za kitabibu pia zinapendekezwa kwa watu wafuatao...
  2. J

    Fahamu kuhusu ushauri wa kuvaa barakoa mbili

    Mataifa mengi ya Ulaya yameanza kuwashauri Raia wake kuvaa barakoa mbili ili kuongeza umadhubuti wa kukulinda dhidi ya maambukizi ya #CoronaVirus Je, ni Wakati gani wa kuvaa barakoa mbili Unapotembelea duka, duka la dawa, daktari au hospitali yoyote Katika mkusanyiko kwenye bustani pamoja na...
  3. J

    #COVID19 Mambo ya kuzingatia unapotumia Barakoa

    Barakoa hufanya kazi ya kunasa matone yaliyo na virusi tunayotoa tunapoongea, kukohoa au kupiga chafya. Husaidia katika kujilinda wewe na wanaokuzunguka dhidi ya virusi Ikiwa unaona barakoa inakukosesha amani usiache kuvaa bali badilisha aina tafuta nyingine mpaka utakapopata inayokufaa...
  4. kavulata

    Miiko ya kuvaa barakoa

    Miili yetu inafanana na magari yanayotumia mafuta ya petrol na diseli kutembea pole pole na kutembea haraka. Ili gari litembee lazima itafutwe namna mafuta na hewa ya oxygen vitakutana na cheche ya moto ili vilipuke na kutoa nishati itakayolitembeza gari. Hivyo ni lazima uwe na tank lenye...
  5. Sky Eclat

    Tunatekeleza maelekezo ya Rais kwa vitendo, barakoa za mabeberu zina mapandikizi ya COVID19

  6. Erythrocyte

    Kiwanda kinachotengeneza Barakoa zinauzwa Muhimbili kiko wapi na kinamilikiwa na nani?

    Swali hili limetokana na kampeni ya mashaka inayofanywa na Viongozi wa serikali kuzipinga Barakoa zinazotoka mahali pengine bila hata chembe ya ushahidi kwamba zina matatizo.
  7. Q

    Tumeshinda kwenye Operation “Vaa Barakoa” sasa tuhamie kwenye Chanjo

    Hapo Mwanzo msimamo wa Rais na serikali nzima ulikuwa Tanzania HAKUNA KORONA kwa hiyo hakuna haja ya kuvaa barakoa. Baada ya wananchi, wanaharakati na baadhi ya viongozi wa dini kuonyesha msimamo wao wa kuvaa barakoa, serikali ikaanza kubadilika, tukaanza kusikia Tanzania ina korona chache sana...
  8. J

    Prof. Nyagori: Rais Magufuli yuko sahihi kulinda raia wake, barakoa zinaweza kutumiwa na magaidi kusambaza virusi vya corona

    Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo na yale nyemelezi katika taasisi ya Jakaya Kikwete Prof Nyagori amesema magaidi au watu wenye nia ovu wanaweza kutumia barakoa kusambaza virusi vya Corona. Akihojiwa na Salim Kikeke wa BBC Prof Nyagori amesema kiongozi yoyote duniani mwenye nia ya dhati ya...
  9. K

    Malighafi zinazotumika Tanzania kutengeneza barakoa zinatoka nje au zinazalishwa na rasilimali zetu?

    Naona MSD wanahamasisha tununue barakoa za ndani lakini kimwonekano zinafanana na zile za majuu kuanzia size,rangi na kila kitu. Najiuliza hizi barakoa zinazalishwa kwa malighafi za ndani au tunaagiza? Kama zinazalishwa ndani wamiliki wa kiwanda ni wazalendo wenzetu au ni ndugu zetu wa...
  10. BAK

    Ngurumo: Magufuli na “maparoko wake” wana kesi ya kujibu

    Magufuli na “maparoko wake” wana kesi ya kujibu Ansbert Ngurumo | 21st February 2021 Nimemsikiza Rais John Magufuli akihutubia waamini leo katika Kanisa la Mt. Petro, Dar es Salaam, na nimebaini mambo machache ambayo ni muhimu kuyajadili kwa ufupi. Nitadokeza mambo 10 tu. Kwanza, Magufuli...
  11. n00b

    Rais Magufuli aidha amedanganywa kuhusu Barakoa au kuna tatizo sehemu (kwa alichoongea leo Feb 21, 2021)

    Wakuu, Nimemsikiliza Rais Magufuli akiwa anaongea leo kanisani. Nimeshtuka, Rais anaongea kama layman kabisa. Hii ni hatari kwa Usalama wa Taifa kwa mtu ambaye amepewa dhamana ya juu kabisa hapa nchini. Rais ni Comforter-in-Chief hivyo kama mfariji mkuu wa Taifa ana mamlaka makubwa...
  12. Informer

    Rais Magufuli: Watanzania endeleeni kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Korona. Sijazuia matumizi ya Barakoa!

