barakoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wakulonga

    Kuvaa barakoa kwenye Ofisi za Serikali lazima?

    Habari Wanajamvi, Ndugu zangu naomba kuuliza hivi kuvaa barakoa kwenye ofisi za serikali ni lazima? Maana jana mke wangu alimpeleka mtoto clinic walikataaa kumhudumia mtoto kisa mama mtu hakuvaa barokoa Sasa hawa watu Hawaendi kinyume na Mh. Rais maana Mh Rais ameshasema kuvaa barakoa isiwe...
  2. P

    Level seat na barakoa hazizingatiwi tena daladala za Dar

    Pamoja na kutangaziwa kupungua kwa maambukizi ya Corona. Hali ya kujikinga na kuchukua tahadhari haipo tena maeneo mengi Dar. Mabasi ya daladala yamekuwa yakijaza abiria bika kuzingatia maagizo yaliyotolewa. Daladala za Mbezi, Buguruni na Gongolamboto na mengine nyakati za usiku na asubuhi...
  3. Magonjwa Mtambuka

    Wakenya wauana kwa sababu ya barakoa

    Polisi wa Kenya waua raia kwa kutokuvaa barakoa. Hawa jamaa ni kama hawana akili vile.
  4. kavulata

    Barakoa zipi zivaliwe na wanafunzi mashuleni?

    Nimeona shule wakishona barakoa au kuwaagiza wazazi wazazi kushonea watoto wao barakoa zinazofanana na sare ya shule husika. Hivyo wanashona kitambaa Cha kaptura au Cha shati ya shule. Shida Ni kwamba vitambaa vinavyotumika kwa sare vingi vyao sio pamba baoi Ni polyester. Je, kitambaa Cha...
  5. Suley2019

    Wizara ya Afya: Ufafanuzi wa uvaaji wa Barakoa kwa Wanafunzi

  6. FRANC THE GREAT

    Mahakama nchini Brazil yamuamuru Rais Jair Bolsonaro kuvaa barakoa. Atakiwa kuheshimu sheria za nchi

    Habari! Kutokana na kushamiri ama kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya corona nchini Brazil, Mahakama nchini humo imemuamuru Rais wa nchi hiyo Jair Bolsonaro kuvaa barakoa ya kinga la sivyo 'kukiona cha mtema kuni'. Jair Messias Bolsonaro. Taarifa kamili: Katika uamuzi uliotolewa...
  7. J

    Maonyesho Saba saba: Tiketi kuuzwa online pia wananchi ni lazima kuvaa barakoa

    Kwa mujibu wa mkurugenzi wa maonyesho ni kwamba maandalizi yamefikia 80% na mambo yanakwenda vizuri. Jambo muhimu ni kwamba tiketi zitauzwa online kupitia simu za mkononi ili kupunguza misongamano. Kadhalika washiriki na wananchi kwa ujumla watatakiwa kuvaa barakoa na kunawa mikono wawapo...
  8. J

    Mazoezi na COVID19: Je, ni sahihi kuvaa barakoa wakati wa mazoezi?

    Kiafya, haitakiwi kuvaa barakoa ‘mask’ wakati wa kufanya mazoezi kwa sababu zinapunguza uwezo wa kupumua vizuri. Katika kufanya mazoezi, katika hali ya kawaida huwa na ugumu wa kuhema hivyo kwa kuvaa barakoa ugumu unaongezeka. Vilevile, jasho linaweza kulowesha barakoa haraka na kuifanya isifae...
  9. sabuwanka

    Soko la barakoa na sanitizer linafifia!

    Kutokana na leo 16.06.2020 Rais JPM akilivunja bunge, ametangaza shule zote zitafunguliwa 29.06.2020 zilizokuwa zimefungwa mnamo April 17 kutokana na ugonywa wa covid 19. Hivyo wenye stock za barakoa na sanitizer ni wakati wa kuzimalizia hata kwa kurudisha mtaji! Maana zinakosa soko Kama ndoo...
  10. beth

    Ghana: Kufuatia ongezeko la visa vya COVID-19 Rais Nana Akufo-Addo asema ni lazima kila mtu kuvaa barakoa kuanzia sasa

