barua

Barua (Assamese: বৰুৱা), also; Baruah, Barooah, Baruwa, Baroova, Barooa, Baroowa, Borooah, Boruah, Baroa is a very common Assamese surname.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    Kurugenzi Serikali ya Mitaa (DLG) - TAMISEMI barua za uhamisho zimerundikana, ukiwafuata Mitumba wanachomoa yako kwa hongo ya laki 6

    Utaratibu wa kutoa majina ya watumishi waliokidhi vigezo vya kuhama kwenye tovuti ya TAMISEMI kila mwezi wa Juni na Desemba umeshakufa. Kwa sasa barua zimerudikana pale idarani kurugenzi ya serikali za mitaa Mitumba. Barua za watumishi waliokamilisha tàratibu za kuhama zote baada ya kupitishwa...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    Barua ya wazi kwa Tundu Lissu kumuonya dhidi ya kutetea masikini na wapumbavu

    BARUA YA WAZI KWA TUNDU LISU Na, Robert Heriel Taikon wa Fasihi, S.L.P 9977, JIBI, Kutoka Nyota ya Tibeli. 30, 07. 2020. YAH: KUKUONYA DHIDI YA KUTETEA MASIKINI NA WAPUMBAVU. Ndugu Mhe Lisu, Kichwa cha habari hapo juu cha husika. Ninafuraha kubwa kukuandikia barua hii ya wazi ambapo najua...
  3. Dam55

    TFF yatuma barua ya mashitaka CAF dhidi ya Kocha wa Yanga sc

    Hongereni TFF kwa kulishughulikia hili Tanzania hatutaki tabia za kibaguzi kwenye soccer letu.
  4. kimpango

    Barua ya wazi kwa Katibu Mkuu (CCM) Taifa uvurugwaji wa Uchaguzi wa Kura za Maoni CCM-Kiluvya

    Mheshimiwa katibu hatuna namna ya kukufikia zaidi ya njia hii tupokee 27th Julai 2020 KWA KATIBU MKUU (CCM )TAIFA NAKALA KWA MWENYEKITI WA CCM TAIFA , KATIBU WA CCM MKOA WA PWANI, KATIBU WA CCM WILAYA YA KISARAWE, KATIBU WA CCM KATA YA KILUVYA Yah: MALALAMIKO KUHUSU UCHAGUZI WA KURA...
  5. Roving Journalist

    Open Letter: Tundu Lissu's return to Tanzania

    1054 31ST ST. NW, STE 110 WASHINGTON, D.C. 20007 +1 202 301 8811 OPEN LETTER TUNDU LISSU’S RETURN TO TANZANIA: GOVERNMENT CONDUCT TO BE CLOSELY MONITORED AND DOCUMENTED; POTENTIAL ACTS OF HARASSMENT, INTERFERENCE, OR VIOLENCE WILL RESULT IN CONSEQUENCES...
  6. Meneja Wa Makampuni

    Barua ya wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

    Barua ya wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe Dkt. John Pombe Magufuli. Kwako Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Natumai unaendelea vizuri na shughuri zako za kila siku. Mimi ni kijana wako mtanzania halisi mpenda maendeleo na mchapa kazi wa kweli. Nakupongeza kwa...
  7. M

    Barua ya wazi kwa Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi: Manung'uniko ya Waislamu lazima yafanyiwe kazi

    Ndugu Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Mimi ni mwananchi, raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nimeamua kuchukua wasaa huu kukuandikia haya yafuatayo, kwani kwa haya niyaandikayo naamini ni ya msingi sana katika kukuza umoja na mshikamano wa Taifa letu vitu ambavyo ni...
  8. E

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu tupe ufafanuzi wa hii barua kwa kuwa imekutaja

    Serikali imesema masaa mawili ya ziada hayana tija tena baada ya utafiti. Mbona baadhi ya shule bado wanachangisha? Nawasilisha tafadhari ☝️
  9. R

    Pamoja na vyombo vya habari kutoripoti Yanga kubebwa, Azam waiandikia barua bodi ya ligi

    Katika msimu ambao Simba wameandwamwa na vyombo vya habari kuwa wanabebwa na waamuzi ni msimu huu.Waandishi bila kujadili maadili yao ya kazi waliweka ushabiki mbele kuwa Simba inashindwa kwa kubebwa bila kuangalia upande wa pili ambao mechi zao nyingi zimekuwa na maamuzi yenye utata. Ilifikia...
  10. Simphorinyo

    Uchaguzi 2020 Barua ya wazi kwa Balozi Ali Karume

    Ndugu yangu Ali, As-salamu alaykum. Nakuandikia barua hii ya wazi kwa upendo wangu wa kikamaradi kwako. Nafsi yangu imenisukuma kufanya hivyi kwa muda mrefu lakini msukumo zaidi uliniingia jana tulipokutana Kisiwandui. Nimekufahamu kwa miaka mingi na mara nyingi tumeshauriana mambo kadhaa japo...
  11. J

