Katibu Mkuu,
Chama Cha Mapinduzi ,
S.L.P 50,
Dodoma.
15/07/2020.
Ndugu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi, (Dkt) Bashiru Ally,
*
YAH: NDUGU PAUL MAKONDA KUVUNJA KANUNI NA SHERIA ZA UCHAGUZI KIGAMBONI.*
Husika na kichwa cha habari,
Kwa heshima kubwa sisi wana CCM Vijibweni-Kigamboni tunapenda...