    Kufuatia ongezeko la maambukizi ya COVID-19, Rais Nana Akufo-Addo ametangaza kuwa kuanzia sasa kuvaa barakoa ni suala la lazima nchini humo na Polisi wameelekezwa kuhakikisha agizo hilo linatekelezwa Alikuhutubia taifa, Rais Addo amesema idadi ya visa inaongezeka kutokana na watu kushindwa...
  11. kavulata

    Uvaaji barakoa Ligi Kuu umedunda

    Nikiangalia watazamaji walioingia viwanjani kushuhudia mechi za ligi kuu baada ya michezo kuruhusiwa tena, sikuona matumisi sahihi ya barakoa kujilinda dhidi ya COVID-19. Kuna ambao hawakuzivaa kabisa, kuna ambao waliacha pua wazi, na kuna waliozivua ili wanywe au wale vitu vinavyouzwa uwanjani...
  12. Kibosho1

    Maisha yanabadilika haraka sana, eti kuvaa barakoa kwa sasa ni ushamba

    Binafsi nashauri wizara iache kuendelea na matangazo ya kunawa mikono na kuvaa barakoa. Kwani kufanya hivyo ni kupingana na maoni ya raisi sasa hivi wanaovaa barakoa ni wachache sana kiasi kwamba mnaonekana kama tofauti na wengine. Ukitembea mitaani utashuhudia na hata bila kuambiwa unaona...
  13. J

    Rais Magufuli amshangaa Spika Ndugai kuvaa barakoa akiwa peke yake Bungeni

    Rais Magufuli amesema kwa taarifa alizopewa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ni kwamba DSM kuna wagonjwa wanne tu wa Corona. Corona imekwisha ndio maana hata Mabarakoa hakuna hata leo tunaonana tu hapa kawaida, ndio maana nilikuwa namshangaa Spika Ndugai akiwa Bungeni yupo kiti chake peke yake...
  14. R

    Barakoa! Zinauzwa karibuni

    Ndugu wana JF, karibu ujipatie barakoa safi kabisa kwa bei chee. Tunauza Tsh 55,000 tu kwa Box lenye barakoa 50 ndani. Ndani ya Jiji la Dar utaletewa hadi ulipo, na mikoani tutakutumia kwa njia ya Bus (Gharama ya usafiri utalipia, mara nyingi kwa Box 1 haizidi 5,000). Karibuni sana. Mzigo upo...
  15. N

    Kabudi asaliti maneno yake avaa barakoa huku Beberu likimkabidhi kitabu cha muasisi wetu

    Kabudi huyuhuyu jameni ambaye tarehe 21 may pale dodoma alimsifia JPM kwa kumpa ujasiri wa kutovaa barakoa leo kaonekana katinga barakoa na mbaya zaidi akipokea kitabu cha kumuhusu Nyerere kutoka kwa beberu wakati ilitakiwa iwe vice versa...dah kwa kweli hii awamu ni kituko.
  16. Kichuguu

    Kenya Kuna Wabunifu: Angalia Barakoa Zao

    Corona imeingia Kenya na kuleta opportunities mpya kwa wanchi; angalia barakoa walizotoa
  17. RAKI BIG

    Barakoa yanizidizishia gharama za kunyoa ndevu zinaota kwa haraka sana

    Habari wakuu. Sasa nanyoa ndevu mara 2 kwa week wakuu yaani barakoa imekuwa tabu kweli kwangu. Wenye ndevu wenzangu hali ipoje kwenye hili?
  18. Victor Mlaki

    Kuna haja ya kutoa elimu zaidi juu ya ushonaji wa Barakoa

    Leo nimejaribu kupita katika kituo kimoja cha Afya na nilichokiona ni msisitizo mkubwa wa uvaaji wa Barakoa huku zikiuzwa mlangoni kiholela lakini shida yake kubwa ni mikanda yake ya masikio kuwa mifupi kiasi cha kupata masikio ya watu na kuyabinua kama ya punda.
  19. 5

    Barakoa ni Lazima Zanzibar

  20. mimitungi

    Sioni umuhimu wa kuvaa Barakoa na Social Distance kwa Tanzania, nisaidieni

    Nimetafakari sana kuhusu hali halisi ninayoiona kitaani kuhusiana na mada tajwa hapo juu. Social distance ya mita 1 au zaidi ni usanii. Ukiingia kwenye daladala au kwenye masoko yetu hii kitu hakipo kabisa. Sasa kwanini tunazungumzia kitu ambacho practically kwa watu was chini hakiwezekani...
Back
Top Bottom