    Uchaguzi 2020 Chadema: Zoezi la kutia nia kugombea nafasi ya Rais wa JMT limefungwa rasmi tutatoa orodha ya walioandika barua

    Afisa habari wa Chadema mh Makene amesema zoezi la kutia nia kugombea urais wa JMT kupitia chama hicho limefungwa rasmi. Tarehe ya mwisho ilikuwa ni 15 June, 2020 saa 10:00 jioni. Orodha ya walioandika barua itatolewa na utaratibu unaofuta mtaelexwa. Freeman Mbowe amekuwa mwanachadema wa...
  12. S

    Madai ya Zitto kukutana na Balozi wa Uingereza; Msajili wa Vyama vya Siasa awaandikia barua ACT-Wazalendo akitaka wajieleze

    Baada ya Gazeti la Jamvi la Habari kuandika habari iliyodai Zitto alikutana na Balozi wa Uingereza nyumbani kwa Balozi huyo,kuna barua mitandaoni(twitter) inayodaiwa kuwa ni ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini akiwaandikia barua ACT-Wazalendo akitaka wajieleze. Kulingana na barua hiyo,Msajili...
  13. Chizi Maarifa

    Barua ya wazi kwa ndugu Zangu: Tuamue kupambana

    Najua pengine naweza jisababishia maneno ya kebehi na dhihaka lakini sitoacha kusema kile nikifikiriacho kwenu ninyi ndugu zangu. Waafrika tumekuwa tukifaulu katika kushindwa toka karne na karne.nguvu zetu zimekuwa ni udhaifu wetu. Na kwa kuwa tumeshindwa kujitathmini na kumtafuta wa kumsukumia...
  14. RAKI BIG

    Tetesi: Mh Tundu Lissu amewasilisha barua rasmi ya kutia nia ya kuwa Mgombea Urais kupitia CHADEMA.

    Habari wakuu. Hivi hii habari imekaaje maana naona kama Tundu Lisu sasa hiv kutokuwepo kwake kunaweza kusababiswa kushindwa kufanya vzr katika uchaguzi mwaka huu hasa kwa uapnde wake yeye mtia nia ya uraisi na isitoshe tayari chadema kama wameshapotena kwenye kasi za ubingwa wa uchaguzi msimu huu .
  15. Shark

    Uchaguzi 2020 Peter Msigwa awasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

    Mbunge wa Iringa Mjini na Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa leo amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania, --- Mbunge wa jimbo la Iringa Mjinikupitia chama cha Democrasia na Maendeleo CHADEMA Peter Msigwa...
  16. Erythrocyte

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

    Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba yule mtu aliyesubiriwa kwa hamu na Watanzania , ameanza ule mchakato muhimu . Taarifa zinaonyesha kwamba maombi ya watanzania yamejibiwa baada ya Mh Lissu kuandika barua kwenye chama chake akiomba kufikiriwa kwenye uteuzi wa kugombea Urais wa Tanzania kwenye...
  17. Chiwaso

    Barua ya kutoa taarifa ya ajali kwa kampuni za Bima

    Kama inavyoelezea hapo juu, Uwe na ama Comprehensive au Third part Insuarance, ama umegonga au umegongwa, kutoa taarifa kwa haraka Kwa Kampuni ya Bima ni jambo la msingi sana. Mfano wa Barua hiyo, ni kama hii niliyokuambatanishia. Unaweza kufuatilia jambo lako wewe mwenyewe, au ukatumia...
  18. P

    Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

    Kuna mda huwa tunafanya makosa mengi sana katika maisha tena mengine ya kujitakia kabisa ambayo ukiyakumbuka baadae unayajutia sana. Binafsi kama ningetumia mda vizuri ningekuwa mbali sana sana kimafanikio kuliko nilivo sasa. Kipindi namaliza O' level baada ya matokeo kutoka nikapangwa Moshi...
  19. J

    Kwanini Mnyika hawaandikii barua wabunge wa Chadema kuwaelezea hatua zilizochukuliwa na Kamati Kuu dhidi yao?

    Hadi leo wabunge watatu Mh. Lwakatare, Mh. Silinde na Mh. Lijualikali wameshalalamika mbele ya bunge na vyombo vya habari kwamba hawajapewa barua na chama chao kuwaelezea maamuzi ya kikao cha kamati kuu. Wajibu wa kuwaandikia barua hizo ni wa Katibu Mkuu mh John Mnyika lakini amesita kufanya...
Back
Top Bottom