    Ameyasema hayo akiwa St. Peters katika Ibada alipopewa nafasi ya kutoa neno. VIDEO:
  13. Erythrocyte

    Kauli ya Waziri Mkuu kutilia shaka barakoa za kisasa na kutaka watu wajishonee matambara na kuyavaa usoni haiwezi kuachwa bila kujadiliwa

    Nchi yenye wasomi wengi kama Tanzania haiwezi kunyamazia kauli ya Mh Majaliwa ya ku ignore barakoa zilizotumiwa na madaktari wetu miaka nenda rudi kuwalinda na maambukizi ya magonjwa wanapowahudumia Watanzania kwenye hospitali za umma na nyinginezo. Hii ni kwa sababu wenye mamlaka ya kuhakiki...
  14. Miss Zomboko

    Waziri Mkuu awataka Wananchi kujilinda na Magonjwa kwa kunawa mikono na kuvaa Barakoa

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Watanzania wana jukumu kubwa la kumuenzi Balozi John Kijazi kwa kutenda yale yote mema aliyokuwa akitenda. Aidha, amesema jukumu jingine ni kuendelea kuiombea familia yake, hasa katika kipindi hiki kigumu. Akitoa salamu za serikali kwenye mazishi ya Balozi...
  15. britanicca

    Askofu Ruwa'ichi: Asante mliovaa barakoa, nawalaumu msiovaa. Hali ni tete, tumetofautiana na Serikali

    Askofu JUDE THADEUS: Asante mlovaa barakoa/nawalaum msiyo Vaa/Hali n Tete. Ameyasema katika mazishi na kaongea mengi sijui kama hii Serikali hii itamuachaa Pitia video Britannica
  16. Jidu La Mabambasi

    Kutovaa barakoa nalo tamko la kisiasa?

    Sayansi huwa haikopeshi. Ukiichezea inakuumbua, maana sayansi kama Mungu alivyo, sayansi ni UKWELI. Hatuwezi kuudhibiti ukweli, hata uwe na nguvu kubwa sana ya kisiasa. Tunajua kuwa kuna tatizo kubwa sasa hivi la vifo vinavyo sababishwa na changa moto ya kupua. Wewe ita nimonia (pneumonia)...
  17. J

    Yaliyojiri Karimjee: Zoezi la kuaga mwili wa Marehemu Dkt. John Kijazi, rais Magufuli atoa neno

    Mbunge wa Kawe Askofu Dkt. Gwajima ameongoza sala ya kumuombea marehemu Dr Kijazi nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam na sasa anaongoza msafara ambao umeanza kuelekea viwanja vya Karimjee ili viongozi na wananchi wapate fursa ya kutoa heshima za mwisho. Zoezi la kutoa heshima za mwisho...
  18. Replica

    Yaliyojiri msiba wa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif

    Leo ni mazishi ya makamu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad na mwili umeshawasili msikiti wa Maamur kutoka Lugalo. Watu kadhaa wamefika ikiwemo kiongozi wa ACT, Zitto Kabwe, mufti wa Tanzania na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete. ======== Zitto Kabwe: Assalam...
  19. J

    Jikinge na magonjwa yanayoathiri mfumo wa upumuaji kwa kuvaa barakoa

    Mfano ya wakati barakoa inahitajika kuvaliwa: Unapotembelea duka, duka la dawa, Daktari au Hospitali yoyote Katika mkusanyiko, unapokutana pamoja na marafiki au familia ambao hawaishi nawe Katika tukio lolote la umma ndani au nje ya jengo, kama vile soko au mkusanyiko Unaposafiri kwenye...
Back
Top Bottom